Asili ya jina Tanzania na mwasisi wake: Mohammed Iqbal Dar

Jumla tulikuwa watu 16 waliobuni jina Tanzania. This is the story:

The government announced a contest for a new name for the United Republic of Tanganyika and Zanzibar on 31st July 1964. It said the new name should give the sense of unity and easy to pronounce and the deadline was 31st August. The prize for the winner was 10 pounds equivalent to Shs 200. There were 1,534 entries from all over Africa as well as Italy, Australia, Germany, Poland, China, India, Sweden and Russia. The new name was announced by Mwalimu Nyerere at a Press Conference on 31st October 1964.


I was among the 16 participants who won the contest. I got a letter from Permanent Secretary, Ministry of Information and Tourism that the actual name selected was United Republic of Tanzania and although I had submitted only 'Tanzania' I was included among the winners. The total of 16 winners shared Shs 200
and I got a cheque of Sh 12.50. At that time I was in Std 8 in Lindi.
 
Km ni hivyo kwa nini Mwl. Alikuwa anafika kusalimia Familia ya Kina Piru na kwa Father Francis pale Moro na si kwa kina Iqbar?
 
Jee ni kweli Mohamed Iqbal Dar, mwenye asili ya kihindi, aliyekuwa akiishi Tanga, mnamo mwaka 1964 ndiye aliipa nchi yetu jina zuri la "Tanzania"

Kama ni kweli huyu mtu yuko wapi kwa sasa? Na serikali yetu inaweka kumbu-kumbu gani za kihistoria kwa huyu mtu kwa vizazi vijavyo? ili vipate kujuwa nani aliipa nchi hii jina lake.Au mchango wake hauna maana yeyote, ni jina tuu, kwa hiyo potelea mbali Nadhani hata vizazi vya sasa, ambavyo havipo mbali 1964 hatuna uhakika na ndio maana tunauliza.Naomba anaejuwa kuhusu hilo atuelimishe.ili yasitokee kama ya Ngosha. Wa Nembo ya aTaifa />================/UNAPOTAJA historia ya nchi Tanzania, ni dhahiri kwamba hutaacha kutaja majina ya wapigania uhuru na viongozi mbalimbali walioiongoza tangu enzi za ukoloni, hadi kupata uhuru
Hata hivyo, katika kila historia ya taifa lolote iliyojengwa, kuna watu waliofanikisha historia hiyo, lakini kwa sababu moja au nyingine, michango ya baadhi yao imesahaulika na pengine kutotajwa kabisa kwenye historia hizo.

Wengi wa Watanzania tunafahamu kuwa jina la nchi yetu Tanzania, limetokana na majina ya nchi mbili zilizoungana na kuwa moja ambazo ni Tanganyika na Zanzibar. Hivi ndivyo tulivyofundishwa shuleni.
Wengine wanaamini kuwa Rais wa kwanza na muasisi wa taifa hili, Hayati Mwalimu Julius Nyerere ndiye aliyebuni jina la Tanzania.
Lakini ukweli ni kwamba, jina la Tanzania lilibuniwa na mmoja wa wananchi walioshiriki mchakato wa kutafuta jina la nchi hii, baadaya muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.
Mohammed Iqbal Dar ndiye aliyebuni jina la Tanzania, wakati huo akiwa na umri wa miaka 18 akiwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mzumbe.

Ilikuwaje?
"Nilikuwa maktaba najisomea, nilishika gazeti la Daily News, wakati huo likiitwa The Standard, ndipo nikaona tangazo hilo," anaeleza Dar alivyopata hamasa na kuongeza
Siku hiyo hiyo, nikafanya majaribio ya kutafuta jina bila hata ya kuishirikisha familia yangu. Nilichuka karatasi na kalamu, lakini kabla sijaanza kufanya chochote, nilimwomba Mungu aniwezeshe kwa maana naamini Mungu, ndiye kila kitu wakati wa kufanya jambo lolote."

Kwa hiyo kwenye ile karatasi nikaandika Tanganyika na Zanzibar kisha, nikaandika majina yangu mawili; Iqbal na Ahmadiya," anasema Dar na kufafanua kuwa Iqbal ni jina lake na jina la ubini na Ahmadiyya ndiyo dhehebu lake.
Kupata jina Tanzania

Akisimulia alivyopata jina Tanzania, anasema kuwa ilimchukua dakika tano tu kufikiria na kulipata jina hilo.Nilichukua Tan kutoka kwenye Tanganyika na kuongeza Zan kutoka kwenye Zanzibar na kupata Tanzan, niliona halitimii vizuri,"anasimulia Dar.

Anabainisha kuwa baadaye alifikiria na kugundua kuwa majina mengi ya nchi za Afrika yanaishia na mfano akitoa mfano wa Ethiopia, Gambia, Tunisia, Nigeria, Algeria, Somalia, Zambia, Namibia na kwamba baada ya kubaini hilo aliamua kuongezea herufi hizo mbili na kupata jina Tanzania.

