Habari za jioni ndugu zangu.
Rejea Uzi wangu wa Juzi kuhusu FGM.
Jinsi FGM imeathiri mfumo wa maisha yangu(psychologically),historia ya kweli.
I just wanted to write,to let u know how I appreciate the positive influence mliyoisababisha katika maisha yangu tangu nilipoleta tatizo langu juzi.Thank you for ur concern and useful advice,
Your counselling helped me a lot. Nilikuwa MTU wa kulia wakati mwingine.! Nimekuwa MTU mpya sasa!
Huenda msijue ni namna gani mmenisaidia jamani!,naapa,nimebadilika kimtazamo,naona kama nimepewa nini sijui.,mmeniokoa na stress ambayo ingenitesa kwa muda mrefu kama sio maisha.
Nashukuru,mlitumia muda wenu kunishauri,kunipa experience yenu binafsi katika shida hiyo.You helped me during the most difficult time,kwanini nisishukuru kwa moyo wote!?,mmenipa maneno ya faraja sana.
Nashukuru hata JF kuwepo,sijui ningetumia njia gani kupata ushauri ambao umenipa furaha sana.!!
Nawashukuru members mliokuja pm,nawashukuru kipekee kabisa,nawashukuru sana,wengi wamenifariji na kunipa uzoefu binafsi wa changamoto iliyonihangaisha kwa kipindi cha miaka 14,hatimaye nimechukulia hili tatizo kwa wepesi!,siko mwenyewe,,na hata ningekuwa mwenyewe mmenipa moyo kwamba haibadili kitu,na sio mwisho wa kufurahi!najua mko busy!,lakini mlijitolea muda wenu hata kunitumia link niweze kusoma.
Nafikiri sijawahi kujikubali (sexually) kwa kiasi ninachojikubali sasa!
Nimepona kwa asilimia karibu 70% na naendelea kupona!
Long live jf.& jf members,
NITAWASHUKURU DAIMA.ALL IS WELL.!
Rejea Uzi wangu wa Juzi kuhusu FGM.
Jinsi FGM imeathiri mfumo wa maisha yangu(psychologically),historia ya kweli.
I just wanted to write,to let u know how I appreciate the positive influence mliyoisababisha katika maisha yangu tangu nilipoleta tatizo langu juzi.Thank you for ur concern and useful advice,
Your counselling helped me a lot. Nilikuwa MTU wa kulia wakati mwingine.! Nimekuwa MTU mpya sasa!
Huenda msijue ni namna gani mmenisaidia jamani!,naapa,nimebadilika kimtazamo,naona kama nimepewa nini sijui.,mmeniokoa na stress ambayo ingenitesa kwa muda mrefu kama sio maisha.
Nashukuru,mlitumia muda wenu kunishauri,kunipa experience yenu binafsi katika shida hiyo.You helped me during the most difficult time,kwanini nisishukuru kwa moyo wote!?,mmenipa maneno ya faraja sana.
Nashukuru hata JF kuwepo,sijui ningetumia njia gani kupata ushauri ambao umenipa furaha sana.!!
Nawashukuru members mliokuja pm,nawashukuru kipekee kabisa,nawashukuru sana,wengi wamenifariji na kunipa uzoefu binafsi wa changamoto iliyonihangaisha kwa kipindi cha miaka 14,hatimaye nimechukulia hili tatizo kwa wepesi!,siko mwenyewe,,na hata ningekuwa mwenyewe mmenipa moyo kwamba haibadili kitu,na sio mwisho wa kufurahi!najua mko busy!,lakini mlijitolea muda wenu hata kunitumia link niweze kusoma.
Nafikiri sijawahi kujikubali (sexually) kwa kiasi ninachojikubali sasa!
Nimepona kwa asilimia karibu 70% na naendelea kupona!
Long live jf.& jf members,
NITAWASHUKURU DAIMA.ALL IS WELL.!