Elections 2010 Asha Rose Migiro for President 2010

Mama

JF-Expert Member
Mar 24, 2008
2,848
58
Ni wakati wa kuanza kufikiria kinyang'anyiro cha urais hapo mwakani.

Nadhani ni wakati kufikiria mgombea mwenza wa kiti cha URAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya CCM. Dr Shein akagombee urais Zanzibar. Asha Rose kugombea kiti cha umakamu wa rais kutamwandaa vyema kwa kugombea urais 2015.

Kwa kiti cha umakamu wa rais wa JMT, si mwingine, bali mwanamama shupavu, mahiri na mwenye kipaji cha hali ya juu cha uongozi, aje kusaidia kuleta maisha bora kwa watu wote nchini mwake, naye si mwingine bali:

ASHA ROSE MIGIRO.
 
Ni wakati wa kuanza kufikiria kinyang'anyiro cha urais hapo mwakani.

Nadhani ni wakati kufikiria mgombea mwenza wa kiti cha URAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya CCM. Dr Shein akagombee urais Zanzibar. Asha Rose kugombea kiti cha umakamu wa rais kutamwandaa vyema kwa kugombea urais 2015.

Kwa kiti cha umakamu wa rais wa JMT, si mwingine, bali mwanamama shupavu, mahiri na mwenye kipaji cha hali ya juu cha uongozi, aje kusaidia kuleta maisha bora kwa watu wote nchini mwake, naye si mwingine bali:

ASHA ROSE MIGIRO.

Mawazo mazuri ingawa hayajazingatia katiba tuliyonayo kwa sasa. Unless unataka kusema mojawapo kati ya yafuatayo:

- Tubadilishe katiba kabla ya 2010 kuondoa kipengele kinachotataka makamu wa Rais atoke upande tofauti wa Muungano na Rais.

- Mgombea urais kwa tiketi ya sisiemu 2010 atatokea zanzibar na hivyo Kikwete will not run for a second term!

- Asha Rose Migiro agombee kwa tiketi ya chama toafuti na sisiemu akiwa kama mgombea mwenza wa mgombea uraisi kutoka zanzibar
 
Ni wakati wa kuanza kufikiria kinyang'anyiro cha urais hapo mwakani.

Nadhani ni wakati kufikiria mgombea mwenza wa kiti cha URAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya CCM. Dr Shein akagombee urais Zanzibar. Asha Rose kugombea kiti cha umakamu wa rais kutamwandaa vyema kwa kugombea urais 2015.

Kwa kiti cha umakamu wa rais wa JMT, si mwingine, bali mwanamama shupavu, mahiri na mwenye kipaji cha hali ya juu cha uongozi, aje kusaidia kuleta maisha bora kwa watu wote nchini mwake, naye si mwingine bali:

ASHA ROSE MIGIRO.

Migiro is very weak in terms of leadership capacity. She was about to be dropped and sent home from the UN post last year if not pleaded by the Government of URT supported UK Government on condition that MIGIRO's term be extend for one year only (2009) instead of 2 years. So she will be back on her early retirement to Dar next year.
She has failed the UN and Tanzania.
Please do not count on her.
Like Kikwete, Migiro is another 'uchochoro' and the fertile facility for Mafisadis, period.
 
Migiro is very weak in terms of leadership capacity. She was about to be dropped and sent home from the UN post last year if not pleaded by the Government of URT supported UK Government on condition that MIGIRO's term be extend for one year only (2009) instead of 2 years. So she will be back on her early retirement to Dar next year.
She has failed the UN and Tanzania.
Please do not count on her.
Like Kikwete, Migiro is another 'uchochoro' and the fertile facility for Mafisadis, period.
=========

Sababu ya Tigo nini?
I can confirm most of what you said about UN Secretary general intention to drop her last year.
 
Migiro is very weak in terms of leadership capacity. She was about to be dropped and sent home from the UN post last year if not pleaded by the Government of URT supported UK Government on condition that MIGIRO's term be extend for one year only (2009) instead of 2 years. So she will be back on her early retirement to Dar next year.
She has failed the UN and Tanzania.
Please do not count on her.
Like Kikwete, Migiro is another 'uchochoro' and the fertile facility for Mafisadis, period.

