Asilimia 40 ya mashoga zenu wanawaibia waume zenu watch out!!!!!!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Yawezekana aijakukuta lakini nakutaarifu tu
mistake za kuwazoesha waume zenu na mashoga zenu madhara yake ni makubwa sana
sipendi kukimbilia kila kosa shetan shetani lakini kama tunaweza kuavoid
si mbaya tukampunguzia shetani dhambi jamani....hii mambo ya kwenda taarabu na shoga wako
na mumeo alafu unaenda kucheza koma kabisa asilimia nyingi ya ndoa za watu zinaangamia kwa sababu
ya marafiki zenu mabinti...kuweni makini na hli hata wewe unaeenda kuolewa hivi karibuni
sikia uwe macho mapenzi yenu ya zamani na marafiki zako usihusishe kabisa na mumeo

KIKULACHO KINGONI MWAKO SHOST ......MSIMSINGIZIE SHETANI KILA KITU SHETNA NYIE WENYEWE
 
Pdidy umesema ukweli mtupu yalishawahi kunikuta hayo mambo yapo sana mashoga sio watu wakuwaachhia hata sekune moja na mumeo hapoa hapo ila inategemea na tabia ya mwanaume pia kama ni kimeo hata umwachie mwanao uliyezaana baba mwingine atamtokea tu
 
Pdidy umesema ukweli mtupu yalishawahi kunikuta hayo mambo yapo sana mashoga sio watu wakuwaachhia hata sekune moja na mumeo hapoa hapo ila inategemea na tabia ya mwanaume pia kama ni kimeo hata umwachie mwanao uliyezaana baba mwingine atamtokea tu
pamoja na kusema tabia ya mumeo jua mpwa wanaume tumeumbwa kupenda shartikwa wamama kutunza kile walichopata
 
Yawezekana aijakukuta lakini nakutaarifu tu
mistake za kuwazoesha waume zenu na mashoga zenu madhara yake ni makubwa sana
sipendi kukimbilia kila kosa shetan shetani lakini kama tunaweza kuavoid
si mbaya tukampunguzia shetani dhambi jamani....hii mambo ya kwenda taarabu na shoga wako
na mumeo alafu unaenda kucheza koma kabisa asilimia nyingi ya ndoa za watu zinaangamia kwa sababu
ya marafiki zenu mabinti...kuweni makini na hli hata wewe unaeenda kuolewa hivi karibuni
sikia uwe macho mapenzi yenu ya zamani na marafiki zako usihusishe kabisa na mumeo

KIKULACHO KINGONI MWAKO SHOST ......MSIMSINGIZIE SHETANI KILA KITU SHETNA NYIE WENYEWE
sawa shostisho
 
Yawezekana aijakukuta lakini nakutaarifu tu
mistake za kuwazoesha waume zenu na mashoga zenu madhara yake ni makubwa sana
sipendi kukimbilia kila kosa shetan shetani lakini kama tunaweza kuavoid
si mbaya tukampunguzia shetani dhambi jamani....hii mambo ya kwenda taarabu na shoga wako
na mumeo alafu unaenda kucheza koma kabisa asilimia nyingi ya ndoa za watu zinaangamia kwa sababu
ya marafiki zenu mabinti...kuweni makini na hli hata wewe unaeenda kuolewa hivi karibuni
sikia uwe macho mapenzi yenu ya zamani na marafiki zako usihusishe kabisa na mumeo

KIKULACHO KINGONI MWAKO SHOST ......MSIMSINGIZIE SHETANI KILA KITU SHETNA NYIE WENYEWE

You appear to be very judgemental, immature with an attitude problem that will not be tolerated by the JF society. You also sound very bitter and angry with most of your pings. Just this once i will beg you to post something positive for a change. Stay blessed.
 
You appear to be very judgemental, immature with an attitude problem that will not be tolerated by the JF society. You also sound very bitter and angry with most of your pings. Just this once i will beg you to post something positive for a change. Stay blessed.


Andika lugha iliyotumika. Kutumia kiingereza hakukupandishi chati yoyote, bali ni kukujengea dharau na chuki.

Alichokisema mwandishi hapo juu ni cha kweli fika. Na kosa wanalolifanya wenzetu ni kujisifia, hii inamshawishi huyo shostito wake kutaka naye kuonja! INATOKEA NA ITAENDELEA KUTOKEA.
 
Pdidy acha vituko bwana mtu mzima anaibiwaje alimvizia kalala akambeba au sijakuelewa
Yawezekana aijakukuta lakini nakutaarifu tu
mistake za kuwazoesha waume zenu na mashoga zenu madhara yake ni makubwa sana
sipendi kukimbilia kila kosa shetan shetani lakini kama tunaweza kuavoid
si mbaya tukampunguzia shetani dhambi jamani....hii mambo ya kwenda taarabu na shoga wako
na mumeo alafu unaenda kucheza koma kabisa asilimia nyingi ya ndoa za watu zinaangamia kwa sababu
ya marafiki zenu mabinti...kuweni makini na hli hata wewe unaeenda kuolewa hivi karibuni
sikia uwe macho mapenzi yenu ya zamani na marafiki zako usihusishe kabisa na mumeo

KIKULACHO KINGONI MWAKO SHOST ......MSIMSINGIZIE SHETANI KILA KITU SHETNA NYIE WENYEWE
 
wanawake wengi hupendi kutoa mambo yao ya ndani kwa mashoga zao hii inawagharimu sana kwani huyo rafikiye anajua / kumjua mwanaume zaidi hivyo anajirahisi
 
shogako siku zote ni mamako mzazi,mwanao,bibi yako kama yuko hai.....walobaki wawe ni watu mnaojuana tu!
 
shogako siku zote ni mamako mzazi,mwanao,bibi yako kama yuko hai.....walobaki wawe ni watu mnaojuana tu!

kuna mambo husimuliana wanawake kutokana na kipigo kikali cha kitandani je anaweza kumsimulia mam yake mzazi na je atamwangaliaje mkwe wake???
 
kuna mambo husimuliana wanawake kutokana na kipigo kikali cha kitandani je anaweza kumsimulia mam yake mzazi na je atamwangaliaje mkwe wake???
kwani lazima usimulie...mwanamke gani wewe mdomo wazi kama 7-Eleven,na kama huwezi kunyamaza bibi yako yupo,ongea nae nadhani bibi inakuwa rahisi zaidi
 
You appear to be very judgemental, immature with an attitude problem that will not be tolerated by the JF society. You also sound very bitter and angry with most of your pings. Just this once i will beg you to post something positive for a change. Stay blessed.

ongea kiswahili fasaha kila mtu aelewe acha kutuandikia kimangati
mmh na hiyo statement yako ya mwisho aku wala sitaki kuwablessed na unafiki ninachotoa kinatoka moyoni wala sio mdomoni shost
 
Pdidy acha vituko bwana mtu mzima anaibiwaje alimvizia kalala akambeba au sijakuelewa

alienda na shostito mwenzake na mzee pale traventine mziki ukakolea best asiamke kwenda kucheza amwache mumewe na mzee arudi anakuta wamelaliana upande mmoja huku wakifarijiaana bibie anajua kucheza
bado wewe mkwe wangu na mwaka huu sipokei mwanangu wa kike wa kiume ruksa kurudi nyumban
 
alijiimbia Issa Matona(RIP):
shoga mkaribishe barazani,wifi sebuleni, mme chumbani,naamini alikuwa na maana.Mwenyezi Mungu amrehemu pahala pema peponi Amin.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom