Asanteni kwa salamu

Mwita25

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
3,831
1,164
Tangu ushindi wa kishindo Igunga tumekuwa tukipokea salamu nyingi za pongezi kutoka pande zote za dunia. Hatuna cha kuwalipa ila tunasema asanteni sana na Mungu awabariki.
 
Mtabaki na matusi mitandaoni. Hata kura hampigi, kazi kupiga domo. Na sidhani kama mnakichangia hicho chama kampuni.
Baelezee baelezeeee! Hawa ni mabingwa wa matusi tu humu ndani hawana mchango wowote kwa CDM,, mashujaa halisi ni wale walioko field na wanapiga kura na kuchangia uhai wa chama. Wengine tunachangia matusi na domo domo!!! bwahahahahahahahahahaaaaaaaa:shetani:
 
Back
Top Bottom