- Hizi dataz zako hazina ukweli wowote, Mama Miigiro na Baki-moon ni damu damu sana, haendi kokote yupo UN mpaka katibu wake atakapotoka, wabongo UN walidhani kwamba kwa sababu mbongo ameingia basi watapanda vyeo na kutesa kama vile siasa za bongo,

- Kumbe huko UN kuna miongozo ya sheria sasa ndio wamebaki kumzushia maneno ya uongo kila kukicha aibuu, inatia kichefu chefu sana kwa tunaoujua ukweli na tunaowajua wanaozusha haya maneno ya uongo na majungu! Mimi ninayo mpaka barua ya majungu aliyoiandika mtu mmoja huko UN na kunipa niiweke kwenye mitandao ili kumchafua huyu mama, wabongo bwana hata nje bado roho za kimasikini tu!

Respect.

FMEs!
 
The UN is so so irrelevant these days and it is pretty much a third world organization
 
..UN kuna siasa nyingi sana. mtu anaweza kupoteza nafasi yake, siyo kutokana na utendaji mbaya, bali siasa na majungu ya UN.

..nimesoma kitabu cha Boutrous Ghali ndiyo nikajua nini kinaendelea UN.

..hata uteuzi wa Mama Mongella ulipingwa sana, na Madeline Albright, sababu kubwa alikuwa ameteuliwa na Dr.Ghali, ambaye alikuwa amekosana na USA.

..hata mabadiliko yaliyotokea Nairobi, ambapo Prof.Tibaijuka amekuwa demoted, ni ushahidi tosha wa siasa za UN.
 
..

..hata mabadiliko yaliyotokea Nairobi, ambapo Prof.Tibaijuka amekuwa demoted, ni ushahidi tosha wa siasa za UN.

- Ya Mama Tibaijuka ni tofauti, yeye amekuwa under investigation kwa muda mrefu sana kwa kuajiri ndugu zake kule UN, demotion yake ni matokeo ya uchunguzi huo na wala sio anything else, kwanza ana bahati sana kwamba hawakumfukuza kabisa,

- Halafu apunguze majivuno kwenye kazi, maana hayo ndiyo yaliomtoa Mwakawago UN, kule SierraLeone, otherwise you are right sana na politics za UN.

FMES!
 
FMES,

..watumishi wa UN pale Nairobi waliandamana kupinga Ban Ki-Moon kum-demote Prof.Tibaijuka.

..kama Prof angekuwa na ukabila sidhani kama watumishi wale wangemuunga mkono.

..vilevile kama anahusika na ukabila basi wangemuondoa moja kwa moja na siyo kumpunguzia madaraka tu .hata kwa hiyo nafasi waliyomuacha nayo, DG wa UN-Habitat, bado ana uwezo wa kuajiri na kuendeleza huo ukabila unaomtuhumu.
 
FMES,

..watumishi wa UN pale Nairobi waliandamana kupinga Ban Ki-Moon kum-demote Prof.Tibaijuka.

..kama Prof angekuwa na ukabila sidhani kama watumishi wale wangemuunga mkono.

..vilevile kama anahusika na ukabila basi wangemuondoa moja kwa moja na siyo kumpunguzia madaraka tu .hata kwa hiyo nafasi waliyomuacha nayo, DG wa UN-Habitat, bado ana uwezo wa kuajiri na kuendeleza huo ukabila unaomtuhumu.

- Hizi mkuu ulizozisema ni politics zaidi kuliko ukweli wa mambo, I hope na wewe hauko motivated na huo huo ukabila tunoukataa, au?

FMES
 
.....just been Mocked by North Korea,lets see what security council will do about it.
** by the way,I'm not glorifying the act.

Hivi hawa UN walikuwa wapi kule Rwanda? kule Bosnia-Herzegovina? kule Chechnya? kule Liberia? kule Sierra Leone? wako wapi na wanafanya nini kule Darfur maana ukatili bado unaendelea?

