Asante serikali kwa bajeti yenye kulenga zaidi walala hoi!!!

Nasikia hakuna kodi kwenye buku 7 za lumumba big up sana HAMY-D kwa kuliona hilo maana watz wengi hatujaliona hadi wafanyakazi wamefurah sana serikali kupunguza asilimia moja
 
Last edited by a moderator:
Mijitu mijinga kama hii ndio inaorudisha nchi nyuma. Bajeti imezidi kumbana mlalahoi. Tafuta watu tukufanunulie,shenzi.
 
asante serikali kwa bajeti yenye kulenga zaidi walala hoi!!!
serikali ya ccm imeandaa bajeti ambayo ina mlenga zaidi mlala hoi kwa maana ya kumpunguzia mzigo wa kodi huku ikiwabana wenye vipato vya kati na vya juu!!

Katika bajeti hii ya serikali ya mwaka 2013/2014, imeondoa kabisa kodi ama kupunguza kodi kwa kiwango cha kuridhisha kwenye maeneo fulani fulani ambayo yana athiri sana watu wenye vipato vya chini.

Maeneo ambayo serikali imeondoa kabisa kodi ama kuipunguza kwa kiasi cha kuridhisha ni kama ya yafuatayo;

1. Boda boda na bajaj hakuna kodi, hivi ni vyombo vya usafiri ambavyo injini zao ni chini ya 501cc, vyombo hivi vimekuwa msaada mkubwa kwa vijana wengi kwani vimeweza kuwapatia vijana vipato na kuwaletea maendeleo.

2. Mafuta ya taa hayata kuwa na ongezeko la kodi, kwa kutambua kuwa nishati hii inatumiwa sana na watu wa kipato cha chini, serikali itaendelea kutoza ushuru wa tshs. 400/= kwa lita.

3. Ununuzi wa magari mapya marufuku, kwa kutambua kuwa gharama kubwa utumika kwa manunuzi ya magari mapya, serikali imepiga marufuku manunuzi ya magari mapya ili kupunguza matumizi ya kawaida.

4. Kodi ya mshahara itakuwa 13%-14%. Kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi sasa kimesikika na serikali kuwapa unafuu kwa kupunguza kodi kwenye mishahara.

Ila kama ilivyo ada, hakuna zuri lisilo ambatana na lawama, dhihaka na kejeli, wapinzani na watu wasio na mapenzi mema na taifa wamelaumu eti hii bajeti itaongeza ukali wa maisha hasa kwa watu wa vipato vya chini. Haya maneno hayana ukweli wowote kwani dhumuni la hii bajeti ni kupunguza mzigo kwa walipa kodi ili kupunguza ukali wa maisha.

Aidha, watu wengi wanao lalama ni wenye vipato vya juu, kwani wengi wao wanajua kuwa kodi kubwa imeelekezwa kwao, hasa wale watumiaji wa mvinyo, kwa ule mvinyo wa dhabibu za nchini utatozwa sh 160 kwa lita badala ya sh 145, mvinyo wa dhabibu za nje ushuru umepanda kutoka sh 1641 mpaka sh 1775 kwa lita, huku vinywaji vikali vikitoka sh 2392 mpaka sh 2631.​

last edited by hamy-d; today at 15:48.​
  • mi ccm mingne kama imelaaniwa mpumbavu mkubwa ata kama mnalamba viatu vya watawala vumbi huwezi kutetea huu upuuzi serikali imeuwa wanyonge unatetea upuuz ata kama mnajpendekeza kwa kna nape ambao nao ni waganga njaa uwez kuleta huu upuuz kaka ni kuzalilisha akili yako plz badlka acha ukanjanja ata ambao hatuadhrki na hii bajeti lakn hii bajeti imeonyesha jinsi serkali yetu ilivyo dhaifu so kupunguza shlngi moja kwenye p.a.e ndio ukomboz?,kuongeza bei ya mafuta ndio ukomboz ?go to hell
  • https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-bajeti-yenye-kulenga-zaidi-walala-hoi.html#
 
Hakukaa akatulia.Kodi ambayo angelipa MPZN(Mwizi wa Pembe za Ndovu)analazimika alipe bibi kule Likuyuseka.Hiyo si bajeti
 
Sasa hapo hakuna nafuu bora hiyo kodi ya mvinyo ingekuw kwa mafuta ya taa na ya mafuta ya taa iwe kwenye mvinyo hapo angalau watumuaji wakubwa haya mafuta wangefaidika kinyume nq hapo Hamy D umejivuruga tu na uzi wako hapo.
 
Ungekuwa karibu ningekucharaza viboko kwa hasira.Fanya uchambuzi wa kina kama hujasoma uchumi subiri uchambuliwe na sio kufanya propaganda za kudanganya wasomi..Huu muda uliotumia kupost hapa ungeenda Iramba magharibi ukawadanganya maana wako wengi huko wanaofanana na wewe!!
 
2. Mafuta ya taa hayata kuwa na ongezeko la kodi, kwa kutambua kuwa nishati hii inatumiwa sana na watu wa kipato cha chini, serikali itaendelea kutoza ushuru wa Tshs. 400/= kwa lita.

.


