Asilimia 60% yanawanaofunga ndoa wamechavuana NGUO !

we ulitaka wasivueane mpk ndoa?
kwa maradhi aya ya sasa ivi asi utakuwa umekaribsha talaka zisizo na mpango?

sawa..mpk ndoa..usiku wa kwanza ndo unakuja shtuka jamaa adindi..jamaa amesinyaa maeneo yale...SI YULE ULIYEMZANIA..we upo mwaka wa kwanza chuo yeye dzain yupo la tatu b...APO APATACHIMBIKA?cz mhimili mkuu wa ndoa ni apo na apo penyewe HAPAPO?

wanaume weng skuizi wana matatizo ya nyet zao na wa swaga izi weng wao wanajifanyaga waumini wa kakobe et tusidoo mpk ndoa..kumbe ni mwongo anataka kuficha mapungufu yake....mwisho wwa siku ndo unajua ahh kumbe yule bwna hakuwa na nia nzuri?alitaka nisijue madhaifu yake?,......sasa hasira ya kugeuzwa ***** MWAISHOWE UZAA TALAKA....ahh kupimana muhimu..cz MATAPELI WENGI..thou mungu apend bt uhalisia ndo uo asa tufanyeje?
 
Na wengi wanafunga ndio ili kutuchangisha maana tayari wanaishi kama mume na mke; kwa lugha iliyonyooka wanatufisadi wakishirikiana na wazazi wao ambao hujifanya watoto wao hawaishi pamoja hivyo tuwasaidie wakaanze maisha
 
Hili swala kuepukika ni gumu sana wengi lazima wamegane kabla ya ndoa,sidhani kama imeshawahi kutokea mwanaume akaoa kabla ya kufanya ngono na binti.
 
gaaga gaga
sasa hao kwenye gitaa watauzika na nani kama sio nyinyi na mbinu ndio hiyo kujifanya wote bikira tukivuana yalaaaaahhhh kila mtu anasingizia ilitoka na baiskeli na wewe mwanaume na ule mchezo wa kula mbakishie baba hny hata sijui ilitokaje hapo mzigo ushabeba yalaahhhhhh
unaambiwa ndoa ukiichokonoa sana uili ndio huku
 
Hili swala kuepukika ni gumu sana wengi lazima wamegane kabla ya ndoa,sidhani kama imeshawahi kutokea mwanaume akaoa kabla ya kufanya ngono na binti.

Kweli ni vigumu mno kuepuka hilo, lakini inawezekana, itategemea makubaliano yenu, pia misingi mliyonayo katika imani zenu.
 
kamiss mambo ya didy jamani si mnajua nilikuwa na msiba zanzibar kama si tulikuwa ikabidi nisurbir tuzike kwanza
 
Mi nadhani ni muhimu kukaguana hata kama si kwa kufanya kabisa ili ujiridhishe na mali unayotaka kuuziwa au kununua. Atleast uishike ujue kama itakufaa au la. zaidi ya hapo ni kutafutiana lawama aisee.
 
Mi nadhani ni muhimu kukaguana hata kama si kwa kufanya kabisa ili ujiridhishe na mali unayotaka kuuziwa au kununua. Atleast uishike ujue kama itakufaa au la. zaidi ya hapo ni kutafutiana lawama aisee.

ya kwangu utaishika ikasimama ya kwake ntajuaje???embu carmel weka wazi hapa unaweza kutupa mbinu za kupunguza kugusana kabla ya ndoa ikawa carmel law respect mpaka church pls
 
Mhh! kushika shika tena...unaweza kuwekewa feki mi nadhani bora ku-do bwana ili ujiridhishe
 
Hili swala kuepukika ni gumu sana wengi lazima wamegane kabla ya ndoa,sidhani kama imeshawahi kutokea mwanaume akaoa kabla ya kufanya ngono na binti.
Nna jamaa yangu yangu ana msimamo wa kutongonoka, anadai ni dhambi. Kilichomkuta, demu wake kapigwa mimba na wajanja.
 
Embu tujadili sasas soln ya haya matatizo naona wengi wanaogopa kuingia bila kutest kuogopa mzinga je hii mizinga tutasaidiaje..m nimeona kuna waliokuwa vilijari kweli walipofunga ndoa aikuchukua miezi sita wakaanza kuleta mattatizo kwenye ndoa na mimi nkiwa master w kusikiliza kesi zao..lakini mwanaume najua fika na sikuwahi kujua shida hiyo itamtokea so yawezekana zile shida za mabinti kwenye ndoa zinafanya mwanaume anakuwa na kauowoga hadi cha ku do...mi nimeona kuna familia zikikasirikiana zinachofanya kunyimana unyumba na wanaweza kukaa hata miezi 3 na baada ya hapo mmoja kuamua kuchapwa nje kimoja na mwisho kuanza kuomba talaka akiwa kwenye ndoa .....mi nakumbuka wakati tumeanza kushindana na mama didy kipindi fulani ..maswala madogo tu lakini nikirudi hme walahi hata mawazo ya aipo naishia kuangalia vipindi \vya comedy ...mpaka nilipowaza hii itaisha lini yaani binti ananyanyua kabisa wapi anashindwa tu kuuchapa kibao kwa nini umelala ....so stress zingine nyumban huishia kuvunja uhusiano wa kinyumba ....mungu akawatoe kwenye stress in jesus name furaha ya milele iwe kwa kila mwana jf
 
"Sijui kama nitakuwa napatia au la. Umesema kuwa swala la kujamiiana(sex) mume na mke ni jambo ambalo vijana au wanandoa wengi ambao wapokanisani au walikulia kanisani wanaona kuwa ni kibaya hasa kutokana na ukweli kwamba sex kbal ya ndoa ni kitu kibaya na hujikuta hawana uzoefu wa mafundisho yanayowawezesha kuwa wana ndoa wazuri kwenye suala zima la mapenzi.Mimi nafikiri pia sio tu kwamba hilo limechangia pia hata jinsi ya kuanza tendo hilo,yaani siku ya kwanza mtu anapoanza kushirikitendo hilo anakutana na nini! hasa hapa nazungumzia binti, kwa sababu unakuta kijana hajapata mafundisho ya
kutosha kuhusu jambo hilo,na unakuta kwa sababu anakuwa na shauku na mwenzake anaweza akasababisha matatizo kwa yule binti kama maumivu n.k.

Sasa huoni kwamaba inakuwa ni sababu ya huyo binti kuona tendohilo kuwa ni baya?Na mara nyingi nakumbuka wale dada zetu walio kwenye ndoa na waliopitia haneymoon huwa wanatuambiaga kuwa nyie msifurahie kwenda honey moon huko kuna kuumwa(yaani maumivu).
Mimi binafsi imekuwa ikinisumbua pia kila nikifikiria juu ya hilo kama kweli ndo hali ni hiyo basi napata mawazo kwamba huko haneymoon nitaumizwa na matokeo yake nakuwa.
So huoni kuwa kweli vijana wa kiume wanaokwenda kufunga ndoa wanahitajimafundisha ya hali ya juu?"


Swali je tuwasaidie vipi vijana wetu ambao hawapati mafundisho mengi juu ya ndoa na pia suala zima la tendo la ndoa?

mapenzi ni zaidi ya kujaamiana..........................................lol.................
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom