Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Ukaguzi wa hesabu za Serikali wabaini madudu mengi katika madeni ya walimu,zaidi ya aslimia 50 ya madeni hayo ni yakughushi.Walimu hao wamefanya ufisadi huo ili walipwe vinono katika kupambana na misha duni waliyonayo. Wameambiwa wasioridhika na malipo yao waruhusiwa kukata rufaa.