Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Roy, hili neno ni kweli kabisa.
Hebu angalia hapa ulione BOMA la kizamani. Utajua kwa nini hata Zizi liliitwa BOMA. Kwa jengo yanafanana sana. Inanikumbusha mwalimu wangu wa shule ya Msingi alikuwa akimwita Mzungu mmoja Von Little. Akacheka kuwa wazee zamani walikuwa wakisoma jina lake FON Little. Ukweli ni kuwa Wazee walikuwa sawa. Hili jina kwa KiDutch linasomeka FON na siyo VON kama linavyoandikwa. Ni sawa na gari la Volkswagen ambalo husomeka kama sikosei "Folks-Vagen" yaani gari la wanachi??? Kweli inabidi kuwa na heshima kwa wazee na kujifunza kutoka kwao.
Boma (enclosure - Wikipedia, the free encyclopedia)
Hebu angalia hapa ulione BOMA la kizamani. Utajua kwa nini hata Zizi liliitwa BOMA. Kwa jengo yanafanana sana. Inanikumbusha mwalimu wangu wa shule ya Msingi alikuwa akimwita Mzungu mmoja Von Little. Akacheka kuwa wazee zamani walikuwa wakisoma jina lake FON Little. Ukweli ni kuwa Wazee walikuwa sawa. Hili jina kwa KiDutch linasomeka FON na siyo VON kama linavyoandikwa. Ni sawa na gari la Volkswagen ambalo husomeka kama sikosei "Folks-Vagen" yaani gari la wanachi??? Kweli inabidi kuwa na heshima kwa wazee na kujifunza kutoka kwao.
Boma (enclosure - Wikipedia, the free encyclopedia)