Asili ya jina Tanzania na mwasisi wake: Mohammed Iqbal Dar

kwanini anasema hathaminiwi wakati alikula 200 kama zawadi? alitaka athaminiweje?
 
Aliyeleta hii mada namsoma kama ana falsafa ya udini.ni mtizamo wangu tu.hata hvyo kama ni kweli,haina majotro
 
Hongera zake sana ila kwa tanzania ilivyo atasahaulika sana wanakumbukwa waliotoa pesa kuchapisha tshirt kuvaa uwanjani na kwneye majukwaa wanapesa tuzo
 
hongera zake, lkn nahisi si dini yake ndo inayosababisha asitambulike lkn sera mbovu za chama cha magamba kutowaenzi wananchi wake. mbona akina kawawa, akina sykes na wengine wengi wameandikwa ktk historia ya nchi hii, km ingekuwa ni dini hilo jina lingekataliwa toka enzi hizo. km ni kweli basi huyu mtu hajatendewa haki kabisa hajaandikwa ktk kitabu chochote cha historia wala sijawahi soma sehemu yeyote ile inaelezea kulikuwa na shindano la kubuni jina la Tanzania. wanasema tu kuwa Tanzania ni muunganiko wa majina mawili tanganyika na zanzibar. lkn ndo mfumo wa kijamaa huo historia hupendelea watawala tu
 
Nina wasiwasi na ubunifu wa hizo herufi mbili za mwisho yaan ...IA.., kuhusiana na dini yake....... ALAFU MBONA MWENZENU NASHINDWA KUELEWA KWANINI SUALA HILI LIMECHELEWA KUFAHAMIKA NAMNA HII?????? Bado nina wasiwasi na suala hili.....labda mnisaidie jamani!!!!!!!!
 
Kutoka wavuti.com ya da Subi...

Nimeona niwatumie hii wadau wangu ili tuweze kuongeza ufahamu na kama ulikuwa unalijua hili basi nimekukumbusha pia mambo yalivyokuwa miaka ya 1964.


source: Wavuti - Habari
 
Kazi nzuri...Nakupongeza kwa kuweza kutuelewesha historia nzuri ya jina la Tanzania...kwa wasomi hilo ni swala la mjadala ili kuongezeana elimu katika hili hasa sisi wa vizazi baada ya uhuru tusio na elimu kubwa ya historia ya mwanzo wa Muungano. Thanks
 
Jamani hebu tuache chuki hata ktk ukweli, kwani kuna tatizo gani to appreciate and let it pass. sasa kuna udini gani hapa?
 
kama na yeye alibuni hilo jina so what?alitaka apewe urais/uwaziri kwa ajili ya utunzi wake ndipo aone amethaminiwa?
 
Back
Top Bottom