Hivyo unataka kusema Capital N ni watanzania wote? Acha ukilaza maana unataka kusema hata mtoto wa mwaka mmoja anatakiwa awe anajua kusoma na kuandika?
Samahani mkuu inaonesha siku ya leo siyo nzuri kwako! Una visirani sijui upo appollo nini? Angalia hata huyu ulivyomjibu Gazeti la The Economist la nchini Uingereza, lamchafua Rais Magufuli - JamiiForumsMzee kwenye research kuna swala la demographic information wakati wa ku collect sample! UNESCO sio wehu kama unavyofikiri! Beside, sielewi unabishana nini, wakati huelewi haya mambo kabisa!
Samahani mkuu inaonesha siku ya leo siyo nzuri kwako! Una visirani sijui upo appollo nini? Angalia hata huyu ulivyomjibu Gazeti la The Economist la nchini Uingereza, lamchafua Rais Magufuli - JamiiForums