Asemavyo Bashir Yakub kuhusu ACACIA kutosajiliwa Tanzania kisheria

Hiv mwsho wa cku acacia wakaamua kugoma na kusema ripoti ni ya uongo na hawataki kulipa hio kodi ..ni njia gan serikali itatumia kupata pesa hio kodi na pia kuwaondoa ..kama wana mkataba?
 
mimi nadhani sasa ifike mahali wanasiasa wasiojielewa waache kuongoza hii nchi, na wale wanaojielewa wanapopata nafasi wasitoe nafasi za kiuongozi kwa wengine wasiowazalendo. Sheria zote na taratibu zote za madini tunazolalamikia leo zilipitishwa na wanasiasa waliopewa nafasi na kuaminiwa, sasa walivyokuwa wanapitisha hawakuwa wanajielewa?

Kinachofanyika sasa hivi wanacheka wenyewe baada ya kujitekenya wenyewe, lakini wanasahau hakuna aliyewatekenya. Uzalendo uanzie kwa viongozi waliopewa dhamana ya kuisimamia hii nchi.
Hao wazalendo wako wapi? Watu wako bize kutetea matumbo yao na ukoo wao tu. Africa kitu uzalendo hakuna kabisa.
 
UFAFANUZI MUHIMU KUHUSU USAJILI WA ACCACIA.

Waraka wa BASHIR YAKUB
+255784482959.

Kwa kutumia kigezo cha usajili, Tanzania tunazo aina kuu mbili za kampuni. Kampuni za ndani(Local companies) na kampuni za kigeni ( foreign companies).

Kampuni za ndani ni zile zote zilizoanzishwa hapa nchini na kusajiliwa hapa nchini. Hata kama wanahisa wake wote ni raia wa kigeni kwasababu tu ya kuanzishwa hapa na kusajiliwa hapa zinakuwa ni kampuni za ndani.

Kampuni ya kigeni ni ile iliyoanzishwa na kusajiliwa nje ya Tanzania lakini ikaanzisha ofisi/biashara/tawi hapa Tanzania. Sheria Na. 12 Sheria ya Makampuni kifungu cha 433 kinasema hivyo. Kampuni kama imeanzishwa nje hata kama wanahisa wake wote ni Watanzania, hapa kwetu hiyo bado ni kampuni ya kigeni.

Kampuni ya ndani inaposajiliwa hupatiwa cheti cha usajili kiitwacho "Certificate of Incorporation" kwa mujibu wa kifungu cha 15(2) Sheria ya Makampuni. Kampuni ya ndani inapopata cheti hiki basi usajili wake huwa umekamilika na inatambulika rasmi kama kampuni ya ndani.

Kampuni ya kigeni inaposajiliwa hapa Tanzania hupatiwa cheti kiitwacho "Certificate of Compliance" kwa mujibu wa kifungu cha 435(1) Sheria ya Makampuni. Kampuni ya kigeni inapopata cheti hiki basi usajili wake huwa umekamilika na hutambulika rasmi kama kampuni ya kigeni.

Acacia ni kampuni ya kigeni. Kwa maana kuwa ilianzishwa nje ya Tanzania na kufungua shughuli zake hapa nchini. Kwa hiyo ili ihesabike imesajiliwa Tanzania ilitakiwa kuwa na cheti kiitwacho"Certificate of Compliance". Kutokuwa na cheti hiki maana yake ni kuwa haijasajiliwa Tanzania na haitambuliki.

Nimesikia mjadala BBC SWAHILI leo wanaojadili wakijiuliza inawezekanaje kampuni kubwa kama hii ikafanya biashara bila usajili. Watanzania wengi pia wanajiuliza swali hili.

Jibu lake ni hili. Acacia ni kampuni tanzu(Subsidiary Company) ya Barrick. Kampuni inakuwa tanzu pale ambapo zaidi ya nusu ya hisa zake zinamilikiwa na kampuni nyingine. Ile inayomiliki huitwa "holding company" na inayomilikiwa huitwa "subsidiary company". Kwahiyo Barick ni " holding" wakati Acacia ni "subsidiary".

Barrick inamiliki hisa za Acacia 63.9%. Kwa kusema hivi maana yake Barrick ndiye mwenye Acacia. Hata hivyo kwa mujibu wa sheria hizi zinahesabika kampuni mbili tofauti na kila moja inabeba wajibu na hatia zake yenyewe(its own responsibility& liability).

Basi kumbe kilichotokea ni kuwa Acacia walikuwa wakifanya biashara kwa jina la Acacia lakini wakibebwa na mgongo wa Barrick. Walijificha hapa na wakaweza kuishi bila usajili wa kwao kama wao. Walijibeba kwenye usajili wa Barrick.

