Asili na Chimbuko la Makabila Yote Tanzania na Africa

Wewe una kitu unataka hapa ila unajifanya fanya tu!! unajua vizuri sana!! asili ya Mtu mweusi funguka tu bana!!! wala siyo huko unakosema sema weye!!
 
Watutsi wana chembe chembe za ubantu lakin asili yao hasa wanatokea Northern Africa. Ndo maana unaona wamefanana na wamasai au wa'soutj sudan. Warefu wembaba na pua nyembamba.

Nilo-Saharan languages - Wikipedia
Watutsi sio NILOTES ni CUSHITE (Wakushi)
Nilote ni wembamba warefu ila wana nywele za kipilipili cha Africa
Wakushi ni jamii za watu wa Ethiopia na wasomali nywele zao za kuteleza
Mtutsi ni sawa na msomali aliyechakachuliwa
 
Ethiopia je? mbona huisemi? km asili ya watu weusi make haiajwahi twaliwa ile! cameroon mbaaalikule! mweee!! yaani umerishwa mijitango pori mpaka umevembewa nyooooooooo!
 
na hao waarabu wa afrika walitokea wapi .hapo naigeria na comeroon hao wabantu Mungu ali wa umbia hapo
 
halafu unaamini kuwa kichwani mwako unaakili kweli ..
kama hauitaji kujua ulipotoka niwazi ikitokea baadae ukafanikiwa hata wazazi wako na ndugu zako utawakana wewe..
ingawa mafanikio hayana desturi yakwenda kwa mtu asiyejitambua ..nahata kama yakienda huwa nikatka sehemu yake ya Maputo tu..
kutokujua unapotoka nisawa nakutojitambua mkuu ..
Lakini jamaa ana hoja ...ni muhimu kujua tutakapoelekea baada ya hapa tulipo!!
 
Na hapa, Tanzania wenye asili ya hapa haswa ni Nani manake haiwezekani tu hao wacameroon na wanaigeria watoke huko walipotoka na wasikute watu wowote waliokuwa na asili ya Tanzania, naamini kipindi hicho Tanzania haikuwa tupu, ilikaliwa na Nani????
itakuwa ni waluguru
 
Ethiopia je? mbona huisemi? km asili ya watu weusi make haiajwahi twaliwa ile! cameroon mbaaalikule! mweee!! yaani umerishwa mijitango pori mpaka umevembewa nyooooooooo!
UMemchamba sana nadhani next time atakuwa anaogopa kuwa wanawake wa humu wanachamba sana. Dada upo maeneo gani?
 
Huwezi ulaniletea historia hiyo alafu ukaniambia kabila fulani ni ndugu zangu, ndugu kivip
Ukitaka kuleta historia hiyo rudi nyuma kabisa ufikie kwa wanae nuhu na ugundue kwamba sisi sote ni ndugu na tuishi hivyo popote duniani kwa amani na upendo kabisa
Tatizo lako na wewe unatumia biblia kama reference kutetea hoja yako,sisi tunataka kujua asili ya binadam wa kwanza alitokea wap kihistoria?
 
Ethiopia je? mbona huisemi? km asili ya watu weusi make haiajwahi twaliwa ile! cameroon mbaaalikule! mweee!! yaani umerishwa mijitango pori mpaka umevembewa nyooooooooo!
Kinacho changanya watu hapa ni kitu kimoja!!, wanaposema asili ya wabantu ni Nigeria na Cameron hawamaanishi asili ya watu kwa muonekano, mfano Urefu, rangi,nywele n.k!. Kinacho maanishwa hapa ni Lugha ( matamshi), unaposema wabantu, Wanailot,wakushi na wakhoisan hapo kinachotofautisha hayo makundi ni matamshi yao katika lugha na sio muonekano wa watu. Kwa mfano akiwekwa hapo Muhaya, mchaga, mjaluo, mkurya, mmakonde, mmasai, msukuma ,mhadzabe na muiraqw , kitakachofanya ajulikane huyu ni mbantu, mnailot, mkushi au mkoisani ni matamshi ya lugha yake na sio muonekano wake. Kwa maana kwa muonekano wapo wanaoshabihiana ingawa hawapo ktk kundi moja la lugha.
 
Watutsi sio NILOTES ni CUSHITE (Wakushi)
Nilote ni wembamba warefu ila wana nywele za kipilipili cha Africa
Wakushi ni jamii za watu wa Ethiopia na wasomali nywele zao za kuteleza
Mtutsi ni sawa na msomali aliyechakachuliwa
Watutsi ni wabantu na sio nilotes au cushites. Tunachoangalia ni lugha (matamshi) yao na sio physical appearance yao. Lugha yao inaangukia kwenye familia ya lugha za kibantu.
 
Na sisi Wakojani je?

Sema mleta Mada analeta ubandidu kuna himaya kaziondosha kabisa as if hazina chao wakati jamii hizo zipo karna kadhaa haswa Arabs Shiraz na Hindi... anakomaa na Cameroon tu huku historia ikisema Wagogo hawana damu wala DNA za huko africa magharibi
 
Back
Top Bottom