Asasi nne za kiraia zaishitaki Tanzania mahakama ya Afrika Mashariki kwa 'Ukiukwaji mkubwa' kutoka kwa polisi wake

Asasi nne za kiraia zimeifikisha mahakamani Serikali ya Tanzania kwa ukiukwaji mkubwa kwenye uchaguzi mkuu wa karibuni ambao ulimrudisha madarakani Rais John Pombe Magufuli.

Taasisi kutoka Kenya na Uganda zinaishtaki Tanzania kwenye Mahakama ya Afrika Mashariki, zikituhumu vyombo vya usalama kutumia nguvu kupita kiasi, kupotea, kushikiliwa na hata kuuawa kwa wakereketwa wa upinzani wakati wa kampeni za uchaguzi na baada ya matokeo kutangazwa Oktoba.

"Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na taasisi nyingine za serikali, vilijihusisha na kampeni ya ukiukwaji mkubwa wa sheria na kanuni muhimu za mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki" Taasisi hizo zilisema

Kesi katika mahakama ya EACJ zinaweza kuijaribu Tanzania kwenye uhusiano wake kikanda kwa mara nyingine ikizingatiwa sheria zake haziruhusu changamoto yoyote ya kisheria kuhoji matokeo ya Urais baada ya kutangazwa na Tume ya Taifa ya uchaguzi.

Hoja ya taasisi hio zinatokana na Ibara ya 30(1) kutoa haki kushtaki kama 'watu' wanaoishi ndani nchi mwanachama wa EAC. Pia wanahoji, Tanzania kama nchi mwanachama analazimika kufuata mkataba kwenye utawala bora, haki, uwazi na kulinda haki za binadamu

==========

Four civil rights organisations are suing the Tanzanian government for “massive violations” in the recent general election in which President John Pombe Magufuli was voted back in office.

The organisations from Kenya and Uganda are suing Tanzania at the East African Court of Justice, alleging that security agents clobbered, disappeared, detained and even killed opposition supporters during the election campaigns as well as after the results were announced in October.

“The government, through its security services and other institutions of the state, engaged in a campaign of serious and massive violations of the rule of law and fundamental and operational principles of the East African Community Treaty,” the organisations said in suit papers.

The case at the EACJ could test Tanzania’s regional integration credentials once more, given its own domestic laws forbid any legal challenge on presidential elections, once the results have been declared by the National Electoral Commission.

The Kenya Human Rights Commission, the Kenya Section of the International Commission of Jurists (ICJ-K), and Uganda’s Chapter Four and the Centre for Constitutional Governance are suing Dar es Salaam for what they say is violations committed by a partner state of the East African Community (EAC).

They argue that the EAC Treaty’s Article 30(1) grants them rights to sue as “persons’ resident within a partner state of the EAC.” They also argue that as a member of the EAC, Tanzania was bound by the treaty’s provisions on good governance, social justice, transparency and protection of human rights.
Related

During elections last October, the four organisations say the state engaged targeted violence on ordinary citizens, journalists, activists, opposition supporters and politicians “and other individuals who held or were perceived to hold alternative political views.”

The elections saw Magufuli emerge the winner with 12.5 million votes, or 84.39 per cent of the vote, according to the National Electoral Commission of Tanzania. His closest opponent, Tundu Lissu, garnered 1.9 million votes. Thirteen others fell below 3 per cent. The ruling Chama Cha Mapinduzi also won 262 of the 264 seats in Parliament.

Yet the landslide victory was clouded with claims of irregularities. The Tanzanian Elections Watch a group of observers from the continent said the vote count “raised questions of credibility” and asked authorities to investigate. The NEC rejected claims of vote stuffing and the police denied any wrongdoing.

The four NGOs want the EACJ to affirm that the conduct of Tanzania security agents constitute violations against the treaty.

They also want the Court to order reparations, including damages, apology from the Tanzanian government, an independent investigation into the violations to prosecute the culprits and relevant reforms to prevent recurrence.

This will be the second major case the Tanzanian government will face under a Court created as part of the organs of the EAC. In 2014, conservationists led by the Africa Network for Animal Welfare won against Dar after the EACJ termed Tanzania’s plans to construct a major highway through the Serengeti National Park “unlawful.”

The NGO had argued that the Serengeti ecosystem, linked to Kenya’s Masai Mara, was crucial for the survival of animals and that a highway would disrupt what it called a transboundary resource.

SOURCE: The East African
What will be the consequences then?
 
-sheria yenyewe huijui Unadhani ukiandika English ndiyo unakuwa na hoja kumbe manyoya
-
Mkuu Saveya,

Usinibagaze kwa ujinga wa mihemko ya kisiasa kinzani; wewe ndio ulinipeleke kusoma na ukapima kwamba sijui chunga maandishi yako haya as may hurl you into the den of abyss for ever lasting tormentations.

