minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,751
- 4,933
Asante sana hakina hii story inassimuaWana JF wenzangu na wasomaji wa JF, kama nilivyoahidi wiki iliyopita kwamba nitarejea kesi za Afika Mashariki na leo nimekuja na kesi hii iliyovuma sana miaka ya 80.
Kesi hii nimeipata kwa ushirikiano wa maktaba ya mahakama kuu, na bado naendelea kutafuta kesi nyingine ambazo nitakuwa naziweka hapa kwa kadiri muda utakavyoniruhusu.
Naomba sana ushirikiano wenu, ili tuweze kukusanya kumbukumbu hizi kwa ajili ya vizazi vijavyo.
NB: Nipo tayari kupokea maoni, kukosolewa au kuelimishwa, pale ambapo nitakuwa nimekosea, maana mimi sio mtaalamu wa sheria na wala sijawahi kusoma sheria.