flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,342
Akuoe??? Mtawezana kweliNapitia wakati kama wako mdau, ni pm unioe maujanja maana nateseka sana. Nimesoma post yako nikahis kama nimeandika mimi.
Akuoe??? Mtawezana kweliNapitia wakati kama wako mdau, ni pm unioe maujanja maana nateseka sana. Nimesoma post yako nikahis kama nimeandika mimi.
Hapana
Ni baada ya siku moja kukutana na mmoja kati ya marafiki zake akanipa.Unajuaje bado haamini?
Bado unamchunguza?
Ku move on ni kutotaka hata kujua anaendeleaje
Unachosema ni sahihi kitu nilichojifunza mpenzi wako akikuchoka nothing you can do kuyarudisha mapenzi Kama ilivyokuwa mwanzo
Bora ukae pembenu. Yaishe
Asante Sana ila nilichojifunza uki break up na mpenzi wako ndo utajua sababu iliyomfanya mpenzi wako akupende na sababu hiyoo ikiondoka basi ndo mwisho wa safari
Hata ufanyeje
umeamua kumchanaMkuu nimeingia kwenye profile yako unaonekana upo hapa JF since 2011 so nahisi upo above 34/35 nikimaanisha wewe unaonekana mtu mzima uliyetakiwa muda huu uwe na plan sahihi za maisha yako siyo kulia lia na hawa m@laya but ni muda mwingi sana umeutumia hapa kulalamika juu ya huyo unayemuita mpenzi na haya ni machache achilia mbali yale usiyoyaandika hapa ambayo yanakudidimiza zaidi.
Hawa wapo tu unapotumia muda wako mwingi kumuwaza hata ufanisi wakufikiria hatma ya maisha yako unapungua,ipo post ulituma hapa kwamba huyo mwanamke akitaka kujua hatma ya maendeleo yako,unafikiri maendeleo yako yangesaidia nini kwenye mahusiano yenu kama siyo kutaka kufanyia matanuzi nguvu zako huku akiwa hana future yoyote na wewe!mwanamke akishataka kujua uhakika wa kipato chako huyo siyo wa kufanya naye maisha anakuwa ni mzigo kwako tena shukuru Mungu umeyajua haya mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo kawaida hata mimi nimemchoka boy wangu nipo hatua za kumtema,nimekaa naye miaka mitano tulipendana ila ghafla moyo wangu umekata naona kama kanizoea sana anaona kama kesha nioa tyari imefika kipindi amejisahau nami kwa sababu situkuzi mapenzi ndo nshaanza kumtema
Jamaa anazingua,anazeeka analalamikia mwanamke watoto nao walalamikie wanawake humu duniani kweli mambo yataenda?nachojua mimi kuna umri ukifika kama mwanaume unatakiwa uwe focused zaidi na maisha yako siyo kulia lia mapenzi na inapotokea ukaanza kuzeeka huku ukiwa na hisia kali juu ya mwanamke mmoja punguani jua uzee wako utakuwa m'baya.umeamua kumchana
Ni Kama ulikuwa kwenye fikra zangu mzazi.,Mwanaume ukivuka miaka 24 au 27 huwezi kuwa unalia kiasi hiki Kama jamaa mleta hiyo mambo.Jamaa anazingua,anazeeka analalamikia mwanamke watoto nao walalamikie wanawake humu duniani kweli mambo yataenda?nachojua mimi kuna umri ukifika kama mwanaume unatakiwa uwe focused zaidi na maisha yako siyo kulia lia mapenzi na inapotokea ukaanza kuzeeka huku ukiwa na hisia kali juu ya mwanamke mmoja punguani jua uzee wako utakuwa m'baya.
Umri wake huo watu wanawaza kusomesha watoto skuli yeye ndo kwanza anapambana kuwaza kumtuliza mwanamke asiyejitambua,garasa tupa kule huko mitaani wapo wanawake wengine kwani hawaoni hao?
Huyu mwamba anachosha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
So kama ulivoniquote kukaa miaka mitano so ishu na wala mawazo yako hayashawishi,et kisa miaka mingi ya mahusiano ndo ujipeleke motoni? Non sense.........................You sounds like shoga hakuna mwanamke wa kuandika kwa kutumia lugha ngumu kiasi hiki!!!labda unatumia madawa ya kulevya au bangi?au labda umezidiwa na pombe!
By the way,huyo kijana sijui babu aliyeweza kudumu na wewe kwa miaka 5 na bado hujajitambua kisha bado unataka kumuacha asee muache tu maana wewe ni zigo tena gunia la misumari na najua huko aliko anaomba ulianzishe ili yeye amalizie,nilitegemea useme utang'ang'anizana nae mfanye maisha ila umeongea ujinga as usual.how come mtu akuvue nguo miaka mitano akuchambue kuzidi mama yako alivyokuwa akikukagua ulivyokuwa mdogo,akuchome chome na kipande cha nyama for five years kisha simple tu eti nataka nimteme,huku akiwa amekugeuza kopo huko chini hilo wala hulifikirii unachotamba nacho ni “situkuzi mapenzi”,hivi wewe unajitambua wewe?I swear wanawake dizain yako ndo mnaostahili gunia za mkaa,na kadiri miaka inavyosogea kutumia mkaa kupikia majumbani itakuwa anasa kutokana na itakuwa bidhaa adimu kwa sababu case za kupoteza viumbe hovyo kama wewe zitakuwa nyingi sana.
Kuna wanaume wana bahati mbaya sana duniani na sijui hizi jela watazikwepa vipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida inakuwaga kwenye kupasha viporo..!!Ilikuwa ni kazi ngumu ilinichukua takribani Miezi mitatu moyo wangu kukubaliana na matokeo sasa mpenzi wangu kanichoka haitaji kuendelea na mimi na ananifanyia kila aina visa vitavyonifanya niumie mwisho wa siku nione mahusiano magumu nikae pembeni mwenyewe.
Ila nawashukuru wanaJF walionipatia mbinu ya kukabiliana mambo yakifikia hatua hii mpka sasa yule manzi haamini kilichotokea hadi leo hakuamini kama nimekubaliana na matokeo na ninaendelea na maisha yangu
Loser!!!So kama ulivoniquote kukaa miaka mitano so ishu na wala mawazo yako hayashawishi,et kisa miaka mingi ya mahusiano ndo ujipeleke motoni? Non sense