GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,875
- Thread starter
- #21
Nimeacha 'cha Tarime' na sasa nimeanza kutumia 'cha Malawi' Mkuu.Umeongea point leo, cjui umekula nini cha ziada
Nimeacha 'cha Tarime' na sasa nimeanza kutumia 'cha Malawi' Mkuu.Umeongea point leo, cjui umekula nini cha ziada
Asante ila tabia yangu hii ya Uhalisia huu ulioutaja ndiyo unanifanya nichukiwe na nipigwe 'Zengwe' na Wapuuzi ( Hopeless ) kadhaa ( japo siyo Wote ) hapa Jamvini na hata nje ya Mtandao huu wa JamiiForums.Genta nakukubali Sana. Huwa hupepesi macho Jambo likikukaa vibaya. Una uthubutu muraa. Hongera
Aachwe Kwanza ni 'Prone Injury' halafu Umri wake mkubwa umempunguzia Ufanisi wake Uwanjani na hana Jipya tena Kiuchezaji.Mugalu asiachwe kwanza
Tafadhali Wazazi wa Tanzania hebu tuzalieni Watu wenye Akili na siyo Wapumbavu ( Mipopoma ) ambayo Kutwa tu wanatupa Kazi ya kuwafundisha jinsi ya Kufikiri hasa wawapo hapa JamiiForums Mtandaoni.NATEGEMEA BAADA YA SIKU KAZAA KULETA UZI WA KUOMBA SAKHO AFUKUZWE ATA CLIP ZAKE UKO ALIKOTOKA ALIKUWA ANAFANYA VIZURI MAZOEZINI TU SIO MATCH IN SHORT HIS TRANSFER IS INTERNAL ROBBERY JAMAA HAFIKI HATA UWEZO WA RASHID JUMA TIME WILL TELL
Tena alivyo mzuri ( mahiri ) angeenda huko na Kukutana na Dube hakika Timu nyingi zingekoga sana Magoli mengi kwani wenye Vipaji hasa wangekuwa wamekutana Timu moja.Huyu ndie mchezaji alieperform vyema pre-season leo wanataka kumuacha......Angeenda Azam maji tungeita mma
Nadhani unajua kuwa nakukubali ( nakupenda ) sana hapa JamiiForums Mkuu kwakuwa una uwezo mkubwa mno wa Akili ( Kufikiri ) kiasi kwamba hata tumeshakuwa Marafiki.Mimi mengine nakuachia na mashabiki wenzio, lakini la Morrison nakuunga mkono 100/100. Niliwahi kumsema vibaya siku alipovua nguo nikaambulia kuitwa Yanga. Binafsi nilishaachana na ushabiki wa vilabu nikabaki ni ushabiki wa mpira, lakini Morrison ni kirusi. Klabu ya Man City ilihitaji sana huduma za mshambuliaji Mario Balloteli lakini vitendo vyake vilipoanza kushusha hadhi ya timu alifurushwa na kulazimika kuingia gharama za kumtafuta Kun Aguero.
Shukran Mkuu na tumshukuru Mola tu.Ujumbe mzuri Sana mkuu. Una jicho la kuona wachezaji wenye vipaji kama nilivyo mimi.
Taahira huwa anaujua Uzuri wa Sakho?Sackho hamna kitu kabisa.
Nashangaa wanavyomsisitiza, mi nimeangalia mechi zote alizocheza na sijaona chochohe. Kwa Peter Banda nimeona kitu flani kizuri kinachoweza kuangaliwa kwakuwa bado mdogo.
Mchezaji wa ukweli hapepewi hata kidogo akiingia uwanjani anakiwasha tu
Sackho si wa kucheza Simba.
Skauti ya Simba haiko vizuri kabisa.
Msimu huu Yanga wametuzidi sana kwa swala la usajiri.
🙏🏾Nadhani unajua kuwa nakukubali ( nakupenda ) sana hapa JamiiForums Mkuu kwakuwa una uwezo mkubwa mno wa Akili ( Kufikiri ) kiasi kwamba hata tumeshakuwa Marafiki.
Wewe ukinikosoa ( ukiwa unanisema hapa JamiiForums ) kama nikikengeuka ( nikikosea ) basi huwa naamini, nakusikiliza na najitathmini pia.
Wewe na Sky Eclat ninawakubali zaidi!!!
Sakho hata KMC haanzi first ElevenSackho hamna kitu kabisa.
Nashangaa wanavyomsisitiza, mi nimeangalia mechi zote alizocheza na sijaona chochohe. Kwa Peter Banda nimeona kitu flani kizuri kinachoweza kuangaliwa kwakuwa bado mdogo.
Mchezaji wa ukweli hapepewi hata kidogo akiingia uwanjani anakiwasha tu
Sackho si wa kucheza Simba.
Skauti ya Simba haiko vizuri kabisa.
Msimu huu Yanga wametuzidi sana kwa swala la usajiri.
Nimeshangaa mno kuna mtu anasema Lyanga wa Azam anazidiwa na sakho nimeshtuka mno mbona mpira mchezo wa wazi Sana mbona watu wanajitia upofuHivi huwa mnalipwa kutetea hawa overrated players?
Hivi kutoa Maoni yako ni mpaka uwe Unalipwa hapa Tanzania? Hivi Watu wengine wakati Mwenyezi Mungu anatugawia Akili timamu hizi tulizonazo nyie Wengine mlikuwa wapi mpaka mkasahaulika?Hivi huwa mnalipwa kutetea hawa overrated players?
Mechi ya Yanga , biashara na ya juzi ya FA ata ukifuatilia Instagram yake utaona anapost magori ya mazoezini uko alikokuwaHuyo sakho umemuonea wapi akicheza?
Kwa Kibu Denis nakukatalia Mkuu na chukua haya Maelezo yangu kuwa kama ataongezewa Vitu na Kocha, akajiamini, tukamuamini na akaongeza Umakini na Utulivu kidogo tu ndani ya 18 na ama apunguze au aache kabisa Kuvuta Sigara Bwege ( Bangi ) Simba SC tutamuuza nje ya nchi tena kwa Gharama Kubwa tu.Sioni mantiki ya kumuacha mchezwji yoyote tuliyemsajili dirisha la kiangazi
Duncan Banda na Sako wameonyesha wana kitu mguuni ila bench limewanyima kutuonyesha hicho kitu.
Mimi naomba waterminate mkataba wa Kibu haraka sana, huyo ndio usajili pekee uliofeli mpaka sasa
Sijaona hoja uliyoandikaHamia kwenye rede mpira haukufai