Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,766
Kwa sasa vitambi sio kwa wanaume pekee bali hata hawa jinsia ya upande wa pili nao wametupokea tena kwa kasi nguvu na shauku na wanakuja kwa kasi sana nowdays.
Kulikuwepo na fedheha nyingi toka kwa wanaume wenye vitambi walidhihakiwa kwa maneno ya kejeli iliwasononesha sana Zama za nyuma.
Ili hali siku hazigandi mambo yamebadilika nyakati zimesonga kitambi sio kwa wanaume pekee sasa hata wanawake pia wanavitambi.
Je, ni nini haswa imepelekea haya yote ni vyakula au mabadiliko ya hali ya hewa au ndo human changes?
Kulikuwepo na fedheha nyingi toka kwa wanaume wenye vitambi walidhihakiwa kwa maneno ya kejeli iliwasononesha sana Zama za nyuma.
Ili hali siku hazigandi mambo yamebadilika nyakati zimesonga kitambi sio kwa wanaume pekee sasa hata wanawake pia wanavitambi.
Je, ni nini haswa imepelekea haya yote ni vyakula au mabadiliko ya hali ya hewa au ndo human changes?