Spark
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 1,001
- 1,024
Wakuu nimeamini uchawi upo,Kwann vijana wengi tunapofanikiwa mjini na kurudi vijijini mwetu na vigari wakati wa kirudi hua tunakula mizinga?
Inatokea unaenda harusini/ kutoa posa/ kwenda msibani/send off / vikaoni au katika shughuli mbali mbali za kifamilia zenye mikusanyiko ya watu unaweza pata ajali mbaya ya kupoteza viungo au kifo?
Ni nini hasa kilichopo katika nafsi za watu?Watu wakaribu na ndugu wamekua na roho mbaya sana,wanaweza kukuchekea usoni kumbe mioyoni mwao wanakuwazia mabaya!
Wanatamani kukuona umepigika kimaisha,umechoka umefirisika hohehahe! Kwann wenzetu wanapopata matatizo tunafurahia? Na wakifanikiwa tunachukia? Wangapi tumepitia haya mambo,tupeane shuhuda!
Inatokea unaenda harusini/ kutoa posa/ kwenda msibani/send off / vikaoni au katika shughuli mbali mbali za kifamilia zenye mikusanyiko ya watu unaweza pata ajali mbaya ya kupoteza viungo au kifo?
Ni nini hasa kilichopo katika nafsi za watu?Watu wakaribu na ndugu wamekua na roho mbaya sana,wanaweza kukuchekea usoni kumbe mioyoni mwao wanakuwazia mabaya!
Wanatamani kukuona umepigika kimaisha,umechoka umefirisika hohehahe! Kwann wenzetu wanapopata matatizo tunafurahia? Na wakifanikiwa tunachukia? Wangapi tumepitia haya mambo,tupeane shuhuda!