This thing is so irrelevant and it should be disbandend. All they do is just sit there and talk and do nothing. They talk more than they do. What the hell?

To all intents and purposes, the UN has failed!!
 
..hata uteuzi wa Mama Mongella ulipingwa sana, na Madeline Albright, sababu kubwa alikuwa ameteuliwa na Dr.Ghali, ambaye alikuwa amekosana na USA.

Na huyo Mama yetu nae inaonekana yuko matatizoni Bunge la Afrika:


PAP Urges Resignation of President


dr-mongella-s.jpg


Thursday, May 21, 2009

Dr Getrude I. Mongella, President of the Pan African Parliament (PAP) is currently facing intense pressure from members who are calling for her and the entire bureau including four vice presidents to step down for what they described as a ‘lack of confidence’ in her administration.

The resignation of Madam Mongella, 65, has been at the centre of the debate in the ongoing 11th Ordinary Session of the Pan African Parliament, which started in Midrand, Johannesburg, South Africa since Monday.
This call follows a decision by the African Union in its 12th Ordinary Session held in Addis Ababa early this year requesting that the Pan African Parliament amend its rules of Procedure to conform with the legal instruments of the Union and also for the Parliament to urgently fix a term limit for its bureau and to immediately hold new elections to renew the mandate of the current bureau or elect a new one.

According to the members of the Pan African Parliament, this decision by the African Union is a clear indication that the Union has lost confidence in the current bureau and thus calls for their immediate resignation.
Contributing to the debate on the report of the decisions of the African Union in its 12th Ordinary Session which was tabled in parliament yesterday by Hon. Muhammed Lufti, second vice president of the Pan African Parliament, Hon. Gitobu Imanyara from Kenya called on the whole bureau especially the president to tender their resignation inorder for the parliament to regain what he described as the confidence of the AU. “Just tender your resignation Madam President so that we can elect a new bureau to regain the confidence that the African Union has lost in us”, he said.

For his part, Hon. Sedia Jatta from the Gambia and NAM for Wuli West constituency said whenever the obvious is stated, there is no need for it to be repeated and thus the decision of the AU should be respected. According to him, the Pan African Parliament should begin to reconcile itself to the fact that it is a parliament in the making. “We are not a parliament in practice. We don’t have an oversight function; of all the organs of the African Union, this parliament should be vying to be a parliament to be emulated. We have to begin to respect rules of procedure, regulations and law”, he said, adding that it is disheartening that others are telling the Pan African Parliament to respect laws and orders.

Also contributing to the debate, Hon. George Wesseh Blamoh from Liberia said that there is no good relationship between the African Union and the Pan African Parliament. “Our relationship is not good at all taking into consideration the decision of the African Union. They have lost confidence in us as one of their organs and as a result I would like you Madam President and the entire bureau to resign immediately,” he said.
“The decision of the African Union is a clear and urgent indication that we should renew our bureau as soon as possible but the fundamental question is how do we go about this. What we need to do is to look at ways of setting up a new bureau”, Hon Bocar S. Kane from Senegal told the parliament.

Speaking earlier, Hon. Kaweesi Ndawula from Uganda said as much as the parliament got such a decision from the African Union, it is clear that there are some weaknesses in the bureau. “The summit was compelled to take this direction because of certain misconduct and we should not even wait for them to tell us to hold elections or renew our bureau when it is in our protocol to be able to do so. It means that there is a problem and as such the bureau should endeavour to tender its resignation with urgency”, he said.

“It was really bad enough to be told by the African Union that we need term limits in our bureau. This should be taken as a matter of priority. By show of respect to our leaders, we need to answer to their call and take it as a matter of urgency and elect a new bureau because they have lost confidence in the current one”, Hon. Mary Mugyeni from Uganda told the parliament.

Also for his part, Hon. Mano Aghali from Niger said it is regrettable as far as the bureau is concerned to be faced with such a situation at the Pan African Parliament. He pointed out, “We are going through a process that is too ridiculous. We should adhere to the decision of the African Union so that we can have elections”, he said.

