Asilimia 29% ya pato la taifa inatokana na kilimo. Asilimia 65 ya watanzania ni wakulima.Kwa miaka 5 iliyopita wizara ya kilimo imetengewa budget ya 250 Billions.
Itachukua miaka mitano budget ya kilimo kulingana na gharama ya madarasa ya COVID-19(ya Samia).
Daraja la Tanzanite ni sawa na bajeti nzima ya kulimo kwa mwaka mmoja.
Umewahi kutafakari ingekuwa vipi kama kilimo kingekuwa na budget ya 1Trillion?
Tungetatua tatizo la ajira kwa asilimia kubwa kuanzia wakulima, wasafirishaji, wazalishaji mbegu na mbolea, ma bwana kilimo, wafanyabiashara na vijana wa carrier mbali mbali watakao ajiriwa viwandani baada ya viwanda kupata malighafi, vijana wengi wangeelekea kwenye uzalishaji na kuachana na uchuuzi wa bidhaa za kichina.
Tungekuwa na viwanda vingi maana malighafi ingetosha kuviendeaha hivyo uchumi wa nchi ungekuwa kwa kasi.
Tungeweza kubargain, kupunguza uhalifu na kucontrol mfumuko wa bei, watu wakishiba akili zinakuwa na utulivu
Tuna nguvu kazi zaidi ya 60% ya wananchi ni vijana, tuna ardhi kubwa nzuri, vyanzo vingi vya maji kama mito, maziwa na mabwawa.
Tuna soko kubwa la bidhaa zetu kwa idadi ya nchi zinazotuzunguka na soko la ndani.
Kwanini tunaagiza vyakula kutoka nje? Hali tuna kila kitu cha kutufanya tuwe nacho cha kutosha na kuuza kwa wengine.
JK alikuja na "kilimo kwanza". Ndio ulikuwa mwanzo wa vijana wengi kuona kilimo kina tija. Ruzuku za mbolea na vifaa kama powertiler vilirahisisha sana.
Kilimo kilifanikiwa sana tatizo pekee ilikuwa soko la mazao. Nadhani tukitumia approch ile na kumodify sehemu ya upatikanaji wa masoko au ufunguzi wa
viwanda tutakuwa tumelipeleka taifa mbele.
Itachukua miaka mitano budget ya kilimo kulingana na gharama ya madarasa ya COVID-19(ya Samia).
Daraja la Tanzanite ni sawa na bajeti nzima ya kulimo kwa mwaka mmoja.
Umewahi kutafakari ingekuwa vipi kama kilimo kingekuwa na budget ya 1Trillion?
Tungetatua tatizo la ajira kwa asilimia kubwa kuanzia wakulima, wasafirishaji, wazalishaji mbegu na mbolea, ma bwana kilimo, wafanyabiashara na vijana wa carrier mbali mbali watakao ajiriwa viwandani baada ya viwanda kupata malighafi, vijana wengi wangeelekea kwenye uzalishaji na kuachana na uchuuzi wa bidhaa za kichina.
Tungekuwa na viwanda vingi maana malighafi ingetosha kuviendeaha hivyo uchumi wa nchi ungekuwa kwa kasi.
Tungeweza kubargain, kupunguza uhalifu na kucontrol mfumuko wa bei, watu wakishiba akili zinakuwa na utulivu
Tuna nguvu kazi zaidi ya 60% ya wananchi ni vijana, tuna ardhi kubwa nzuri, vyanzo vingi vya maji kama mito, maziwa na mabwawa.
Tuna soko kubwa la bidhaa zetu kwa idadi ya nchi zinazotuzunguka na soko la ndani.
Kwanini tunaagiza vyakula kutoka nje? Hali tuna kila kitu cha kutufanya tuwe nacho cha kutosha na kuuza kwa wengine.
JK alikuja na "kilimo kwanza". Ndio ulikuwa mwanzo wa vijana wengi kuona kilimo kina tija. Ruzuku za mbolea na vifaa kama powertiler vilirahisisha sana.
Kilimo kilifanikiwa sana tatizo pekee ilikuwa soko la mazao. Nadhani tukitumia approch ile na kumodify sehemu ya upatikanaji wa masoko au ufunguzi wa
viwanda tutakuwa tumelipeleka taifa mbele.