Asanteni sana member wenzangu wa JF, hatimaye nimefikisha trophy points 280

Uta Uta

JF-Expert Member
Feb 2, 2016
3,687
8,600
Habari wanajamvi. Jana ilikuwa ni siku ya furaha kwangu ingawa ilikuwa siku ya huzuni kwa Pr. Muhongo.

Mimi ni mfuatiliaji nzuri sana wa JF kwa muda mrefu ingawa sikuwa member, nilifuatilia mijadala mbali mbali na hsa ya kisiasa. Miongoni mwa watu waliokuwa wakinivutia ni Tpaul, nilikuwa nafuatilia sana mada zake. Baadae nikaamua kuwa memba ila mara nyingi sana nilikuwa nasahau password na akaunt inakuwa haitumiki.

Mwaka jana nikajikita rasmini kuwa memba mfuatiliaji na kuhakikisha nywila yangu haisahauliki tena. Na jana nashukuru nimefika kiwango cha juu kabisa cha trophy points ni mafiniko makubwa kwa upande wangu mimi, ingawa inaweza isiwe muhimu kwa mtu mwingine.

Nawashukuru member wenzangu kwa michango na sapoti yenu, si vema kumtaja mmoja mmoja.

Ila nashauri mods hii trophy points utoaji wake ufanyiwe marekesho, ili mtu akipata likes elfu 10 apande ngazi, na akifika elf 50 apande ngazi nyingine nk, kwa utaratibu huu wa sasa mi nauona si nzuri sana kwamba member mwenye likes 800 na mwenye likes elfu 90 kuwa kundi moja hainipendezi. Nawashukuru sana
 
Aamen hongera sana
Asante sana, mchango wako ni mkubwa katika kutusapoti sisi underground, nakupongeza sana si mbaguzi wakuchangia na kukosoa bila kujali uzoefu, itikadi ya chama, dini wala kabila. Naomba uendelee na moyo huo, sisi bado tunajifunza tunapoenda kombo mturekebishe na kutuvumilia, kupanga maneno na watu wakakuelewa ni kazi kubwa sana. Pamoja brother
 
Aamen hongera sana
Likes 800? Hongera.
ddb3227b7db9d8afa773a98cf990445f.jpg


Mortuary attendant
05c5052c827176953115d20bb401e771.jpg
 
Habari wanajamvi. Jana ilikuwa ni siku ya furaha kwangu ingawa ilikuwa siku ya huzuni kwa Pr. Muhongo.
Mimi ni mfuatiliaji nzuri sana wa JF kwa muda mrefu ingawa sikuwa member, nilifuatilia mijadala mbali mbali na hsa ya kisiasa. Miongoni mwa watu waliokuwa wakinivutia ni Tpaul, nilikuwa nafuatilia sana mada zake. Baadae nikaamua kuwa memba ila mara nyingi sana nilikuwa nasahau password na akaunt inakuwa haitumiki. Mwaka jana nikajikita rasmini kuwa memba mfuatiliaji na kuhakikisha nywila yangu haisahauliki tena. Na jana nashukuru nimefika kiwango cha juu kabisa cha trophy points ni mafiniko makubwa kwa upande wangu mimi, ingawa inaweza isiwe muhimu kwa mtu mwingine. Nawashukuru member wenzangu kwa michango na sapoti yenu, si vema kumtaja mmoja mmoja.
Ila nashauri mods hii trophy points utoaji wake ufanyiwe marekesho, ili mtu akipata likes elfu 10 apande ngazi, na akifika elf 50 apande ngazi nyingine nk, kwa utaratibu huu wa sasa mi nauona si nzuri sana kwamba member mwenye likes 800 na mwenye likes elfu 90 kuwa kundi moja hainipendezi. Nawashukuru sana
kwani hizo trophy ndo nini wengine hatujui na ukipata hizo inakwaje mkuu nieleweshe nami nijue
 
kwani hizo trophy ndo nini wengine hatujui na ukipata hizo inakwaje mkuu nieleweshe nami nijue
Huu ni mfumo tu wa kutoa motisha kwa wachangiaji, hatua ya mwanzo zina utaratibu unaoeleweka kwa likes 20, 50, 100, 200 na 500 ila mbele huko jinsi wanavyotokokotoa haiweleki wanajua mods wenyewe
 