Barrick wao wanao usajili na wanayo " Certificate of Compliance" ya kwao ambayo tayari wameitoa hadharani. Kwakuwa haya ni makampuni mawili tofauti kila moja inatakiwa kuwa na cheti chake kwa mujibu wa kifungu cha 487 Sheria ya Makampuni na kutokufanya hivyo ni kosa kabisa. Kwa hiyo hivi ndivyo ilivyowezekana kampuni hii kufanya biashara bila usajili miaka hii yote.

Adhabu ya kosa kama hilo ni kifungo jela. Sheria Na. 12 Sheria ya Makampuni iliyofanyiwa Marekebisho mwaka 2002, kifungu cha 472 kinasema hivyo.

Hii imenipa mwanga mkuu,,,,ahsante
 
Hivi kwanini watanzania tunapenda kuweka mbele ushabiki. Hiyo 1998 kampuni ilikuwa Barrick Gold. Baadae wakaona watengeneze kampuni tanzu kwaajili ya migodi yao iliyopo Africa tu. Ndiyo ikaja African Barrick Gold. Mwaka juzi wakaona jina la ABG hali-reflect uafrika, hivyo wakaanzisha mchakato wa kutafuta jina linaloendana na Africa au la Kiafrika. Mwaka jana mwanzoni (kama sijakosea) ndo wakaja na jina la Acacia. Sasa tunaaminishwa tangu 98 hakuna usajili wa Acacia........! Na yet kuna ushahidi Barrick ilikuwa imesajiliwa. Na tukumbuke, kutoka Barrick kwenda ABG ni uanzishwaji wa kampuni tanzu. Ila kutoka ABG kwenda Acacia ni kubadili jina. Sasa je, hiyo kampuni tanzu ilisajiliwa?. Na kama haikusajiliwa, hizo document zinazosambaa zikionyesha msajili akijibu barua ya ABG ya kuomba kubadili jina kuwa Acacia, doc hiyo ni ya kutunga!!?. Ku-exaggerate mambo ni tabia ya watu waongo waongo.

Jamaa wakitu sue ndo tutaanza pata akili (kama ikitokea kwamba tunaeza pata akili).
Tunafanya sana mambo ya kipuuzi kwenye serious investments, tuna tia hasara watu kwa mambo yasiotokana na wao. Kama serikali imezembea kwanini mwekezaji aadhibiwe. Kuna walioleta hawa wawekezaji kwa shida mwingine naona ana wa frustrate kwa kasi. Hatuna muda sana kabla hatujaingia kwenye mkwamo mkubwa wa kiuchumi.
 
Who has been allowing It to exist is a proper question RATHER THAN:
Who has been allowing them to exist.

And how can it be a stab in the back whilst the Parliament will be part of negotiation?
You may wish to bet but I stand by my grammar. THEM.

I don't understand what u said on the parliament.
 
UFAFANUZI MUHIMU KUHUSU USAJILI WA ACCACIA.

Waraka wa BASHIR YAKUB
+255784482959.

Kwa kutumia kigezo cha usajili, Tanzania tunazo aina kuu mbili za kampuni. Kampuni za ndani(Local companies) na kampuni za kigeni ( foreign companies).

Kampuni za ndani ni zile zote zilizoanzishwa hapa nchini na kusajiliwa hapa nchini. Hata kama wanahisa wake wote ni raia wa kigeni kwasababu tu ya kuanzishwa hapa na kusajiliwa hapa zinakuwa ni kampuni za ndani.

Kampuni ya kigeni ni ile iliyoanzishwa na kusajiliwa nje ya Tanzania lakini ikaanzisha ofisi/biashara/tawi hapa Tanzania. Sheria Na. 12 Sheria ya Makampuni kifungu cha 433 kinasema hivyo. Kampuni kama imeanzishwa nje hata kama wanahisa wake wote ni Watanzania, hapa kwetu hiyo bado ni kampuni ya kigeni.

Kampuni ya ndani inaposajiliwa hupatiwa cheti cha usajili kiitwacho "Certificate of Incorporation" kwa mujibu wa kifungu cha 15(2) Sheria ya Makampuni. Kampuni ya ndani inapopata cheti hiki basi usajili wake huwa umekamilika na inatambulika rasmi kama kampuni ya ndani.

Kampuni ya kigeni inaposajiliwa hapa Tanzania hupatiwa cheti kiitwacho "Certificate of Compliance" kwa mujibu wa kifungu cha 435(1) Sheria ya Makampuni. Kampuni ya kigeni inapopata cheti hiki basi usajili wake huwa umekamilika na hutambulika rasmi kama kampuni ya kigeni.

