minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
:argue: ashley cole na mkewe cheryl cole wameingia katika mzozo mkubwa wa kindoa sababu ikielezwa kuwa mwanaspoti huyo ni mzinzi na inasemekana ameshasamehewa na cheryl mara kadhaa.
:kiss: sasa inasemwa ya kuwa huyo dada naye kaamua kutoka live na mr hough mchana kweupe ambapo yasemekana utepe wa hilo penzi ulikatwa hapa tz alipotembelea zama za kombe la dunia huku ikisemekana kuukwa malaria ya bongo isiyokubalika na kuchungulia kaburi.
huyo dada sasa anamlaumu mumewe kwamba ndiye aliyeanzisha na na yeye sasa anamalizia na hivyo huyo mwanandinga awe mpole huku bibie akiapa kuomba talaka na kudai ashley ajilaumu mwenyewe kwa kuvunja ndoa yao.
jamii ya kiingereza inaonekana kumpa shavu cheryl na kumpondea ashley kama disgrased husband.
kati ya hao wawili, yupi ndiye mzinzi zaidi?
:kiss: sasa inasemwa ya kuwa huyo dada naye kaamua kutoka live na mr hough mchana kweupe ambapo yasemekana utepe wa hilo penzi ulikatwa hapa tz alipotembelea zama za kombe la dunia huku ikisemekana kuukwa malaria ya bongo isiyokubalika na kuchungulia kaburi.
huyo dada sasa anamlaumu mumewe kwamba ndiye aliyeanzisha na na yeye sasa anamalizia na hivyo huyo mwanandinga awe mpole huku bibie akiapa kuomba talaka na kudai ashley ajilaumu mwenyewe kwa kuvunja ndoa yao.
jamii ya kiingereza inaonekana kumpa shavu cheryl na kumpondea ashley kama disgrased husband.
kati ya hao wawili, yupi ndiye mzinzi zaidi?
- ni ashey cole aliyeanzisha soo?
- ni cheryl aliyeamua kulipiza na kuelekea kuvunja ndoa?