Mkuu mbona unapindisha ukweli?Hapana siyo kuheshimu madaraka ya mkuu wa nchi kwani hakuna mahali popote ambapo Ikulu iliwataka madaktari kurudi kazini mara moja bali mahakama ndiyo imefanya hivyo?
Hivi kuna ugumu gani kuelewa Drs wamekubali baada ya kukutana na JK, au unataka kutuaminisha kwamba hata wasingeonana na JK wangesitisha mgomo kwasababu ya mahakama ya kazi