In response, Dr. Mongella said the issue about the Pan African Parliament is not about her but about the African continent. “I can die today and somebody leads this parliament; I will do just what you want but not now as we should deal with the principles of the parliament,” she added.
Source: Wow.gm (Gambia News Community )
 
Hivi what makes us think kwamba Mama Migiro anaweza kuwa kiongozi bora wa nchi ya ulimwengu wa tatu kama TANZANIA yetu? Lets get real jamani. Kama ingekuwa hivyo...hawa madiplomats wetu ndo wangekuwa wanarudi home na kuonyesha njia..kuanzia kwa akina Balali, Ndullu, Kagasheki (Veteran wa UN), Cheyo (UDP) nk. Mimi naamini yule mama ana leadership qualities. LAKINI sidhani kama ni mtu ambaye anaweza kuikabili system ya Tanzania ya leo. Kumbuka.....na yeye ni product ya kubebana hivyo hivyo hivyo (ingawa atleast alibebwa akiwa na vyeti na uwezo). Infact I would say Prof. Tibaijuka (with all her negatives) ni strong kuliko Rose...maana ni mama alithubutu kuikabili system (remember BAWATA)...Atleast. Kuongoza nchi kama TANZANIA inahitaji ujasiri wa hali ya juu kuuliza maswali ambayo hayauliziki...kitu ambacho mwalimu wangu Rose hawezi. Na wala hajawahi kufanya.

In all, Ban Ki-Moon anaweza kuamua kumdrop..kama atapata second term....Wala hilo halina tatizo ni uamuzi wake tuu...maana by all accounts Ban haja-command respect kama top notch diplomat especially in Washington and PARIS. Infact najua kabisa...kama atataka kuongezewa term ya pili..lazima atapewa masharti lukuki na akina Susan Rice na wenzake......

Infact kama ni ushauri wangu, mama Migiro akirudi bongo..asijiingize kwenye siasa tena. Aingie kwenye shughuli ambazo zina tija kwetu wananchi..mfano aje na idea mpya ya kuanzisha kitu kingine..kama policy Institute ya mambo ya Peace au mengineyo..anaweza kuwa na impact kubwa sana...Tufike pahala tujifunze mambo ya maana kutoka kwa wenzetu. TANZANIA sidhani kama tuna policy institute ya maana, sijui who makes our foreign policy, who advises Membe.....huko ndo watu kama akina Rose, Salim, Tibaijuka... wanafaa wakae..watengeneze sera za taifa letu for generations to come.

Imagine akina Halbroke etc..Clinton alivyotoka madarakani..walianzisha Centre for American Progress..kwa wanaojua ile ndo Think Tank ya Democrats.....ndo imeshape/inashape foreign policy ya democrats....akina Susan Rice leo wana unguruma UN..nk...Republicans wana ya kwao..wengi waliotoka kwenye utawala wa Bush ndo wako humo sasa...wakiangalia mikakati ya mbele...

Ingekuwa ni furaha iliyoje kuwa na mtu kama Mkapa..angekuwa Professor pale UD au chuo kingine..wa mambo ya International relations na globalization? au Sumaye, Msuya, SALIM, Malecela...etc...kibaya hatuna huo utamaduni...kwa kuingia kufundisha.... hawa wazee wange-admit makosa yao, wakaandika vitabu kuelezea sera walizozisimamia....wakaja kufundisha generation nyingine..kusudi vijana wakajua wazee walijikwaa wapi..Sadly..ndo akina mzee Malicela na uzee wao wako kwetu usukumani kukampaign kiti cha ubunge..yaani at times sijui Africa itasonga mbele vipi....Yaani unashindwa kuelewa mtu kakaa kwenye public service almost forty years..lakini ndo hivi mpaka leo wanakimbizana na watoto huko Nyarugusu....kutafuta kura. Imagine Mzee MALICELA ANGEKUWA ANAANDIKA VITABU NA KUTWAMBIA WHAT REALLY WAS HE DOING IN POLITICS AND POLICIES WHICH SHAPED OUR COUNTRY....FOR ALL THE YEARS HE WAS IN ACTIVE PUBLIC SERVICE. SAME APPLIES TO OTHERS...

