Asili ya mziki wa Katitu

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,223
Kwenye miaka ya 1994 nilikuwa nasikiliza mziki wa katitu kupitia redio,pia kwenye vilabu vya pombe za kienyeji nilisikia wakipiga sana miziki hiyo,pia kanda za katitu ziliuzika kweli,mitaa flani mjini na vijijini huko Arusha kwenye vilabu vya pombe za kienyeji mziki huu ulipigwa sana na watu walikuwa wanaushabikia sana,je huu mziki ulitokana na kabila flani
mana pia ukisikiliza utaona kama kuna maneno ya lugha za asili mbali na kiswahili,naomba kama kuna anayejua
chanzo cha mziki huu au kwa Tanzania tufananishe na Zilipendwa?
 
Safari ya katitu
 
Last edited by a moderator:
Katitu ni muziki wenye asili ya Kikamba pale Kenya kwa akina wa Kaneza au wa Mseto wakimaanisha wa nyumbani. Hajawahi kutokea mtu aliyepigia debe muziki wa Kikamba kama marehemu Kakai mwana wa Kilonzo toka Wote kama siyo Mbooni (Sina uhakika na hili). Maana mie ni mtaalamu wa maeneo ya Kati, Mutomo na Mtitu a Ndei. Hayo tuyaache. In brief ni kwamba Katitu ni kamsitu au mtitu kama ni mkubwa. Wakikuyu husema Mutitu _inasome mutito badala ya mutitu, Hivyo Katitu husomeka Katito. Nadhani nimedadavua. Akina Mtitu, Waititu na Kithaka hapa wananielewa. Kohania atya athuri na atongolya? Ni wega mumo njamba za ita.
 
Kenyan traditonal music is very much alive playing in local pubs all the way to world class nightclubs. The kikuyu have mugithi. Wonder if it evolved from momboko regular at Gatundu state house during Kenyatta era. Luo have ohngala popularized by singer Tony Nyadundo. Not to be outdone wana wefwee wa katcmeka,the luhya have modern luhya music heavily laced with isikuti beat.
 
Katitu ni muziki wenye asili ya Kikamba pale Kenya kwa akina wa Kaneza au wa Mseto wakimaanisha wa nyumbani. Hajawahi kutokea mtu aliyepigia debe muziki wa Kikamba kama marehemu Kakai mwana wa Kilonzo toka Wote kama siyo Mbooni (Sina uhakika na hili). Maana mie ni mtaalamu wa maeneo ya Kati, Mutomo na Mtitu a Ndei. Hayo tuyaache. In brief ni kwamba Katitu ni kamsitu au mtitu kama ni mkubwa. Wakikuyu husema Mutitu _inasome mutito badala ya mutitu, Hivyo Katitu husomeka Katito. Nadhani nimedadavua. Akina Mtitu, Waititu na Kithaka hapa wananielewa. Kohania atya athuri na atongolya? Ni wega mumo njamba za ita.

Kwahiyo ina maana neno Katitu imetokana na msitu?ila wanajua sana kucharaza gitaa
 
Kenyan traditonal music is very much alive playing in local pubs all the way to world class nightclubs. The kikuyu have mugithi. Wonder if it evolved from momboko regular at Gatundu state house during Kenyatta era. Luo have ohngala popularized by singer Tony Nyadundo. Not to be outdone wana wefwee wa katcmeka,the luhya have modern luhya music heavily laced with isikuti beat.

So mpaka leo katitu inahit kwenye anga za mziki wa kenya?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom