Kumbe zile habari kwamba ukifuga nywele kwa muda mrefu zinakunyonya damu unakondeana ni uongo mtupu aisee. Daah tulikua tunadanganywa na wazazi wetu ili wasitusuke nywele
Mmmh huwezi kuishi kama binadamu wa kawaida, maana uzito huo huwezi kumove around.
Unakua unatembea na kibegi mgongoni
Mmmh huwezi kuishi kama binadamu wa kawaida, maana uzito huo huwezi kumove around.