Umeona walipotolea tamko lao? umekiona chanzo?Pesa za misaada zinawatia wazimu.Kama kuna ukandamiza wa demokrasia na uhuru wa kujieleza,wasingepata hata hiyo nafasi ya kutoa tamko lao.
Umeona walipotolea tamko lao? umekiona chanzo?Pesa za misaada zinawatia wazimu.Kama kuna ukandamiza wa demokrasia na uhuru wa kujieleza,wasingepata hata hiyo nafasi ya kutoa tamko lao.
..unaweza kuta unamtukana Baba yako,..Hizi ID fake,..Kwani wewe ni mtu hadi uzungukwe na watu?
Ningelikuwa naishi na viumbe kama wewe, eti ndiyo jamii inayonizunguka hapa duniani, ningekunywa sumu nife. Wewe siyo mtu na bila shaka unaishi nao ni viumbe kam awewe ambao si watu kwa hiyo usijilinganishe na watu!
Alafu mtu kama wewe ukiambiwa ukweli kuwa aliyekutatua marinda alikuharibu mpaka akili unabisha...Si ndiyo hizo zilikuwa zinatumiwa na Chadema, na chadema huwa inazofadhili pamoja na wale wa ulaya. Wanafikiri Watz wote ni nyumbu , haaahaa
Kwa mawazo haya yakwako, ile sheria ilikuwa na haki bunge kuipitisha kwa maana hayo uliyoyaandika sio Uhuru tena ni utumwa.
..unaweza kuta unamtukana Baba yako,..Hizi ID fake,..
Mfano nikitoka njiani au kwenye vyombo vya habari nikisema simpendi Magufuli na sipendi anavyoongoza nchi, je itasemwa kwamba nimetumia uhuru wangu kutoa maoni au nitaitwa mchochezi? Refer kesi lukuki zilizopo mahakamani za uchochezi!
Kuikosoa sirikali
Katika maisha yangu kama kuna jambo ambalo sijawahi kulielwa ni hili linaloitwa Uhuru wa kujieleza, binafsi sijawahi kunyimwa Uhuru wa kujieleza hapa TZ tangu nizaliwe, na wala sijawahi kukamatwa au kuulizwa chochote kwa kujieleza kwangu, na watu walionizunguka hivyo hivyo hakuna hata mmoja aliyewahi kuadhibiwa kwa kujieleza kwake, sasa sielewi, unaweza labda kuniweka sawa hapa mnamaanisha nini?
Katika maisha yangu kama kuna jambo ambalo sijawahi kulielwa ni hili linaloitwa Uhuru wa kujieleza, binafsi sijawahi kunyimwa Uhuru wa kujieleza hapa TZ tangu nizaliwe, na wala sijawahi kukamatwa au kuulizwa chochote kwa kujieleza kwangu, na watu walionizunguka hivyo hivyo hakuna hata mmoja aliyewahi kuadhibiwa kwa kujieleza kwake, sasa sielewi, unaweza labda kuniweka sawa hapa mnamaanisha nini?
Kwenye orodha ya watu wa kujieleza wewe haupo kabisa, hivi unawezaje kujieleza wewe wakati fikra zako ni mgando?Katika maisha yangu kama kuna jambo ambalo sijawahi kulielwa ni hili linaloitwa Uhuru wa kujieleza, binafsi sijawahi kunyimwa Uhuru wa kujieleza hapa TZ tangu nizaliwe, na wala sijawahi kukamatwa au kuulizwa chochote kwa kujieleza kwangu, na watu walionizunguka hivyo hivyo hakuna hata mmoja aliyewahi kuadhibiwa kwa kujieleza kwake, sasa sielewi, unaweza labda kuniweka sawa hapa mnamaanisha nini?
Kwenye orodha ya watu wa kujieleza wewe haupo kabisa, hivi unawezaje kujieleza wewe wakati fikra zako ni mgando?
watu wenye uwezo wa kujieleza ni wale ambao wana ubongo active na siyo ubongo inactive Kama wewe.
Ben Saanane alipojieleza kuwa Mkuu wa nchi na yeye ahakikiwe PHD yake ulimwona?
Hebu jaribu kumpinga hadharani mkuu wa nchi au mkosoe hadharani ndo utajua Kama kuna Uhuru wa kujieleza au haupo, unadhani ni ule Uhuru wa kuomba pesa za kwenda Coco beach kutoka Kwa wazazi wako makada wa ccm wewe kula kulala?
a hog that wanders around in the forest is better than you, who sits at home and wait for your parents to bring food for you, that's why you are blindfolded and a wild beast overcomes your culmination.
Hayo mambo unayoongea na jamaa zako huko nyumbani ya kukosoa serikali kwa nia nzuri tu nenda kayaweke kwenye social medias mkajadili muone kama sijaja kuwaletea msosi shimo la tewa au segerea, msizungumzie chumbani ambako hamuonekani tokeni mzungumzie nje ,huko nani atawasikia na serikali itawasikiaje kama msipoandika kwenye social? Msijifananishe na zito yule anayo kinga ya bunge ww una kinga ya nini? Matone au homa ya manjano? Usitake kufananisha supu ya ngombe na supu ya kongoro weweKama kuikosoa Serikali ingekuwa hairuhusiwi basi Bunge lote lingekuwa liko Jela kwani vikao vya Bungeni vyote vinaendeshwa kwa kuikosoa Serikali, au kuikosoa vipi labda unamaamisha? Zito Kabwe kila siku anaokosoa Serikali Mitandanoni na Magazetini mbona hajawahi kufungwa? Ulimwengu kila siku anaandika makal za kuikosoa Serikali mbona hajashitakiwa? Mimi kwetu kila siku na washikaji tunaongelea na kujadili mambo ibao na mengi tunaikosoa Serikali yetu na hatujawahi kukamatwa wala kukanywa na yoyote yule, sasa ndo maana sielewi!
Wewe unafikiri kwa kutumia "masaburi"Alafu mtu kama wewe ukiambiwa ukweli kuwa aliyekutatua marinda alikuharibu mpaka akili unabisha...