Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
1. Kizota - hili lilitokana na mkutano wa CCM wa Kizota ambapo Mwalimu Nyerere alikuwa anauliza maswali ya kebehi na kusubiri watu wajibu japo maswali yalikuwa yanajijibu; jina hili alipewa Said Mwamba kutokana na kuwapiga chenga za kebehi za kusubiria mabeki tena!
2. Boli Zozo - hili lilitokana na mfungaji wa Stella Artois iliyoigalagaza Simba kwenye mechi ya fainali ya CAF; jina hili alipewa James Tungaraza wa Yanga kutokana na uwezo wake wa kuifunga Simba; nilishuhudia kwa macho yangu mwenyewe akiwafunga mabao mawili nunge!
3. Chabala - hili lilitokana na uwezo wa ajabu wa kudaka penalti, mashuti ya ana kwa ana na washambuliaji na kudaka mipira katika miguu yao kama kipa wa zamani wa Zambia; jina hili alipewa Companero kabla akiwa golikipa kabla hajabadilishwa na Kocha Wenga na kuwa mshambuliaji na winga wa kutisha!
2. Boli Zozo - hili lilitokana na mfungaji wa Stella Artois iliyoigalagaza Simba kwenye mechi ya fainali ya CAF; jina hili alipewa James Tungaraza wa Yanga kutokana na uwezo wake wa kuifunga Simba; nilishuhudia kwa macho yangu mwenyewe akiwafunga mabao mawili nunge!
3. Chabala - hili lilitokana na uwezo wa ajabu wa kudaka penalti, mashuti ya ana kwa ana na washambuliaji na kudaka mipira katika miguu yao kama kipa wa zamani wa Zambia; jina hili alipewa Companero kabla akiwa golikipa kabla hajabadilishwa na Kocha Wenga na kuwa mshambuliaji na winga wa kutisha!