Nilituma maombi yangu katika shindano hilo, bila kumwambia mtu yeyote nyumbani," anasema Dar. Baada ya muda mfupi baba yake, mzee Tufail Ahmad Dar, alipokea barua kutoka Wizara ya Habari na Utalii (wakati huo), ambapo ndani yake kulikuwa na ujumbe wa pongezi ya kwamba kijana wake ameshinda katika shindano hilo.
"Wakati naandika, sikuwa na matumaini kama nitashinda kwa kuwa shindano hilo lilikua wazi kwa watu mbalimbali, hivyo sikuwa na tarajio lolote kama ningeshinda, Jioni wakati narudi nyumbani, baba mzazi alinifungulia mlango wakati si kawaida yake kwani mama ndiye alikuwa akinifungulia siku zote, hapo nikajua kuna kitu hakipo sawa. Lakini, nilikaribishwa na tabasamu la baba, pamoja na pongezi nyingi, nilifurahi sana," anaeleza.

Ushuri:
Ni vyema serikali Iikaweka kumbumkumbu mapema ,
Kuzuia kila mtu kuibuka na madai Kwa muhimu .

Kama ni huyu au ni mwingine ????.

Chanzo: Jamii Forum
 

Attachments

  • FB_IMG_1492103240924.jpeg
    FB_IMG_1492103240924.jpeg
    7.1 KB · Views: 85
Waliobuni jina la Tanzania ni watu 16 - na si mtu mmoja kata inavyoelezwa hapa. Kila mmoja wao walipata cheki ya Sh 12.50 kama sehemu yao ya zawadi ya Sh 200. Hakuna mtu aliyepata cheti cha kushinda. Wote walipata barua kutoka Katibu Mkuu pamoja na hundi. Hiyo cheti ambayo huyu bwana anaonyesha ina makosa ya jina la muungano - kwa hiyo ni fake.
 
Tunapofanya utafiti watu wengi wanashiriki kutoa taarifa (data). Mwisho anayetambulika ni mtafiti
Mtoa data (respondent) hana uzito sawa na mtafiti
Nyerere ndiye aliyeandaa utafiti Wa jina. Akatoa sifa za jina liweje
Iqbal was a mere respondent and not a researcher. Hakuna sababu ya kumpa uzito zaidi.
Hoja ni nani alianzisha hoja ya kutafuta jina na kwa nini? Mshindi alishinda kutokana na kukidhi vigezo vya mwandaa shindano na so matakwa ya is Hindi
 
Mimi bado napata mashaka na hofu kidogo, yaani serikali ishindwe kufanya kazi kwa kutokutunza nakala na kumbukumbu za watu waliotupatia jina jema.
Huu naona ni utoto maana niijuavyo serikali duniani kote tena huu ni utamaduni wa zamani kabisa wa kuweka kumbukumbu eti leo hii wajitokeze watu 16 waonekane washindi kwa ushiriki wao wa kupatikana kwa jina alafu mwishoe ajulikane mmoja tu mbaya zaidi mnaonganisha na udini.
" Mungu ni mwema wakati wote"
Tunakukumbuka Baba Nyerere kwa kuwa na akili na maarifa, leo hii tunajionea mengi na kujifunza mengi.
 
Aaaah kwa hiyo ni kweli huyu Jamaa, mwenye asili ya kihindi ndiye alishinda hayo mashindano na ndie aliyeipa hii nchi jina Tanzania? oopsss, history yetu inaonyesha hatuwezi kukwepa uhindi na uarabu uliokuwepo hapa kwetu, kwani hata Dar es Salaam nasikia ni kiarabu pure.
Unachekesha, mkuu. Katika historia huwezi kukwepa chochote ingawa watu wanajaribu mara kwa mara. Hujui Waarabu walikaa kwenye maeneo ya Tanzania kabla kuwepo kwa makabila mengi, maana walifika zaidi ya miaka 1000 iliyopita. Kuna jamii ngapi wanaoweza kusema kwa uhakika walikuwepo wakati ule? Hasa mababu wa Wabantu walianza kusambaa maeneo ya Tanzania baada ya mwaka 1000 tu, wakati Waarabu walipatikana tayari kwenye miji ya pwani.
Historia wakati mwingine haipendwi kama habari zake hazilingani na itikadi. Pale Ulaya bado wanatafuna habari ya kwamba mababu yao wote walitoka Afrika maana asili ya binadamu ya homo sapiens iko hapa...
 
Jee ni kweli Mohamed Iqbal Dar, mwenye asili ya kihindi, aliyekuwa akiishi Tanga, mnamo mwaka 1964 ndiye aliipa nchi yetu jina zuri la "Tanzania".

Kama ni kweli huyu mtu yuko wapi kwa sasa?

Na serikali yetu inaweka kumbu-kumbu gani za kihistoria kwa huyu mtu kwa vizazi vijavyo? ili vipate kujuwa nani aliipa nchi hii jina lake.

Au mchango wake hauna maana yeyote, ni jina tuu, kwa hiyo potelea mbali?

Nadhani hata vizazi vya sasa, ambavyo havipo mbali 1964 hatuna uhakika na ndio maana tunauliza.