Acacia ni kampuni ya kigeni. Kwa maana kuwa ilianzishwa nje ya Tanzania na kufungua shughuli zake hapa nchini. Kwa hiyo ili ihesabike imesajiliwa Tanzania ilitakiwa kuwa na cheti kiitwacho"Certificate of Compliance". Kutokuwa na cheti hiki maana yake ni kuwa haijasajiliwa Tanzania na haitambuliki.

Nimesikia mjadala BBC SWAHILI leo wanaojadili wakijiuliza inawezekanaje kampuni kubwa kama hii ikafanya biashara bila usajili. Watanzania wengi pia wanajiuliza swali hili.

Jibu lake ni hili. Acacia ni kampuni tanzu(Subsidiary Company) ya Barrick. Kampuni inakuwa tanzu pale ambapo zaidi ya nusu ya hisa zake zinamilikiwa na kampuni nyingine. Ile inayomiliki huitwa "holding company" na inayomilikiwa huitwa "subsidiary company". Kwahiyo Barick ni " holding" wakati Acacia ni "subsidiary".

Barrick inamiliki hisa za Acacia 63.9%. Kwa kusema hivi maana yake Barrick ndiye mwenye Acacia. Hata hivyo kwa mujibu wa sheria hizi zinahesabika kampuni mbili tofauti na kila moja inabeba wajibu na hatia zake yenyewe(its own responsibility& liability).

Basi kumbe kilichotokea ni kuwa Acacia walikuwa wakifanya biashara kwa jina la Acacia lakini wakibebwa na mgongo wa Barrick. Walijificha hapa na wakaweza kuishi bila usajili wa kwao kama wao. Walijibeba kwenye usajili wa Barrick.

Barrick wao wanao usajili na wanayo " Certificate of Compliance" ya kwao ambayo tayari wameitoa hadharani. Kwakuwa haya ni makampuni mawili tofauti kila moja inatakiwa kuwa na cheti chake kwa mujibu wa kifungu cha 487 Sheria ya Makampuni na kutokufanya hivyo ni kosa kabisa. Kwa hiyo hivi ndivyo ilivyowezekana kampuni hii kufanya biashara bila usajili miaka hii yote.

Adhabu ya kosa kama hilo ni kifungo jela. Sheria Na. 12 Sheria ya Makampuni iliyofanyiwa Marekebisho mwaka 2002, kifungu cha 472 kinasema hivyo.
Alikua wapi 1998
 
Jamaa wakitu sue ndo tutaanza pata akili (kama ikitokea kwamba tunaeza pata akili).
Tunafanya sana mambo ya kipuuzi kwenye serious investments, tuna tia hasara watu kwa mambo yasiotokana na wao. Kama serikali imezembea kwanini mwekezaji aadhibiwe. Kuna walioleta hawa wawekezaji kwa shida mwingine naona ana wa frustrate kwa kasi. Hatuna muda sana kabla hatujaingia kwenye mkwamo mkubwa wa kiuchumi.
Kwani hizo investment unazosema zilikuwa zinasaidia uchumi wa Tanzania kiasi gani? Unaweza kutupatia takwimu please?
 
UFAFANUZI MUHIMU KUHUSU USAJILI WA ACCACIA.

Waraka wa BASHIR YAKUB
+255784482959.

Kwa kutumia kigezo cha usajili, Tanzania tunazo aina kuu mbili za kampuni. Kampuni za ndani(Local companies) na kampuni za kigeni ( foreign companies).

Kampuni za ndani ni zile zote zilizoanzishwa hapa nchini na kusajiliwa hapa nchini. Hata kama wanahisa wake wote ni raia wa kigeni kwasababu tu ya kuanzishwa hapa na kusajiliwa hapa zinakuwa ni kampuni za ndani.

Kampuni ya kigeni ni ile iliyoanzishwa na kusajiliwa nje ya Tanzania lakini ikaanzisha ofisi/biashara/tawi hapa Tanzania. Sheria Na. 12 Sheria ya Makampuni kifungu cha 433 kinasema hivyo. Kampuni kama imeanzishwa nje hata kama wanahisa wake wote ni Watanzania, hapa kwetu hiyo bado ni kampuni ya kigeni.

Kampuni ya ndani inaposajiliwa hupatiwa cheti cha usajili kiitwacho "Certificate of Incorporation" kwa mujibu wa kifungu cha 15(2) Sheria ya Makampuni. Kampuni ya ndani inapopata cheti hiki basi usajili wake huwa umekamilika na inatambulika rasmi kama kampuni ya ndani.

