Jamhuri ya Zanzibar
Senior Member
- Jul 17, 2012
- 126
- 195
Ni aibu kweli,mh!itabidi
vijana walioko bungeni wamweleze kuwa clip yako mama imetoka aisome
amuombe radhi Jussa.
Watu wengine bwana amuombe jussa msamaha kwa lipi? kama kasingiziwa angekanusha lakini habari zote ni kweli kama hutaki kuamini bac kaa na chagadema wako
halafu ccm baada ya hapo wakamtengenezea na keki, eti kufanya sherehe ya kupinga unyanyasaji wa jinsia, du nilishutuka kwa kweli.
Ungesikiliza alichokisema kwenye clip na anachotetea bungeni ni vitu viwili tofauti.Na pia kubali au ukatae kuwa mpinzani siyo uadui,na wala hatutakiwi kubaguana kutokana na itikadi zetu,na wala sitokubagua kwa sababu ya dini yako,kabila lako wala chama chako unachotoka.
Huna haki ya kuniita CHAGGADEMA hata kama ni Mwanachama wa CDM,na wala sitokuita FISADI sababu tu unatoka CCM kwenye chama kilichojaa wezi,wala rushwa,mafisadi na wauza raslimali zetu,hivyo kaka heshimu watu wengine wenye itikadi tofauti na wewe.
Elewa maana ya upinzani siyo uadui,elimika ,japo kidogo,usipende kutukana watu wengine,tumia kidogo akili uliyozaliwa nayo.
watu wengine bwana amuombe jussa msamaha kwa lipi? Kama kasingiziwa angekanusha lakini habari zote ni kweli kama hutaki kuamini bac kaa na chagadema wako
mimi gogo la shamba nimemsikia,sasa nadhani mtakubaliana na mimi kwa yale ninayoyasema kila siku kwamba,sifa kubwa ya kuwa kiongozi wa ccm ni unafiki na kutokuwa na haibu ya kuzomewa unaposema uongoRushwa hiyo anawauza Waznz kwa bia tuu
Video hii yapaswa isambazwe zenji kote ili waone wanavyodhalilishwa na wawakilishi wao
kwa video hii kamsifia jussa na kusema kwa yale aliyosema jussa hana la kuongeza kwani kama matatizo haya yamedumu miaka 48 yapaswa yatatuliww sasa
"Tukisema wanadai tunaenda kinyume na matakwa ya chama" kumbe uchama unaweza ipeleka nchi kuzimu eeeh? duu