Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,248
- 14,080
Kama mchezaji wa Kigeni haanzi First Eleven ya Simba.Taahira huwa anaujua Uzuri wa Sakho?
Hapo basi Kocha na benchi la ufundi la Simba lote ndio Mataahira.
Wanashindwaje kukiona kipaji Bora kabisa cha mchezaji anayeitwa hadi katika timu ya Taifa lake ?
Na kama hali ndiyo hiyo basi kuna mtu ndio atakuwa Taahira halisi ila ni kwamba hajijui Tu.
Hata siku moja Taahira hawezi kuikubali hali yake.