cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,767
- 73,433
Nimeipenda
Wanangu na kusoma shule za kuongea kimombo.. hiyo salamu kwa kweli najivunia kuwafundisha kuwa ni lazima waitumie
Miaka ya siku hizi watoto wengi nawashangaa wazazi wao hawawakazanii kuamkia na neno hilo..
Halafu unaona watoto wanakulia hapa nchini wanajisikia kutokutumia salamu hiyo kwa watu wakubwa kwao hata wazazi..
Haya tunasubiri mengine tujifunze.. hivi kiswahili kwanini kigumu?.. yaani eeeeh
Wanangu na kusoma shule za kuongea kimombo.. hiyo salamu kwa kweli najivunia kuwafundisha kuwa ni lazima waitumie
Miaka ya siku hizi watoto wengi nawashangaa wazazi wao hawawakazanii kuamkia na neno hilo..
Halafu unaona watoto wanakulia hapa nchini wanajisikia kutokutumia salamu hiyo kwa watu wakubwa kwao hata wazazi..
Haya tunasubiri mengine tujifunze.. hivi kiswahili kwanini kigumu?.. yaani eeeeh