Kabisa katika maisha Yangu ,siku zote nitawakumbuka na kuwaombea hawa watu,ni watu maalum kwa kweli,laiti wangekuwa wanavaa uniform ,barabarani nisinge muacha hata mmoja kwenye gari Yangu,naandika kutoka rohoniPole kwa kuugua, Mungu ni mwema wakati wote na hongera kuwashukuru ma Dr na ma nurse waliokuhudumia
Baba yeyote tu mkuu bila ubaguzi siku moja utabeba mmoja wao bila kujua! Mpe Salamu zangu yule muuguzi cheupe bonge bonge fulani hivi! Mwambie Manjagata anakujulia hali! Ukiweza nitumie namba yake kabisa!Kabisa katika maisha Yangu ,siku zote nitawakumbuka na kuwaombea hawa watu,ni watu maalum kwa kweli,laiti wangekuwa wanavaa uniform ,barabarani nisinge muacha hata mmoja kwenye gari Yangu,naandika kutoka rohoni
Nazungumzia wauguzi na madoctor,machozi yananitoka hapa ninapoandika,madoctor na wauguzi kamwe hamkufanya makosa kusomea fani hiyo, mwenyezi Mungu awasaidie sanaKibasila wagonjwa ni wengi! kuwa specific kwa kujitaja jina ili shukrani hizi ziwafikie moja kwa moja
Mimi nishatoka mkuu niliruhusiwaBaba yeyote tu mkuu bila ubaguzi siku moja utabeba mmoja wao bila kujua! Mpe Salamu zangu yule muuguzi cheupe bonge bonge fulani hivi! Mwambie Manjagata anakujulia hali! Ukiweza nitumie namba yake kabisa!
Pole sana mdogo wangu!Mimi nishatoka mkuu niliruhusiwa
Namimi naumwa kichwa nipe pole basi uandike na huto tuneno tu tamutamu nami nijisikie mgonjwa ninaejaliwa..😅Pole kwa kuugua, Mungu ni mwema wakati wote na hongera kuwashukuru ma Dr na ma nurse waliokuhudumia
Kwani wamekuambia hawana magari yao?Kabisa katika maisha Yangu ,siku zote nitawakumbuka na kuwaombea hawa watu,ni watu maalum kwa kweli,laiti wangekuwa wanavaa uniform ,barabarani nisinge muacha hata mmoja kwenye gari Yangu,naandika kutoka rohoni
Na wewe umewaona wana shida sana hawamudu gharama za usafiri?Mh ,kwani umeambiwa wote wana magari,mkuu unawatoto? Nenda shule kawaombe wakurudishie ada yako,hukujifunza lolote mkuu
Dah! Jamani sina la zaidi la kusema ila nawashukuru sana Kibasila hasa pale nilipolazwa. Wahudumu wanajitoa sana na wana ukarimu.
Mungu awasaidie sana tena sana