witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,096
Ha ha ha.. Halafu dizaini hiyo kunakuwaga na ndugu zake mwanamke ambao wanakuwa wanachukia sana kitendo cha kumuona mwanaume akila mali za ndugu yao kwa kujifanya ana mahaba.. So ikitokea tu amededi, ndugu wanakuja kwa speed ya ajabu na kukutoa nduki..