Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 923
- 547
Kama fuvu la binadamu wa kale lilitokea tz sijui una maana gan na hizi stor nyingine za kufikirika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipotuliza akili Historia lazima ikuchanganyeKama fuvu la binadamu wa kale lilitokea tz sijui una maana gan na hizi stor nyingine za kufikirika.
Tutapata historia ya ukweli kwa kucheki DNA zetu na kulinganisha na jamii zingine duniani kimfanano na kuoanisha na hadithi za wazee wetu kuhusu walichoambiwa na wazee wao waliotokea wapi, endapo zikifanana hapo ndo tutapata historia za kweli na sio hizi za kuandikwa na wakuja wa mabara mengine na sisi kuzitumia na kumezeshana sumu kana kwamba tumezifanyia utafiti
Bacteria walioishi na kutokea baharini. Nisaidieni kunijulisha:
1. Bacteria hao walitoka wapi?
2. Bahari nayo iliktoka wapi?
Hahaaaa Idd Amin tangu lini alikuwa mnilote ?Watutsi sio Nilotic mkuu,hao ni jamii moja na Wambulu,wahabesha.
Nilotic ni kina Maasai kama ulivyosema,Wajaluo,Wale wa Sudan Kusini, na kina Idi Amin Dada.Asante.
Poa nilotic kuna wale wakenya wanakimbia sana piaHahaaaa Idd Amin tangu lini alikuwa mnilote ?
Jiulize inakuaje diallo ni majina ya watu wa West Africa lkn hapohapo kuna wasukuma wanaitwa Diallo hivyo hivyo,it's complicated.Mfano wa hizi wa sumu ni hivi hapa umeandikwa asili yangu ni nigeria na cameroon wakati kuna uzi umu umu uliwai kusema ni misri ya zamani umu ndani mnasema mimi n mbantu pure wakati ukiingia google kuna waswahili wengine wanasema majority ya kabila langu si wabantu ila nikimuuliza shangazi yangu ananiambia yeye aliambiwa na wazee wake kuwa wazee wao walitokea burundi ila baba ye anasema anajua wazee wao wametokea misri ya zamani yaani ni utata tupu kuhusu hizi historia zisizo na uthibitisho wa kisayansi........DNA itasaidia sana watanzania kujua historia
Wagogo wana asili ya Congo na hata kambona aliwahi kumtuhumu Malecela ni kua mcongo,Mcheki hata Le mutuzi alivyokua anafanana na Marehemu Kabila Snr.Mbona tunaaminishwa kuwa wenye asili ya Tanzania ni wagogo ss tuelewe vp?
Hapana hawa asili yao ni Cushite/ethiopia...ni Hamites pamoja na somaliz na south sudaniseWe Maasai people and other Nilotic backgrounds come from Israel through egypt
Kuna mchezaji mpira mzimbabwe anaitwa KHAMA BILIATI, majina ya kina KHAMA yanapatikana pia TANGA tz.Jiulize inakuaje diallo ni majina ya watu wa West Africa lkn hapohapo kuna wasukuma wanaitwa Diallo hivyo hivyo,it's complicated.
Kifo.Hatuhitaji kujua tulipotokea,tunahitaji kujua tunapokwenda
Watutsi wana chembe chembe za ubantu lakin asili yao hasa wanatokea Northern Africa. Ndo maana unaona wamefanana na wamasai au wa'soutj sudan. Warefu wembaba na pua nyembamba.
Nilo-Saharan languages - Wikipedia