CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
- Thread starter
- #21
hahahaha popoma yuko dunia yake achana nayeUsijali najua ni watu tofauti hata uandishi wenu ni tofauti nisamehe Kama need nimekukwaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha popoma yuko dunia yake achana nayeUsijali najua ni watu tofauti hata uandishi wenu ni tofauti nisamehe Kama need nimekukwaza
Nikiwa nawadharau na kuwaiteni Wapumbavu msiwe mnachukia sawa? Fuatilia Uwasilishaji wa CHIZI VITABU au majibizano yake nami Kutwa hapa JamiiiForums kisha niambie ni wapi mnapata Uhalali wa kila ID hapa kunihusisha nayo.Popoma una ID nyingi ,karibia umeanza kujitaja kutafuta ujiko na kujisifia
Yaani nacheka tu hapa kumbe ulikuwa unazoom tu kwa mbaliNikiwa nawadharau na kuwaiteni Wapumbavu msiwe mnachukia sawa? Fuatilia Uwasilishaji wa CHIZI VITABU au majibizano yake nami Kutwa hapa JamiiiForums kisha niambie ni wapi mnapata Uhalali wa kila ID hapa kunihusisha nayo.
Hivi ni kwanini wengi wenu hapa ( hasa mlio Wapumbavu kama Wewe ) Kivuli changu na Umaarufu wangu mkubwa hapa unawateseni na mnahangaika mno nami? Kuna ambacho GENTAMYCINE mnanidai badala ya Kula vyenu?
Yaani kila ID tu hapa ikija na Kongole ( Pongezi ) Kwangu GENTAMYCINE basi ni yangu ( Mimi Mwenyewe ) na kwamba najianzishia Uzi ili kupata Sifa na Umaarufu pia.
Sasa naendelea Kuwarahisishieni Wapumbavu wote mnaopenda Kunihusisha na ID's hapa JamiiiForums kuwa ID's zote ni zangu sawa?
Wivu na Uswahili vinawateseni sana tu.
huchoki kubandika aya kubwa hivi halafu upumbavu tu unaandikaNikiwa nawadharau na kuwaiteni Wapumbavu msiwe mnachukia sawa? Fuatilia Uwasilishaji wa CHIZI VITABU au majibizano yake nami Kutwa hapa JamiiiForums kisha niambie ni wapi mnapata Uhalali wa kila ID hapa kunihusisha nayo.
Hivi ni kwanini wengi wenu hapa ( hasa mlio Wapumbavu kama Wewe ) Kivuli changu na Umaarufu wangu mkubwa hapa unawateseni na mnahangaika mno nami? Kuna ambacho GENTAMYCINE mnanidai badala ya Kula vyenu?
Yaani kila ID tu hapa ikija na Kongole ( Pongezi ) Kwangu GENTAMYCINE basi ni yangu ( Mimi Mwenyewe ) na kwamba najianzishia Uzi ili kupata Sifa na Umaarufu pia.
Sasa naendelea Kuwarahisishieni Wapumbavu wote mnaopenda Kunihusisha na ID's hapa JamiiiForums kuwa ID's zote ni zangu sawa?
Wivu na Uswahili vinawateseni sana tu.