Asha Mkwizu Hauli-Na kesi ya kumuua hawara wa mumewe

Kipindi hicho wanawake walikuwa wanapigania penzi kwa waume zao siku hizi hamna hiyo kitu dunia ina badilika kwa kasi sana
 
Hii ni tofauti mkuu acha kuleta za kuleta hapa, Josephine na mumewe walikuwa wametengana kipindi kirefu mume hajui mke anakula nini, analala wapi, anavaa nini, huwezi sema hapo kuna ndoa- bahati mbaya dini yao hairuhusu talaka otherwise ingekuwa imeshatolewa zamani.Slaa alikuwa demu yuko loose mkuu hakuna lawama hapo

Hakuna dini isiyoruhusu talaka kati ya Islamic and Christian, tofauti ni vigezo tu.
 
Nyc stori tupe y simbaulanga ile y kuiba 50m miaka ya 80.cz ilikua big story ila naskia alitoka huyo mama cz hela ilifanya kazu, 50m z nbc miaka hiyo ni bilionea hakimu au jaji akufunge atakua mjinga cz maisha yalikua tyt

Siyo kwamba fedha ilifanya kazi la!! alikamatwa kesi iliendeshwa na alifungwa (miaka sikumbuki) japo alishatoka kwa msamaha wa Rais mwinyi.

Chanzo. Jamii forum
 
Hii kesi nimeikumbuka tena, nilikuwa bado kijana sana nikiwa chuo kikuu.

Matoa mada kaindakia kwa ufasaha sana. Sina uhakika kama yule mama Asha alinyongwa kweli au vipi, kwani wakati wa Nyerere watu walikuwa hawanyongwi; death warrants zao zilikuwa zinaishia kwenye desk la rais tu ambako zilikuwa hazisainiwi na hivyo kubaki jela maisha.

Ila kama death warrant ya mama huyu ilikwenda kwa Mwinyi basi huenda alinyongwa kwa vile Mwinyi alisaini death warrants zote zilizofika kwenye desk lake.

Shkamoo Mzee Kichuguu!

Napenda sana “hekima” zako!

Kiasi inanifanya niwaze??!!?? Wakati wa hukumu ya hii kesi nilikua bado nanyonya ziwa la mamangu!! ??

Shkamoo sana Mzee!
 
Hatari sana...jamaa
...mzee Mtambuzi, ....dahhh, asante.
hiyo kesi ya mama Haule imetokea nyuma ya nyumba
yetu.....

F.y.i.... Prof Haule alikuwa daktari mtaalamu bingwa wa
magonjwa ya akili....yaani kama namuona na ndevu zake.
Halafu Happy na Mussa aka Moses...mnh...
mpo wapi aisee?
alikua anapelekea moto hadi wazungu
 
Umenikumbusha mbali sana na ni jambo zuri sana unalolifanya...I doubt kama law schools za Tanzania wanatumia case zetu kufndisha au ni za kuimport tu bado...

Hizo zingine link iko wapi? Keep up doing the good work...

They are back now! With a name for their Victims;.... wanawaita Madanga!

Life!!!!
 
Kuna jamaa kule Twitter naona kacopy Kama ilivyo bila hata kitana source..wakicopy makala zake anakuaga mkali Sana.. binadamu Sisi
 
Baba mkwe wa Asha, yaani baba yake Dk. Hauli, alikuwa shahidi upande wa utetezi. Hii imenifikirisha sana.
 
Mtambuzi Kiongozi..

Nimesoma vizuriii kesi hiyo na hukumu pia

Pongezi kubwa sana kwako, kwa uandishi mzuri ulio tukukaaaa.

USHAURI
Nitoe tuu ushauri pia, ujikite ktk uandishi wa vitabu...hasa vya kufundishia watoto wetu mashuleni.
 
Back
Top Bottom