YAANI HAPO NDO NAMPA HESHIMA Nyerere..aliandika mawazo yake..leo ukiongelea ujamaa..you have where to look for reference. Kifupi..mzee alituachia urithi wa kipi alikisimamia na kukiamini. Kuyakubali au kuyakaa mawazo yake, ni kitu kingine. Imagine.Mkapa anaongelea Globalization Geneva....lakini nyumbani kwake..hawezi kuwapa ideas...Jamani where do we get these leaders? Duh!
 
Ni wakati wa kuanza kufikiria kinyang'anyiro cha urais hapo mwakani.

Nadhani ni wakati kufikiria mgombea mwenza wa kiti cha URAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya CCM. Dr Shein akagombee urais Zanzibar. Asha Rose kugombea kiti cha umakamu wa rais kutamwandaa vyema kwa kugombea urais 2015.

Kwa kiti cha umakamu wa rais wa JMT, si mwingine, bali mwanamama shupavu, mahiri na mwenye kipaji cha hali ya juu cha uongozi, aje kusaidia kuleta maisha bora kwa watu wote nchini mwake, naye si mwingine bali:

ASHA ROSE MIGIRO.

Kafanya nini huyu mpaka sasa? Yaleyele ya kuchagua smiling faces. Bora Magufuli or any other guy toka upinzani.
 
..UN kuna siasa nyingi sana. mtu anaweza kupoteza nafasi yake, siyo kutokana na utendaji mbaya, bali siasa na majungu ya UN.

..nimesoma kitabu cha Boutrous Ghali ndiyo nikajua nini kinaendelea UN.

..hata uteuzi wa Mama Mongella ulipingwa sana, na Madeline Albright, sababu kubwa alikuwa ameteuliwa na Dr.Ghali, ambaye alikuwa amekosana na USA.

..hata mabadiliko yaliyotokea Nairobi, ambapo Prof.Tibaijuka amekuwa demoted, ni ushahidi tosha wa siasa za UN.


Mkuu vipi naweza kupata hicho kitabu cha Dr.Ghali online au ukanielekeza kwingine kwa kukipata?
 
- Hizi dataz zako hazina ukweli wowote, Mama Miigiro na Baki-moon ni damu damu sana, haendi kokote yupo UN mpaka katibu wake atakapotoka, wabongo UN walidhani kwamba kwa sababu mbongo ameingia basi watapanda vyeo na kutesa kama vile siasa za bongo,

- Kumbe huko UN kuna miongozo ya sheria sasa ndio wamebaki kumzushia maneno ya uongo kila kukicha aibuu, inatia kichefu chefu sana kwa tunaoujua ukweli na tunaowajua wanaozusha haya maneno ya uongo na majungu! Mimi ninayo mpaka barua ya majungu aliyoiandika mtu mmoja huko UN na kunipa niiweke kwenye mitandao ili kumchafua huyu mama, wabongo bwana hata nje bado roho za kimasikini tu!

Respect.

FMEs!


Lakini mkuu, mbona kama kweli kulikuwa na nchi hazikufurahi na uteuzi wa Asha Rose Migiro?? Hebu nielimishe kidogo
 
sijakuelewa mkuu, ndugu anawaajili bila kisomo au wakiwa na kisomo.kama ndugu wana vidato sioni tatizo, si nafasi zinatangwaza wanatafuta wenye vigezo, kama wako ambao shule hamna basi atakuwa amefanya makosa, lakini kama shuke ipo na wamesoma kishenzi poaaaaaaaaa, mlie tu.big up mama tibaijuka.kwani mama tibaijuka ana ndugu wangapi au unamaanisha kabila moja,nenda mkasome msisingizie kaajili ndugu tu.
 
