Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,025
- 71,233
In my humble Opinion , without being sentimental , without hiding anything in my thoughts, to the actual truth with my open mind and clean Heart , by gathering all the courages , Ninawapongeza Bunge la Umoja wa Ulaya ,Asanteni sana sana ndugu zangu wadhungu , Ahsanteni , mmejua kunifurahisha .
1/ JNHEPP, JPM alipoanzisha huu mradi, alipigwa Vita Sanaa na wazungu , Baba wa watu akasimama kiume, akasema "Ndugu zangu nimesakrifaisi maisha yangu kwaajili yenu, LAZIMA MRADI TUUJENGE ".. Chuma alisema ,akatenda , Tanzania hiyooooo ikazidi kupaaa !!.
Wakaungana walivyoungana ,hatimaye JPM akarudishwa Kwa Baba yake
Wakayaanza maneno,,, Óhooo Mradi wenyewe Umeiharibu Nchi, óhooo Kuna Magonjwa ya milipuko ,matokeo yake ni kutokana na kuwaharibia wanyama makazi yao pale JNHEPP ..
Bahati nzuri Nchi ikasema, Mradi wa JNHEPP lazima utekelezwe !!.
2/ Kwenye Royo tuwa,. Mara tukasikia 'Huko nyuma tulikua na Chui ,hatukua na mahusiano Mazuri na Mataifaaa🤣.. Wacha niifungue nchiii Uko Ulayaaa na marekani ,tuwe marafikiii watupe Mikopoo, mambo yetu yaende Vizuriiiiiii .
👉Haya basi, Sasa hizi hamna Chui, Kuna Kondooo , kaimalisha Mahusiano na Ulaya, na Marekan, Dunia imetujua, Nchi imefungukaaaa ..
Imekuaje, Mabest zako wakupige Mkwara, wakupige stop?? Hahahaha Madame P!!
Kama wanakupiga Mkwara Kwa hili,,,, Hivi kweli ungeweza kuyathubutu alothubutu JPM?? Ungefunua kinywa kupambana na waleee wa Makontena ya Mchanga wa Dhahabu? .... Hivi Yule Bwana Mkubwa alotia Guu Bongo Kuja Ku compromise na JPM, kweli ungemleta???.
Ona Sasa, Wewe sahizi ndo unatakiwa uwafate, muweke mambo Sawaaaa
JPM hakutoka nje ya Tanzania lakini walikuja wao wenyeweeeee 🙏!!
Uongozi hauhutaji uonekane mwema, uongozi ni kutetea ,kulinda yale yaliyo mema Kwa ajili ya Nchi Kwa nguvu zako na Kwa uhai wako !!.
Mimi ni mama, Nina wajukuu wananitegemea, Utawaweza Ulaya Kweli?? Utawaziba mdomo kweli??.
Hayati JPM aliwakazia kwelikweli, na Bado alipowakipa Fedha ,walimpa.
Sasa wewe Umewalegezea , wanakupiga Za USO ,kisa MIKOPO?? Na usipowasikiliza MIKOPO utaitoa wapi??.
👉Et mmetoa kauli.... Nina wahakikishia, Very soon mnaufyataaaaa, sijaona Mtu wa kuwaweka ngumu ULAYA, HAYUPOOO HAYUPOOOOO ,.
ALITOKEA MMOJA TU AMBAYE NI JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI...... Nyinyi wengine muda SI MREFU mnaufyataaaaa!!
By the way... WAZUNGU WANATAKA MAFUTA , WAKATI HUOHUO HAWATAKI NCHI YAKO NA YA JIRANI MUWAKAMUE PESA KWA SABABU WANAWAPA MISAADA !!
kaeni myamalize !!
"ipo siku mtanikumbuka, na mtanikumbuka Kwa Mazuri sio mabaya".
Nani nani nani Wa kusimamia Masilahi ya Nchi bila woga, kama alivyokua JPM? Nani nani nani huyo yupo tayari kusimama dhidi ya Wazungu?.
1/ JNHEPP, JPM alipoanzisha huu mradi, alipigwa Vita Sanaa na wazungu , Baba wa watu akasimama kiume, akasema "Ndugu zangu nimesakrifaisi maisha yangu kwaajili yenu, LAZIMA MRADI TUUJENGE ".. Chuma alisema ,akatenda , Tanzania hiyooooo ikazidi kupaaa !!.
Wakaungana walivyoungana ,hatimaye JPM akarudishwa Kwa Baba yake
Wakayaanza maneno,,, Óhooo Mradi wenyewe Umeiharibu Nchi, óhooo Kuna Magonjwa ya milipuko ,matokeo yake ni kutokana na kuwaharibia wanyama makazi yao pale JNHEPP ..
Bahati nzuri Nchi ikasema, Mradi wa JNHEPP lazima utekelezwe !!.
2/ Kwenye Royo tuwa,. Mara tukasikia 'Huko nyuma tulikua na Chui ,hatukua na mahusiano Mazuri na Mataifaaa🤣.. Wacha niifungue nchiii Uko Ulayaaa na marekani ,tuwe marafikiii watupe Mikopoo, mambo yetu yaende Vizuriiiiiii .
👉Haya basi, Sasa hizi hamna Chui, Kuna Kondooo , kaimalisha Mahusiano na Ulaya, na Marekan, Dunia imetujua, Nchi imefungukaaaa ..
Imekuaje, Mabest zako wakupige Mkwara, wakupige stop?? Hahahaha Madame P!!
Kama wanakupiga Mkwara Kwa hili,,,, Hivi kweli ungeweza kuyathubutu alothubutu JPM?? Ungefunua kinywa kupambana na waleee wa Makontena ya Mchanga wa Dhahabu? .... Hivi Yule Bwana Mkubwa alotia Guu Bongo Kuja Ku compromise na JPM, kweli ungemleta???.
Ona Sasa, Wewe sahizi ndo unatakiwa uwafate, muweke mambo Sawaaaa
JPM hakutoka nje ya Tanzania lakini walikuja wao wenyeweeeee 🙏!!
Uongozi hauhutaji uonekane mwema, uongozi ni kutetea ,kulinda yale yaliyo mema Kwa ajili ya Nchi Kwa nguvu zako na Kwa uhai wako !!.
Mimi ni mama, Nina wajukuu wananitegemea, Utawaweza Ulaya Kweli?? Utawaziba mdomo kweli??.
Hayati JPM aliwakazia kwelikweli, na Bado alipowakipa Fedha ,walimpa.
Sasa wewe Umewalegezea , wanakupiga Za USO ,kisa MIKOPO?? Na usipowasikiliza MIKOPO utaitoa wapi??.
👉Et mmetoa kauli.... Nina wahakikishia, Very soon mnaufyataaaaa, sijaona Mtu wa kuwaweka ngumu ULAYA, HAYUPOOO HAYUPOOOOO ,.
ALITOKEA MMOJA TU AMBAYE NI JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI...... Nyinyi wengine muda SI MREFU mnaufyataaaaa!!
By the way... WAZUNGU WANATAKA MAFUTA , WAKATI HUOHUO HAWATAKI NCHI YAKO NA YA JIRANI MUWAKAMUE PESA KWA SABABU WANAWAPA MISAADA !!
kaeni myamalize !!
"ipo siku mtanikumbuka, na mtanikumbuka Kwa Mazuri sio mabaya".
Nani nani nani Wa kusimamia Masilahi ya Nchi bila woga, kama alivyokua JPM? Nani nani nani huyo yupo tayari kusimama dhidi ya Wazungu?.