Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 9,363
- 34,555
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Amesema hela jamanHera!? Endelea kujidanganya
Hivi wanawake unadhani pesa ndiyo huwatuliza?? Bill Gates na Mke wake wasingeachana!
Mbona kama nyegezi ndio inakusumbua na si mapenzi?!Nilikuwa nashangaa mtu akililia , yamenikuta hadi nahisi mwili unawaka moto .. check backup zote hazijafikia kiwango cha namba moja wao.. kujifariji kupitia backup lakini wapiiii maumivu yapo pale pale dah! ama kweli backup sio mkombozi
Na moyo hauna mfupa ni nyama tu zinapona na maisha yanaendelea.
Amesema hela jaman
Pole sana kijana ushauli wanguNilikuwa nashangaa mtu akililia , yamenikuta hadi nahisi mwili unawaka moto .. check backup zote hazijafikia kiwango cha namba moja wao.. kujifariji kupitia backup lakini wapiiii maumivu yapo pale pale dah! ama kweli backup sio mkombozi
Mademu kibao kwanin mmoja anitie mawazosijasema pesa utuliza mwanamke ilaukiwa nazo ni bora zaidi.akizingua unapiga chini unavuta kifaa kingine. Wanawake wapo wengi Sana kwanini uumie na mmoja?
Nilikuwa nashangaa mtu akililia , yamenikuta hadi nahisi mwili unawaka moto .. check backup zote hazijafikia kiwango cha namba moja wao.. kujifariji kupitia backup lakini wapiiii maumivu yapo pale pale dah! ama kweli backup sio mkombozi
Hivi mnaumia je nyie? tatzo leo mnaingia kwenye mahusiano ukimuamini mwanamke, usije kumuamin mwanamke ingia kwenye mahusiano umejiandaa kisaikolojia lolote linaweza kutokea
Hera!? Endelea kujidanganya
Endelea kuamini hvyo tu.Tafuta hela kijana. Wanawake wapo tu