Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Yawezekana aijakukuta lakini nakutaarifu tu
mistake za kuwazoesha waume zenu na mashoga zenu madhara yake ni makubwa sana
sipendi kukimbilia kila kosa shetan shetani lakini kama tunaweza kuavoid
si mbaya tukampunguzia shetani dhambi jamani....hii mambo ya kwenda taarabu na shoga wako
na mumeo alafu unaenda kucheza koma kabisa asilimia nyingi ya ndoa za watu zinaangamia kwa sababu
ya marafiki zenu mabinti...kuweni makini na hli hata wewe unaeenda kuolewa hivi karibuni
sikia uwe macho mapenzi yenu ya zamani na marafiki zako usihusishe kabisa na mumeo
KIKULACHO KINGONI MWAKO SHOST ......MSIMSINGIZIE SHETANI KILA KITU SHETNA NYIE WENYEWE
mistake za kuwazoesha waume zenu na mashoga zenu madhara yake ni makubwa sana
sipendi kukimbilia kila kosa shetan shetani lakini kama tunaweza kuavoid
si mbaya tukampunguzia shetani dhambi jamani....hii mambo ya kwenda taarabu na shoga wako
na mumeo alafu unaenda kucheza koma kabisa asilimia nyingi ya ndoa za watu zinaangamia kwa sababu
ya marafiki zenu mabinti...kuweni makini na hli hata wewe unaeenda kuolewa hivi karibuni
sikia uwe macho mapenzi yenu ya zamani na marafiki zako usihusishe kabisa na mumeo
KIKULACHO KINGONI MWAKO SHOST ......MSIMSINGIZIE SHETANI KILA KITU SHETNA NYIE WENYEWE