Asili na Chimbuko la Makabila Yote Tanzania na Africa

mpiga domo

JF-Expert Member
Apr 30, 2013
852
1,502
Heri ya Mwaka Mpya Great Thinkers,

Leo nimeamua kuja na huu uzi mahususi kwasababu ni mwisho wa mwaka na wengi wetu tunapenda kurudi makwetu. Wapare na Wachaga wataenda kwao Kilimanjaro, Wameru, Wambulu na Wamasai wataenda kwao Manyara na Arusha. Wasukuma, Wahaya na Wanyamwezi wataenda kwao Shinyanga, Bukoba, Tabora na Mwanza. Vile vile ndugu zetu Wanyakyusa watarud kwao Mbeya n. k nk. Kwahyo si vibaya tukajua sisi wote chimbuko letu ni nini hasa.

Lakini wengi wetu tumekua tukijivunia kurud ma'kwetu bila kujua sisi wote asili yetu ni moja. Watu wote wanaoishi East West and South Africa asili yetu ni moja na asili hyo ni BANTU. With exception ya makabila machache kama Wamasai, Watutsi ambayo asili yao ni NILOTIC. Na ukitoa wachache South Africa ambayo asili yao ni KHOISAN. Na ukitoa PYGYMY watu wafupi wa Congo. Na ukitoa watu kama wambulu ambao asili yao hasa ni AFROSIATIC

Sisi wote tunatokea West Africa maeneo ya Nigeria na Cameroon. Kutokana na ongezeko la idadi ya watu na kutafuta opportunities nyingine za ardhi kwa ajili ya Chakula tungaanza the great migration kutoka West Africa kuja Central Africa hadi ukanda wa Bahari ya East Africa na wengine wetu wakashuka hadi South Africa. Hii Great Migration ya Bantu people kutokea West Africa ilianza miaka 3,500 iliyopita.

Baadhi yetu walibaki Congo na kujiendeleza hapo na kufanya intermarriage na PYGYMY people, wengine wakaja Tanzania na Kenya wakachanganyika na kuoana na NILOTIC people waliotokea Sudan, South Egypt na Uganda na kutengeneza makabila kama Chagga, Sukuma, Nyakyusa, Masai, Pare n. k.

Wengine wakashuka chini wakaoana na KHOISAN na kutengeneza makabila kama Zulu, Ngoni na Shona and Ndebele.

Lakini ukichunguza asili yetu kabisa wote tunatokea Nigeria na Cameron. Na wote ethnicity yetu hata ki'genetics ni Bantu people.

Amani iwe nanyi katika kipindi hiki cha sikukuuu mkifiria mnapotokea.

Link hii hapa na mwenye kuongezea aongezee

[Bantu peoples - Wikipedia]
 
Heri ya Mwaka Mpya Great Thinkers,

Leo nimeamua kuja na huu uzi mahususi kwasababu ni mwisho wa mwaka na wengi wetu tunapenda kurudi makwetu. Wapare na Wachaga wataenda kwao Kilimanjaro, Wameru, Wambulu na Wamasai wataenda kwao Manyara na Arusha. Wasukuma, Wahaya na Wanyamwezi wataenda kwao Shinyanga, Bukoba, Tabora na Mwanza. Vile vile ndugu zetu Wanyakyusa watarud kwao Mbeya n. k nk. Kwahyo si vibaya tukajua sisi wote chimbuko letu ni nini hasa.

Lakini wengi wetu tumekua tukijivunia kurud ma'kwetu bila kujua sisi wote asili yetu ni moja. Watu wote wanaoishi East West and South Africa asili yetu ni moja na asili hyo ni BANTU. With exception ya makabila machache kama Wamasai, Watutsi ambayo asili yao ni NILOTIC. Na ukitoa wachache South Africa ambayo asili yao ni KHOISAN. Na ukitoa PYGYMY watu wafupi wa Congo.

