MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,094
- 7,218
Jamaa mmoja huko nchini Zimbabwe kwa babu Mugabe kashinda kwenye shindano
la kumsaka mkali mwenye sura ngumu (sura ya kiume) , na hatimaye kujishindia
kiasi cha Dollar 500 US,
Jamaa huyo ajulikanae kwa jina la Mison Sere aliibuka kidedea (500 $ ) na kuwashinda wapinzani wake
waliokuwa nae. Mshindi namba 2 aliibuka na kitita cha dola 200 na mshindi namba 3 akiwa na dola 100.
Hata hivyo washindani wake walipinga ushindi wake kwa kusema kuwa mshindi aliyetangazwa ameonekana
mrembo tu (mwari) mbele yao , na ushini aliopata sio wa haki. Mathalani Bw. Willium Masvuni ambaye amekuwa
akishinda kwa vipindi vitatu mfululizo toka shindano lilipo anzishwa mnamo mwaka 2012.
Bingwa mtetezi Bw. Willium ambaye aliisha twaa taji hilo mara 3 mfululizo kipindi cha nyuma.
Hapa akiwa na mkewe Mrs. Alice Chabangha
Picha ya pamoja ya wshiriki wa shindano husika lijulikanalo kwa jina la 'Mr. Ugly"
kabla shindano rasmi halijaanza.
Mshindi akiwa na tabasamu tele baada ya kunyanyua ndoo ya shindalo la sura ngumu.
kwa jina anaitwa Mison Sere . Na baada ya ushindi wake wa kimbunga aliweza kuwaambia waandishi
wa habari maneno haya "I want to thank God for winning this title, last time I came fourth. I just want to thank the judges for recognising me as the winner,? Sere told journalists during a night of festivities attended by 200 revellers.
la kumsaka mkali mwenye sura ngumu (sura ya kiume) , na hatimaye kujishindia
kiasi cha Dollar 500 US,
Jamaa huyo ajulikanae kwa jina la Mison Sere aliibuka kidedea (500 $ ) na kuwashinda wapinzani wake
waliokuwa nae. Mshindi namba 2 aliibuka na kitita cha dola 200 na mshindi namba 3 akiwa na dola 100.
Hata hivyo washindani wake walipinga ushindi wake kwa kusema kuwa mshindi aliyetangazwa ameonekana
mrembo tu (mwari) mbele yao , na ushini aliopata sio wa haki. Mathalani Bw. Willium Masvuni ambaye amekuwa
akishinda kwa vipindi vitatu mfululizo toka shindano lilipo anzishwa mnamo mwaka 2012.
Bingwa mtetezi Bw. Willium ambaye aliisha twaa taji hilo mara 3 mfululizo kipindi cha nyuma.
Hapa akiwa na mkewe Mrs. Alice Chabangha
Picha ya pamoja ya wshiriki wa shindano husika lijulikanalo kwa jina la 'Mr. Ugly"
kabla shindano rasmi halijaanza.
Mshindi akiwa na tabasamu tele baada ya kunyanyua ndoo ya shindalo la sura ngumu.
kwa jina anaitwa Mison Sere . Na baada ya ushindi wake wa kimbunga aliweza kuwaambia waandishi
wa habari maneno haya "I want to thank God for winning this title, last time I came fourth. I just want to thank the judges for recognising me as the winner,? Sere told journalists during a night of festivities attended by 200 revellers.