ashakum si matusi

Mar 10, 2011
45
0
hivi hiyo tume ya nishati ya bunge, imetoa mapendekezo kwa serikali, je mapendekezo hayo kweli yatalinda maslahi ya watz waliowengi au ndo imetumika kama vile formality kuwalinda wale wanaokula kuku kwa mrija... manake pendekezo la kwanza nasikia mitambo ya dowans iwashwe! hili ni la kudumu? au ndo iwashwe mpaka mvua zitakaponyesha?

nchi yetu kila kitu kinaenda kwa dua, eti ili umeme uwake watz tunatakiwa tuombe mvua, kama jua ni lauhakika zaidi kwa nini hatutizami umeme wa jua ili utufae kiangazi halafu kwenye masika tugeukie kidatu???!!
 
hapo sasa,
mzee wa upako aliombea mvua ikaja naona umeme bado utata.
haya jua linawaka,ila solar bei na kuimudu ni gharama.

katika mapendekezo yao walisema mitambo ya dowans itawashwa sijui labda wameagiza muwashaji huko abroad.
 
hapo sasa,
mzee wa upako aliombea mvua ikaja naona umeme bado utata.
haya jua linawaka,ila solar bei na kuimudu ni gharama.

katika mapendekezo yao walisema mitambo ya dowans itawashwa sijui labda wameagiza muwashaji huko abroad.
Hahah! Immigration wanaweza kumnyima viza..loolz
 
Wanaangalia uwezekano wa kufanya uzinduzi pale leaders club, si unajua tena nyinyi em bila uzinduzi mambo hayanogiiiiii!!!!
 
umeanza ashakum si matusi...nikajua kutakua na maneno mabaya ya matusi kumbe!!!!!!
Haya .....yangu nawapa masikio tu!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom