FAMILY LAW
Member
- Jul 14, 2012
- 53
- 10
ni bora kuliko kuja kung'ang'ania siasa kama za mabwepande..uongozi nao ni kalama labda kwake imegoma ni bora asubiri kufungua warsha na semina...sasa ww unaona hiki nacho ni cheo cha maana ? Sana sana atakuwa anasoma magazeti na kusubiri kwenda kufungua warsha na semina !! Mtu anakupiga kibuti then anakuchagua kuwa karani na wengine wanakenua....!!