Kampuni ya kigeni inaposajiliwa hapa Tanzania hupatiwa cheti kiitwacho "Certificate of Compliance" kwa mujibu wa kifungu cha 435(1) Sheria ya Makampuni. Kampuni ya kigeni inapopata cheti hiki basi usajili wake huwa umekamilika na hutambulika rasmi kama kampuni ya kigeni.

Acacia ni kampuni ya kigeni. Kwa maana kuwa ilianzishwa nje ya Tanzania na kufungua shughuli zake hapa nchini. Kwa hiyo ili ihesabike imesajiliwa Tanzania ilitakiwa kuwa na cheti kiitwacho"Certificate of Compliance". Kutokuwa na cheti hiki maana yake ni kuwa haijasajiliwa Tanzania na haitambuliki.

Nimesikia mjadala BBC SWAHILI leo wanaojadili wakijiuliza inawezekanaje kampuni kubwa kama hii ikafanya biashara bila usajili. Watanzania wengi pia wanajiuliza swali hili.

Jibu lake ni hili. Acacia ni kampuni tanzu(Subsidiary Company) ya Barrick. Kampuni inakuwa tanzu pale ambapo zaidi ya nusu ya hisa zake zinamilikiwa na kampuni nyingine. Ile inayomiliki huitwa "holding company" na inayomilikiwa huitwa "subsidiary company". Kwahiyo Barick ni " holding" wakati Acacia ni "subsidiary".

Barrick inamiliki hisa za Acacia 63.9%. Kwa kusema hivi maana yake Barrick ndiye mwenye Acacia. Hata hivyo kwa mujibu wa sheria hizi zinahesabika kampuni mbili tofauti na kila moja inabeba wajibu na hatia zake yenyewe(its own responsibility& liability).

Basi kumbe kilichotokea ni kuwa Acacia walikuwa wakifanya biashara kwa jina la Acacia lakini wakibebwa na mgongo wa Barrick. Walijificha hapa na wakaweza kuishi bila usajili wa kwao kama wao. Walijibeba kwenye usajili wa Barrick.

Barrick wao wanao usajili na wanayo " Certificate of Compliance" ya kwao ambayo tayari wameitoa hadharani. Kwakuwa haya ni makampuni mawili tofauti kila moja inatakiwa kuwa na cheti chake kwa mujibu wa kifungu cha 487 Sheria ya Makampuni na kutokufanya hivyo ni kosa kabisa. Kwa hiyo hivi ndivyo ilivyowezekana kampuni hii kufanya biashara bila usajili miaka hii yote.

Adhabu ya kosa kama hilo ni kifungo jela. Sheria Na. 12 Sheria ya Makampuni iliyofanyiwa Marekebisho mwaka 2002, kifungu cha 472 kinasema hivyo.
Kweli tanzania tuko gizani.
 
Kwani hizo investment unazosema zilikuwa zinasaidia uchumi wa Tanzania kiasi gani? Unaweza kutupatia takwimu please?
Kama sio mvivu wa kusoma soma hii

Yesterday was another difficult day for all everyone employed by Acacia or working at our mines or indirectly linked to the operation of our mines. The media coverage over the next few weeks will continue to put pressure on all of us, our families and our friends. For the 96% of our people at our mines who are Tanzanian it must be even tougher as your fellow countrymen think that you have been unpatriotic and stolen from them for many years and impacted on their quality of life.
I want to be clear, what was presented in both the Committee 1 and Committee 2 reports is categorically not true, despite what the majority of people say and believe. We have never stolen, we have never evaded taxes, we have never forged documents to avoid paying royalties and we have never been unlawful. I will set out below why the allegations made yesterday are untrue and why the President has been once again been provided with inaccurate information by his Committees. We run Acacia as an international company, and expect all of our people to have the highest levels of integrity. What we have been accused of is simply not possible.

Let's look further at the details: we were accused of operating illegally in the country for the last 19 years as Acacia Mining plc is not registered in the country. We do not operate illegally. Our mines are owned and operated by Tanzanian incorporated and registered companies in line with the law. These companies (Pangea Minerals Limited, Bulyanhulu Gold Mine Limited and North Mara Gold Mine Limited) pay all appropriate taxes and file annual returns to the TRA. These companies are ultimately owned by Acacia Mining plc, the holding company of the Acacia group of companies. Acacia is effectively the company brand in Tanzania. The Acacia group includes companies across the world, in particular the other African countries where we have projects: Kenya, Burkina Faso and Mali.

