Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
- Thread starter
- #101
Gari ni ya 2009 grade 4.2, Km 58,000. Na zaidi ya hapo Gari zimepanda bei sana. Niliilinganisha bei kutoka kampuni mbali mbali kwangu nikaona hiyo ndio ilikuwa bora. Yaani hiyo 22M ni gari kunifikia mkononi ikiwa imekamilika kila kitu ikiwemo service ya Oil na Filter, Leather seats, android radio na screen yakeNimeeleza experience yangu. Nilitegemea bei isiwe na tofauti ya 5m. Kwangu naiona ni kubwa sana. Hata hivyo mimi sina tatizo. Nampongeza kwa kuvuta chuma.