Tena natia nakiri kwamba nilichokiandika ndio uhalisia sio sheria za kwako za kufikirika

Jaribu kutembelea kifukunye cha taarifa mahakama labda utaondokana na tongotongo la ujinga wa kisiasa

Leta hapa uthibitisho wa hukumu yoyote ilifunguliwa dhidi ya serikali ya Tanzania kupitia mwanasheria mkuu wa serikali kwakmba maamuzi yaliyofikiwa dhidi yake yalitekelezwa. Umewekewa link ili uje na ushahidi kwa rejea ya kesi hizo. Welcome to the East African Court of Justice - East African Court of Justice

Kitu gani kilitokea kwa kesi hizi?
1. Ref No 9/2016- Rashid Salum Adly Vs AG URT;
2. Ref No. 10/2017-Ololosokwan village Vs AG URT
3. Application No 21/2018 (Arising from Ref No 9/2018) Robert F.Kennedy Human Centre Vs AG URT
4. Ref No.24/2018-Zitto Zuberi Kabwe Vs.AG URT
5. Application No 2/2019-Freeman Mbowe Vs AG URT
6. Ref No.3/2019-Freeman Mbowe Vs AG URT
And many more being ruled on, overruled and stayed without practicable impact

You are advised to provide your views for the benefit of the JF members and not using the fora to undermine others to advance your political affiliations as if you are an extraordinary intellectual to trust. To be precise I am seasoned in kaws of all categoroes, so mind your business.
 
Unafiki wa kiafrika, yaani nao wanataka kujiona wasafi kama wcb wakati utopolo. Tena Uganda ndio wasengerema kweli sitaki hata kuwasikia
 
Mkuu Saveya,

Usinibagaze kwa ujinga wa mihemko ya kisiasa kinzani; wewe ndio ulinipeleke kusoma na ukapima kwamba sijui chunga maandishi yako haya as may hurl you into the den of abyss for ever lasting tormentations.

Tena natia nakiri kwamba nilichokiandika ndio uhalisia sio sheria za kwako za kufikirika

Jaribu kutembelea kifukunye cha taarifa mahakama labda utaondokana na tongotongo la ujinga wa kisiasa

Leta hapa uthibitisho wa hukumu yoyote ilifunguliwa dhidi ya serikali ya Tanzania kupitia mwanasheria mkuu wa serikali kwakmba maamuzi yaliyofikiwa dhidi yake yalitekelezwa. Umewekewa link ili uje na ushahidi kwa rejea ya kesi hizo. Welcome to the East African Court of Justice - East African Court of Justice

Kitu gani kilitokea kwa kesi hizi?
1. Ref No 9/2016- Rashid Salum Adly Vs AG URT;
2. Ref No. 10/2017-Ololosokwan village Vs AG URT
3. Application No 21/2018 (Arising from Ref No 9/2018) Robert F.Kennedy Human Centre Vs AG URT
4. Ref No.24/2018-Zitto Zuberi Kabwe Vs.AG URT
5. Application No 2/2019-Freeman Mbowe Vs AG URT
6. Ref No.3/2019-Freeman Mbowe Vs AG URT
And many more being ruled on, overruled and stayed without practicable impact

You are advised to provide your views for the benefit of the JF members and not using the fora to undermine others to advance your political affiliations as if you are an extraordinary intellectual to trust. To be precise I am seasoned in kaws of all categoroes, so mind your business.
-Maelezo marefu hoja Hanna
-eti "I'm seasoned in laws of all categories" ungekuwa hivyo usingeandika Tanzania imejitoa kwenye EACJ, instead of kusema AFCHPR especially kwa individuals na NGOS kufile case direct, hii inaonyesha hata Sheria hususan African Charter on Human and Peoples Rights na Protocols zake huzijui, Treaty ya EAC huijui ndio maana unachanganya habari.
-unasema kwamba unaandika uhalisia sio sheria, Mpaka hapa umeonyesha hujui sheria kwa maana tunajadili sheria wewe umejitoa nje ya sheria umejiingiza kwenye 'maelezo yasiyo ya kisheria'
 
Asasi nne za kiraia zimeifikisha mahakamani Serikali ya Tanzania kwa ukiukwaji mkubwa kwenye uchaguzi mkuu wa karibuni ambao ulimrudisha madarakani Rais John Pombe Magufuli.

Taasisi kutoka Kenya na Uganda zinaishtaki Tanzania kwenye Mahakama ya Afrika Mashariki, zikituhumu vyombo vya usalama kutumia nguvu kupita kiasi, kupotea, kushikiliwa na hata kuuawa kwa wakereketwa wa upinzani wakati wa kampeni za uchaguzi na baada ya matokeo kutangazwa Oktoba.

"Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na taasisi nyingine za serikali, vilijihusisha na kampeni ya ukiukwaji mkubwa wa sheria na kanuni muhimu za mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki" Taasisi hizo zilisema

Kesi katika mahakama ya EACJ zinaweza kuijaribu Tanzania kwenye uhusiano wake kikanda kwa mara nyingine ikizingatiwa sheria zake haziruhusu changamoto yoyote ya kisheria kuhoji matokeo ya Urais baada ya kutangazwa na Tume ya Taifa ya uchaguzi.