Acacia Mining plc is a UK incorporated and registered company. Note that we have been trying to explain to the TRA for a number of years that Acacia Mining plc is a UK company which is listed on both the London and Dar es Salaam stock markets and owned by hundreds of shareholders. This kind of structure is the same as many international companies operating in Tanzania and is not illegal or a way to avoid taxes in any way. The structure is also no secret (we have been reporting on the structure annually to the public in our audited annual reports, and to the TRA and other agencies of the Tanzanian Government. We also disclosed this as part of the information memorandum that was approved by the Tanzanian Capital Markets and Security Authority (CMSA) at the time of our secondary listing on the Dar es Salaam Stock Exchange in 2011.

We were also accused of underpaying taxes by up to US$50 billion (TSH110 trillion). This is not true. Let's put this number into perspective. If the number was accurate, and using a simple tax rate of 30% on just sales (not even taxable profits) it would imply we have had well over $150 billion (TSH33 trillion) of sales in the last 15 years. Let’s be clear – if this were true we would be the biggest mining company on the planet (not just gold mining). The biggest mining company in the world is BHP, which has around 20 mines in 10 countries and is worth US$90 billion (TSH200 trillion). This is just not possible with our three mines. The value of our overall company today is around US$1.2 billion (TSH2.6 trillion) and we are being asked to pay outstanding taxes of US$50 billion (TSH110 trillion). It does not make sense.

In reality the revenues that we have created from Bulyanhulu and Buzwagi since we started operating in total have been less than US$6 billion (TSH13.2 trillion) which includes gold bar sales. If it were just the concentrate then it is just US$3.3 billion (TSH 7.2 trillion) in nearly 15 years. As you know we are audited domestically and internationally (by leading international auditing firms who audit many companies in many industries all over the world), sell our products to traders and smelters who pay us for the exact contents and we fully declare all of this. How could we possibly have avoided paying taxes that are more than 10x our actual sales? This would just be impossible.

I won't go into all of the allegations here, but I want to be clear, we have declared everything we produce and sell. For example we have not tried to hide the number of containers we sell. This would be impossible to do anyway given the number of companies and government agencies involved from trucking, port handling, shipping and then the smelters.

Yesterday was bitterly disappointing in so many ways as it jeopardises the very existence of our company. The Second Committee findings appeared to be based on the First Committee findings which we have repeatedly said are wrong, don't match the 20 years of local and international independent testing that we have done and dramatically overstate the mineral contents of the containers. We refute the announced findings of the Second Committee, just as we refute the findings of the First Committee. We have asked for the First Committee’s Report, to try to understand how they could have reached their impossible findings, but unfortunately we have still not seen this Report. We will also ask to see the Second Committee’s Report, so that we can try to understand the findings that were announced yesterday, and hope that the Government will provide us with a copy. We have asked for an independent review of the contents of our concentrates to avoid exactly this scenario that we are publically accused of a theft that has simply never happened but unfortunately we have not yet been granted this request.

From the tone of the event yesterday and the media coverage today it is clear that we are being seen as unpatriotic and are stealing the minerals of Tanzania and have unfair contracts. This couldn’t be further from the truth; we are a Tanzanian Mining Champion. Over the years we have voluntarily made a number of amendments to the contracts signed many years ago to ensure that more of the benefit goes to Tanzania, even before the investors who paid for these mines to be built and have had investment repaid. We have pre-paid taxes, increased royalty rates, increased local service levies and invest more in our communities than the rest of the mining sector combined. We have many Tanzanians in senior positions within our company and more than 96% of our staff at the mines are Tanzanian. Each of those people has had extensive training and development over many years and we have nurtured some of the leading talents in the country.

As it stands, incorrect and impossible results from samples taken from just 44 containers out of tens of thousands are now being used to destroy the reputation of the largest foreign investor in the country, one of the largest private employers and one of the largest tax payers in the country. We have invested over US$4 billion (TSH 8.8 trillion) into the country to build and sustain our mines, spent well over US$3 billion (TSH6.6 trillion) with Tanzanian suppliers to help run our business and paid over US$1 billion (TSH2.2 trillion) in taxes and royalties. We are a long term partner for Tanzania who has always acted lawfully. We believe we have an important part to play with the Government in achieving the same objectives for helping Tanzania achieve its development goals. We will continue to seek a resolution through dialogue with the Government. If this is not possible then it is a very bad signal for all current and future investors in this country. I believe that the truth will prevail and I will continue to do my best to make that happen. Until that point, please continue to stay strong and safe, I am sorry that you have been caught up in this.
 
Back
Top Bottom