BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Ni mtanzania mwenye asili ya asia-mhindi Mohammed Akberi.anasema alianza kwa jina la bismillah akachukua tan zan ia toka tanganyika na zanzibar!jee serikali yetu haioni umuhimu ya kumpa walau nishani ktk sherehe za muungano huyu mtu? maana yupo hai, jana nimemsikia bbcswahili