nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
sijui nisemaje ,moyo wangu umefarijika narukaruka kwa furaha,najiuliza bila mabeberu a.k.a wahisani,a.k.a wadau wa maendeleo a.k.a waibaji wa rasilimali zetu ,kutusaidia ingekuwaje?tungeweza kweli kufanya wenyewe?Balozi mkongwe na jasusi lililotukuka A. Mahiga alikuwepo kwenye makabidhiano hayo