Ni wakati wa kuanza kufikiria kinyang'anyiro cha urais hapo mwakani.
Nadhani ni wakati kufikiria mgombea mwenza wa kiti cha URAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya CCM. Dr Shein akagombee urais Zanzibar. Asha Rose kugombea kiti cha umakamu wa rais kutamwandaa vyema kwa kugombea urais 2015.
Kwa kiti cha umakamu wa rais wa JMT, si mwingine, bali mwanamama shupavu, mahiri na mwenye kipaji cha hali ya juu cha uongozi, aje kusaidia kuleta maisha bora kwa watu wote nchini mwake, naye si mwingine bali:
ASHA ROSE MIGIRO.
Nadhani ni wakati kufikiria mgombea mwenza wa kiti cha URAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya CCM. Dr Shein akagombee urais Zanzibar. Asha Rose kugombea kiti cha umakamu wa rais kutamwandaa vyema kwa kugombea urais 2015.
Kwa kiti cha umakamu wa rais wa JMT, si mwingine, bali mwanamama shupavu, mahiri na mwenye kipaji cha hali ya juu cha uongozi, aje kusaidia kuleta maisha bora kwa watu wote nchini mwake, naye si mwingine bali:
ASHA ROSE MIGIRO.