Huu ni mfumo tu wa kutoa motisha kwa wachangiaji, hatua ya mwanzo zina utaratibu unaoeleweka kwa likes 20, 50, 100, 200 na 500 ila mbele huko jinsi wanavyotokokotoa haiweleki wanajua mods wenyewe
asante kunifahamisha best maana wengine tupo tupo tu hapahapa
 
mkuu nahitaji shamba la kukodi au kununua huko msata nimeona hapo juu wametoa tropy yako kumbe unaishi msata

ila nimeogopa kitu fulani hapo pembeni kumbe wewe ni mortuary assistant :(:(:(
Huna haja ya kumuogopa inabidi uwe nae karibu ni mtu nzuri tu, tena hata ukifa atakuzika yeye mwenyewe shambani kwako
 
asante kunifahamisha best maana wengine tupo tupo tu hapahapa
Sio lakes peke yako pamaoja na mesage, ila ukiaznisha threads nyingi unapata points nyingi kuliko ukiwa mchangiaji tu, kwa uelewa wangu
 
Ukitaka kupanda ngazi,toa pesa upewe cheo tofauti na wenzio.

Mjini hapa vya bure hakuna
 
Si kweli,nilipanda ngazi kabla sijaanza kuanzisha threads. Wapo wenye threads 0 ila wana vyeo sawa na wenye threads mia
Sio lakes peke yako pamaoja na mesage, ila ukiaznisha threads nyingi unapata points nyingi kuliko ukiwa mchangiaji tu, kwa uelewa wangu
 
Habari wanajamvi. Jana ilikuwa ni siku ya furaha kwangu ingawa ilikuwa siku ya huzuni kwa Pr. Muhongo.
Mimi ni mfuatiliaji nzuri sana wa JF kwa muda mrefu ingawa sikuwa member, nilifuatilia mijadala mbali mbali na hsa ya kisiasa. Miongoni mwa watu waliokuwa wakinivutia ni Tpaul, nilikuwa nafuatilia sana mada zake. Baadae nikaamua kuwa memba ila mara nyingi sana nilikuwa nasahau password na akaunt inakuwa haitumiki. Mwaka jana nikajikita rasmini kuwa memba mfuatiliaji na kuhakikisha nywila yangu haisahauliki tena. Na jana nashukuru nimefika kiwango cha juu kabisa cha trophy points ni mafiniko makubwa kwa upande wangu mimi, ingawa inaweza isiwe muhimu kwa mtu mwingine. Nawashukuru member wenzangu kwa michango na sapoti yenu, si vema kumtaja mmoja mmoja.
Ila nashauri mods hii trophy points utoaji wake ufanyiwe marekesho, ili mtu akipata likes elfu 10 apande ngazi, na akifika elf 50 apande ngazi nyingine nk, kwa utaratibu huu wa sasa mi nauona si nzuri sana kwamba member mwenye likes 800 na mwenye likes elfu 90 kuwa kundi moja hainipendezi. Nawashukuru sana
Ni maneno mazuri umezungumza ila sasa mimi naomba kueleweshwa juu ya hizo trophy points ni nini, na kazi yake ni nini ili twende sawa
 
Asante sana, mchango wako ni mkubwa katika kutusapoti sisi underground, nakupongeza sana si mbaguzi wakuchangia na kukosoa bila kujali uzoefu, itikadi ya chama, dini wala kabila. Naomba uendelee na moyo huo, sisi bado tunajifunza tunapoenda kombo mturekebishe na kutuvumilia, kupanga maneno na watu wakakuelewa ni kazi kubwa sana. Pamoja brother
 
Back
Top Bottom