Naomba anaejuwa kuhusu hilo atuelimishe.

================
UPDATE:

October 22, 2012
Tuna tatizo la utunzaji kumbukumbu. Hapo utashangaa watatokea zaidi ya mtu mmoja,kila mmoja akidai ni yeye.
 
Jee ni kweli Mohamed Iqbal Dar, mwenye asili ya kihindi, aliyekuwa akiishi Tanga, mnamo mwaka 1964 ndiye aliipa nchi yetu jina zuri la "Tanzania".

Kama ni kweli huyu mtu yuko wapi kwa sasa?

Na serikali yetu inaweka kumbu-kumbu gani za kihistoria kwa huyu mtu kwa vizazi vijavyo? ili vipate kujuwa nani aliipa nchi hii jina lake.

Au mchango wake hauna maana yeyote, ni jina tuu, kwa hiyo potelea mbali?

Nadhani hata vizazi vya sasa, ambavyo havipo mbali 1964 hatuna uhakika na ndio maana tunauliza.

Naomba anaejuwa kuhusu hilo atuelimishe.

================
UPDATE:

October 22, 2012
Kwa sababu tutakuwa na somo la Historia ya Tanzania, hiz kumbukumb ziwekwe kwenye somo hilo
 
Jina Tanzania limetokana na Takanyika na Nzanzibar. Majina yeto haya yametoka kwa Wasambaa na si mtu yeyote ambaye anataka kudanganya kupata credit.
Mmh mbona umejaa chuki yani hutaki kukubali ukweli sasa ukubali ukatae huo ndo ukweli Jina la Tz imetokana na majina ya Tanganyika, Zanzibar na kiunganishi ilikuwa ni jina la alie unda Jina hilo nimesahau ni nani hasa ila miongoni wa watu waliopendekeza Jina la taifa letu ni huyo mzee na chaku shangaza hayupo kwenye historia wala kumbukumbu yoyote. Nilipata kufahamu hili miaka 12 iliyopita ni watu wachache sana nadhani hii imefanyika kutunza legacy ya wapigania uhuru kwa maana huyu angeleta contradictions kwenye legacy ya sisiem hahahaha
 
Aaaah kwa hiyo ni kweli huyu Jamaa, mwenye asili ya kihindi ndiye alishinda hayo mashindano na ndie aliyeipa hii nchi jina Tanzania? oopsss, history yetu inaonyesha hatuwezi kukwepa uhindi na uarabu uliokuwepo hapa kwetu, kwani hata Dar es Salaam nasikia ni kiarabu pure.

Darussalaam=Mji wa amani. Ni neno la kiarabu. Inasemekana hata ikulu ilijengwa na Waarabu/Waislamu, Mohamed Said, huyu mzee ni mtaalamu wa historia , Atakujuza!
 
You are both right

Jambo muhimu ni root ya jina TanZan. Hiyo ia ya mwisho mara nyingi humalizia majina ya nchi/sehemu kama Patagonia, Manchuria, Bavaria, Italia etc.

Katika siku ya muungano 1964 Marehemu Idris Abdul Wakil ambaye wakati huo alikuwa Waziri wa Utalii alipewa dhamana ya kutoa shindano la kutafuta jina la nchi, ndiyo inasemekana huyu bwana akatoa Tanzania likapitishwa, lakini ukisoma magazeti yaliyotokea kutoa siku za mapinduzi mpaka muungano nchi ilikuwa tayari inaitwa Tanzan, kwa hiyo mi sioni alichofanya sana zaidi ya kuongeza hiyo ia ambayo nayo siyo creative sana kwa sababu inajulikana kuwa hiyo suffix ya -ia inatumika dunia nzima kumaanisha nchi ya.

Business Times - News for business owners

Business Times - News for business owners

FB_IMG_1619122339422.jpg
 
Jee ni kweli Mohamed Iqbal Dar, mwenye asili ya kihindi, aliyekuwa akiishi Tanga, mnamo mwaka 1964 ndiye aliipa nchi yetu jina zuri la "Tanzania".

Kama ni kweli huyu mtu yuko wapi kwa sasa?

Na serikali yetu inaweka kumbu-kumbu gani za kihistoria kwa huyu mtu kwa vizazi vijavyo? ili vipate kujuwa nani aliipa nchi hii jina lake.

Au mchango wake hauna maana yeyote, ni jina tuu, kwa hiyo potelea mbali?

Nadhani hata vizazi vya sasa, ambavyo havipo mbali 1964 hatuna uhakika na ndio maana tunauliza.

Naomba anaejuwa kuhusu hilo atuelimishe.

================
UPDATE:

October 22, 2012
Hii sijawahi isikia popote.
Ndio kwanza naiona leo aisee.

Hongera kwa bwana Iqbal Dar.
 
Hiii nchi watu walofanya mema kwa nchi yetu hawakupewa heshima stahili !! Nakumbuka aliyeasisi Nembo ya taifa ,watunzi wa nyimbo za alama kwa taifa mfano Morisi Nyunyusa nk hawakupewa heshma japo kazi zao zitadumu milele
 
Back
Top Bottom