Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,395
Mkuu Gentamycine,
Mimi sitasema sana ila kwa kifupi kilichofanyika chaitwa "double knock effect" yaani mipango ilikwishasukwa kitambo.
Yaani zuia Kigamboni na ondoa ofisini..
Kibaya zaidi ni pale alipokamia kurudi kwa Tango Lima ndipo mazee yalipoomshauri mkulu awahishe utenguzi.
Lakini kweli kikulacho ki nguoni mwako.
Bwana Abuu Koinange ni mtu "smart" sana.
Mtu atumwa akukaimu halafu awe tyari kuchukua nafasi yako "in a friendly way".
Anyway kuna maisha baada ya uDC ila unavyomshauri aende kwa Yusufu si atalia sana akifika huko?
Mimi sitasema sana ila kwa kifupi kilichofanyika chaitwa "double knock effect" yaani mipango ilikwishasukwa kitambo.
Yaani zuia Kigamboni na ondoa ofisini..
Kibaya zaidi ni pale alipokamia kurudi kwa Tango Lima ndipo mazee yalipoomshauri mkulu awahishe utenguzi.
Lakini kweli kikulacho ki nguoni mwako.
Bwana Abuu Koinange ni mtu "smart" sana.
Mtu atumwa akukaimu halafu awe tyari kuchukua nafasi yako "in a friendly way".
Anyway kuna maisha baada ya uDC ila unavyomshauri aende kwa Yusufu si atalia sana akifika huko?