Sisi wote tunatokea West Africa maeneo ya Nigeria na Cameroon. Kutokana na ongezeko la idadi ya watu na kutafuta opportunities nyingine za ardhi kwa ajili ya Chakula tungaanza the great migration kutoka West Africa kuja Central Africa hadi ukanda wa Bahari ya East Africa na wengine wetu wakashuka hadi South Africa. Hii Great Migration ya Bantu people kutokea West Africa ilianza miaka 3,500 iliyopita.

Baadhi yetu walibaki Congo na kujiendeleza hapo na kufanya intermarriage na PYGYMY people, wengine wakaja Tanzania na Kenya wakachanganyika na kuoana na NILOTIC people waliotokea Sudan, South Egypt na Uganda na kutengeneza makabila kama Chagga, Sukuma, Nyakyusa, Masai, Pare n. k.

Wengine wakashuka chini wakaoana na KHOISAN na kutengeneza makabila kama Zulu, Ngoni na Shona and Ndebele.

Lakini ukichunguza asili yetu kabisa wote tunatokea Nigeria na Cameron. Na wote ethnicity yetu hata ki'genetics ni Bantu people.

Amani iwe nanyi katika kipindi hiki cha sikukuuu mkifiria mnapotokea.

Link hii hapa na mwenye kuongezea aongezee

[Bantu peoples - Wikipedia]
Mbona wanasema wahaya inasemekana walitoka misri hebu fuatilia historia yao sio kongo
 
huu Uzi mbona unamadini mazito hivyo lakini ajabu hauna wachangiaji !!?
"If you do not know where you come from, then you don't know where you are, and if you don't know where you are, then you don't know where you're going"-Terry Pratchett

Watu wengi weusi hatutaki kujua historia yetu. Tunauana, kuchukiana na kubaguana bila sababu na wakati sisi wote asili yetu ni moja.

Wachangiaji wako busy kwenye page za udaku.
 
Sasa na hapo Nigeria na Cameroon walifikaje? Sasa wewe unataka warudi huko Nigeria na Cameroon katika misimu hii ya sikukuu, je vyombo vya usafiri vitatosha na wakifika huko wataenea kweli?
Binadamu wa kwanza kabisaaa alitokea East Africa maeneo ya Serengeti Plains na Olduvai kama miaka milion mbili iliyopita.

Baada ya hapo walianza migration kwenda sehemu nyingine dunian.
 
asili ya wakazi wa mkoa kilimanjaro,nikimaanisha wapare,wachaga na wagweno.twende pamoja taratibu
 
Binadamu wa kwanza kabisaaa alitokea East Africa maeneo ya Serengeti Plains na Olduvai kama miaka milion mbili iliyopita.

Baada ya hapo walianza migration kwenda sehemu nyingine dunian.
Huyo binaadamu wa kwanza alitokea kutoka wapi?? alizuka au?? je alikua rangi gani?? na kama sote tumetokea Nigeria na Cameroon vipi huyo wa kwanza atoke Olduvai??
 
unachoongea ni kweli nina story nyingi zinazothibitisha hili na kwakweli ni vizuri baraza la sanaa likaratibu hii kitu.
nilikaa na mzee mmoja siku moja akanieleza kuwa hakuna kabila linaitwa wachaga, wengi ni wanasai waliochanganyika na makabila mengine ikiwemo wakamba,wajerumani,wahindi nk
asili ya wasukuma na wanyamwezi ni wasumbwa ambao asili yao ni senegal hivyo mpaka wanafika hapa wamepita na kuzaliana na mataifa mengi ikiwemo waarabu,wakongo,watusi,waganda nk. makabila haya yaligawanyika kwa wengine kuwa wafugaji na wengine wakulima na kabila kubwa ni wanyamwezi waliwakimbiza wasukuma mpaka ziwa nyanza najua mengi yatafuata baada ya hapa.
lakini swali la kizushi je ni kweli chief maliare ni mchaga au mjerumani? hili si swali zuri lakini tunapoendelea kutafuta ukweli na haya tuyajue.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom