Jamani Asanteni,siamini mie.
Hatimaye nimempata liwazo langu la moyo humu Jf,anaitwa Ndg: L*...
Kwani amefiti vigezo vyangu,kikiwemo kile cha kwanza nilichokiwekea mabano.
(Rejea thread yangu ya nyuma"NASAKA MUME").
Kwaherini wana Jf.
Kwanza hongera kwa kumpata huyo mwandani wako
pili usisahau kutupa taarifa yakikushinda
tatu,unaposema kwaheri ina maana ulijiunga jf kusaka mchumba tu?
OTIS
hongera cna nawe ukimuona mwanamke anaetafuta mume uniambie!Jamani Asanteni,siamini mie.
Hatimaye nimempata liwazo langu la moyo humu Jf,anaitwa Ndg: L*...
Kwani amefiti vigezo vyangu,kikiwemo kile cha kwanza nilichokiwekea mabano.
(Rejea thread yangu ya nyuma"NASAKA MUME").
Kwaherini wana Jf.
Jamani Asanteni,siamini mie.
Hatimaye nimempata liwazo langu la moyo humu Jf,anaitwa Ndg: L*...
Kwani amefiti vigezo vyangu,kikiwemo kile cha kwanza nilichokiwekea mabano.
(Rejea thread yangu ya nyuma"NASAKA MUME").
Kwaherini wana Jf.