GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,858
- Thread starter
- #81
Nilichokitaka Kwako nimefanikiwa kwani nimekuhamisha kutoka kuwa Mtu Makini na sasa nimekufanya uonekane wa hovyo hovyo hasa kwa Kuandika Kwako vitu 'Nonsese' kama hivi.mpumbavu wewe; nilipoteza mayai yangu bure kule mchepukoni!
Katika 'Signature' yangu kuna neno lisemalo 'Game Changer' na nilichokifanya Kwako nimeweza Kukidhi maana halisi ya hilo neno.
Ahsante Mwenyezi Mungu kwa Baraka.
Cc: Inside10