Hivi what makes us think kwamba Mama Migiro anaweza kuwa kiongozi bora wa nchi ya ulimwengu wa tatu kama TANZANIA yetu? Lets get real jamani. Kama ingekuwa hivyo...hawa madiplomats wetu ndo wangekuwa wanarudi home na kuonyesha njia..kuanzia kwa akina Balali, Ndullu, Kagasheki (Veteran wa UN), Cheyo (UDP) nk. Mimi naamini yule mama ana leadership qualities. LAKINI sidhani kama ni mtu ambaye anaweza kuikabili system ya Tanzania ya leo. Kumbuka.....na yeye ni product ya kubebana hivyo hivyo hivyo (ingawa atleast alibebwa akiwa na vyeti na uwezo). Infact I would say Prof. Tibaijuka (with all her negatives) ni strong kuliko Rose...maana ni mama alithubutu kuikabili system (remember BAWATA)...Atleast. Kuongoza nchi kama TANZANIA inahitaji ujasiri wa hali ya juu kuuliza maswali ambayo hayauliziki...kitu ambacho mwalimu wangu Rose hawezi. Na wala hajawahi kufanya.

In all, Ban Ki-Moon anaweza kuamua kumdrop..kama atapata second term....Wala hilo halina tatizo ni uamuzi wake tuu...maana by all accounts Ban haja-command respect kama top notch diplomat especially in Washington and PARIS. Infact najua kabisa...kama atataka kuongezewa term ya pili..lazima atapewa masharti lukuki na akina Susan Rice na wenzake......

Infact kama ni ushauri wangu, mama Migiro akirudi bongo..asijiingize kwenye siasa tena. Aingie kwenye shughuli ambazo zina tija kwetu wananchi..mfano aje na idea mpya ya kuanzisha kitu kingine..kama policy Institute ya mambo ya Peace au mengineyo..anaweza kuwa na impact kubwa sana...Tufike pahala tujifunze mambo ya maana kutoka kwa wenzetu. TANZANIA sidhani kama tuna policy institute ya maana, sijui who makes our foreign policy, who advises Membe.....huko ndo watu kama akina Rose, Salim, Tibaijuka... wanafaa wakae..watengeneze sera za taifa letu for generations to come.

Imagine akina Halbroke etc..Clinton alivyotoka madarakani..walianzisha Centre for American Progress..kwa wanaojua ile ndo Think Tank ya Democrats.....ndo imeshape/inashape foreign policy ya democrats....akina Susan Rice leo wana unguruma UN..nk...Republicans wana ya kwao..wengi waliotoka kwenye utawala wa Bush ndo wako humo sasa...wakiangalia mikakati ya mbele...

Ingekuwa ni furaha iliyoje kuwa na mtu kama Mkapa..angekuwa Professor pale UD au chuo kingine..wa mambo ya International relations na globalization? au Sumaye, Msuya, SALIM, Malecela...etc...kibaya hatuna huo utamaduni...kwa kuingia kufundisha.... hawa wazee wange-admit makosa yao, wakaandika vitabu kuelezea sera walizozisimamia....wakaja kufundisha generation nyingine..kusudi vijana wakajua wazee walijikwaa wapi..Sadly..ndo akina mzee Malicela na uzee wao wako kwetu usukumani kukampaign kiti cha ubunge..yaani at times sijui Africa itasonga mbele vipi....Yaani unashindwa kuelewa mtu kakaa kwenye public service almost forty years..lakini ndo hivi mpaka leo wanakimbizana na watoto huko Nyarugusu....kutafuta kura. Imagine Mzee MALICELA ANGEKUWA ANAANDIKA VITABU NA KUTWAMBIA WHAT REALLY WAS HE DOING IN POLITICS AND POLICIES WHICH SHAPED OUR COUNTRY....FOR ALL THE YEARS HE WAS IN ACTIVE PUBLIC SERVICE. SAME APPLIES TO OTHERS...

YAANI HAPO NDO NAMPA HESHIMA Nyerere..aliandika mawazo yake..leo ukiongelea ujamaa..you have where to look for reference. Kifupi..mzee alituachia urithi wa kipi alikisimamia na kukiamini. Kuyakubali au kuyakaa mawazo yake, ni kitu kingine. Imagine.Mkapa anaongelea Globalization Geneva....lakini nyumbani kwake..hawezi kuwapa ideas...Jamani where do we get these leaders? Duh!

Asante kwa maneno na mawazo mazito. Kweli TZ hayuna na hatujawa na viongozi wenye fikra ukimwondoa mwl. Nyerere.
 
Back
Top Bottom