Hoja ya taasisi hio zinatokana na Ibara ya 30(1) kutoa haki kushtaki kama 'watu' wanaoishi ndani nchi mwanachama wa EAC. Pia wanahoji, Tanzania kama nchi mwanachama analazimika kufuata mkataba kwenye utawala bora, haki, uwazi na kulinda haki za binadamu

==========

Four civil rights organisations are suing the Tanzanian government for “massive violations” in the recent general election in which President John Pombe Magufuli was voted back in office.

The organisations from Kenya and Uganda are suing Tanzania at the East African Court of Justice, alleging that security agents clobbered, disappeared, detained and even killed opposition supporters during the election campaigns as well as after the results were announced in October.

“The government, through its security services and other institutions of the state, engaged in a campaign of serious and massive violations of the rule of law and fundamental and operational principles of the East African Community Treaty,” the organisations said in suit papers.

The case at the EACJ could test Tanzania’s regional integration credentials once more, given its own domestic laws forbid any legal challenge on presidential elections, once the results have been declared by the National Electoral Commission.

The Kenya Human Rights Commission, the Kenya Section of the International Commission of Jurists (ICJ-K), and Uganda’s Chapter Four and the Centre for Constitutional Governance are suing Dar es Salaam for what they say is violations committed by a partner state of the East African Community (EAC).

They argue that the EAC Treaty’s Article 30(1) grants them rights to sue as “persons’ resident within a partner state of the EAC.” They also argue that as a member of the EAC, Tanzania was bound by the treaty’s provisions on good governance, social justice, transparency and protection of human rights.
Related

During elections last October, the four organisations say the state engaged targeted violence on ordinary citizens, journalists, activists, opposition supporters and politicians “and other individuals who held or were perceived to hold alternative political views.”

The elections saw Magufuli emerge the winner with 12.5 million votes, or 84.39 per cent of the vote, according to the National Electoral Commission of Tanzania. His closest opponent, Tundu Lissu, garnered 1.9 million votes. Thirteen others fell below 3 per cent. The ruling Chama Cha Mapinduzi also won 262 of the 264 seats in Parliament.

Yet the landslide victory was clouded with claims of irregularities. The Tanzanian Elections Watch a group of observers from the continent said the vote count “raised questions of credibility” and asked authorities to investigate. The NEC rejected claims of vote stuffing and the police denied any wrongdoing.

The four NGOs want the EACJ to affirm that the conduct of Tanzania security agents constitute violations against the treaty.

They also want the Court to order reparations, including damages, apology from the Tanzanian government, an independent investigation into the violations to prosecute the culprits and relevant reforms to prevent recurrence.

This will be the second major case the Tanzanian government will face under a Court created as part of the organs of the EAC. In 2014, conservationists led by the Africa Network for Animal Welfare won against Dar after the EACJ termed Tanzania’s plans to construct a major highway through the Serengeti National Park “unlawful.”

The NGO had argued that the Serengeti ecosystem, linked to Kenya’s Masai Mara, was crucial for the survival of animals and that a highway would disrupt what it called a transboundary resource.

SOURCE: The East African
They should deal with problems in their countries not tanzania. All this shows how desperate the neighbours who used their economies to thrive by plundering on tanzanian's economy have become. Individuals and multinational corporations which used to plunder on tanzania resources find the going difficult under magufuli.
 
-Maelezo marefu hoja Hanna
-eti "I'm seasoned in laws of all categories" ungekuwa hivyo usingeandika Tanzania imejitoa kwenye EACJ, instead of kusema AFCHPR especially kwa individuals na NGOS kufile case direct, hii inaonyesha hata Sheria hususan African Charter on Human and Peoples Rights na Protocols zake huzijui, Treaty ya EAC huijui ndio maana unachanganya habari.
-unasema kwamba unaandika uhalisia sio sheria, Mpaka hapa umeonyesha hujui sheria kwa maana tunajadili sheria wewe umejitoa nje ya sheria umejiingiza kwenye 'maelezo yasiyo ya kisheria'
iRubbish.....
 
Maajabu ya Musa.

Hizo taasis ni za Kenya na Uganda kweli au zimesajiliwa tu huko ila zinafungamana na wale jamaa.

Kenya inaongoza kwa Police brutality EA miaka yote according to amnesty international huku 2019 pekee watu 122 waliuawa.


Lockdown pekee police wameua watu halafu wanakuja kutubania pua sisi huku.

Uganda nako hata uchaguzi bado lakini zaidi ya watu 50 wameuawa na police!

KWA nini wasihangaike na yanayo wahusu zaidi ukiangalia huko kwao hali yenyewe ni tete?

Mtoto hapigani kwao hana kwenda kupigana kwa jirani
 
Back
Top Bottom