Tatizo lenu wenu wenu AKILI zenu ni za KUSHIKIWA.

Hivi kweli hata kama hujasoma huelewi kwlei kitu kidogo kama hiki?
haya fuatilia hapa:-

1. Kabla Mafuta ya taa hayajapanda bei yake ilikuwa chini na petroli ilikuwa juu, magari mengi ya wakubwa hata la KIKWETE lilipo wekewa mafuta taa mkaenda bungeni mkapandisha bei ya mafuta taa eti yawe bei sawa na Petroli. Sawa tukawavumilia.

2. Leo Unapandisha bei ya Petrol tena unashangilia na vigelegel unapiga huku ukiwaadaa wanachi kuw amafutaa taa hayajapanda huku ukijua wazi kabisa ndio kufungulia mlango wa uchakachuaji kw aspidi ileile ya wakti ule, na tunajua uwezo wenu wakufikiri ulivyo mdogo solution la hili itakuwa KUPANDISHA TENA BEI YA MAFUTA TAA>

au wewe GAMBA huoni hili?
 
Labda kwa walalahoi wa kijijini kwenu ndo itakuwa bajeti ya kuwajali hao, laiti ungelijua muingiliano wa sekta za kijamii na ukawa na busara hata robo ya robo usingekaa kuandika huu ugoro hapa jamvini

Inaonesha ni kwa kiasi gani IQ yako iko rehani mkuu
 
Kuna kipindi FIFA ilitaka kupitisha sheria ya mchezaji yoyote anayewapiga chenga wenzangu mpaka kuwasababishia hasira au maudhi analimwa kadi ya njano kama onyo,ile sheria haikupita kabisb,naomba Jf ipitishe rules kwa thread yoyote inayokejeli maisha ya waTanzania ifutwe na jamaa apigwe ban ya wiki kadhaa!!!
 
Acha unafiki ....wanafki na wajinga ni watu wabay sana.....angalia mazuri ya bajeti yakowapi..? PAYE kutoka 14% mpaka 13% unaona hata aibu kuiandika...ipo siku tu lakini
 
Serikali ya CCM imeandaa bajeti ambayo ina mlenga zaidi mlala hoi kwa maana ya kumpunguzia mzigo wa kodi huku ikiwabana wenye vipato vya kati na vya juu!!

Katika bajeti hii ya serikali ya mwaka 2013/2014, imeondoa kabisa kodi ama kupunguza kodi kwa kiwango cha kuridhisha kwenye maeneo fulani fulani ambayo yana athiri sana watu wenye vipato vya chini.

Maeneo ambayo serikali imeondoa kabisa kodi ama kuipunguza kwa kiasi cha kuridhisha ni kama ya yafuatayo;

1. Boda boda na Bajaj hakuna kodi, hivi ni vyombo vya usafiri ambavyo injini zao ni chini ya 501cc, vyombo hivi vimekuwa msaada mkubwa kwa vijana wengi kwani vimeweza kuwapatia vijana vipato na kuwaletea maendeleo.

2. Mafuta ya taa hayata kuwa na ongezeko la kodi, kwa kutambua kuwa nishati hii inatumiwa sana na watu wa kipato cha chini, serikali itaendelea kutoza ushuru wa Tshs. 400/= kwa lita.

3. Ununuzi wa magari mapya marufuku, kwa kutambua kuwa gharama kubwa utumika kwa manunuzi ya magari mapya, serikali imepiga marufuku manunuzi ya magari mapya ili kupunguza matumizi ya kawaida.

4. Kodi ya mshahara itakuwa 13%-14%. Kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi sasa kimesikika na serikali kuwapa unafuu kwa kupunguza kodi kwenye mishahara.

Ila kama ilivyo ada, hakuna zuri lisilo ambatana na lawama, dhihaka na kejeli, wapinzani na watu wasio na mapenzi mema na taifa wamelaumu eti hii bajeti itaongeza ukali wa maisha hasa kwa watu wa vipato vya chini. Haya maneno hayana ukweli wowote kwani dhumuni la hii bajeti ni kupunguza mzigo kwa walipa kodi ili kupunguza ukali wa maisha.

Aidha, watu wengi wanao lalama ni wenye vipato vya juu, kwani wengi wao wanajua kuwa kodi kubwa imeelekezwa kwao, hasa wale watumiaji wa mvinyo, kwa ule mvinyo wa dhabibu za nchini utatozwa sh 160 kwa lita badala ya sh 145, mvinyo wa dhabibu za nje ushuru umepanda kutoka sh 1641 mpaka sh 1775 kwa lita, huku vinywaji vikali vikitoka sh 2392 mpaka sh 2631.

Ndugu yangu.... Wewe uliishia darasa la ngapi??

Kama kipofu kaona bajeti inamuumiza mlalahoi wewe bado hujaona basi una matatizo makubwa.Au hutumii ubongo wako vizuri kufikiri.
1.Wewe unaona boda boda kuto kutozwa kodi ni suluhisho vp kupanda kwa Petrol?we unaona ndo kushuka kwa gharama za maisha?

2.Unafurahia kutozwa kodi ya uchakavu kwenye Magari angalia Magari makubwa Viazi mbeya na kilimanjaro utaleta kwa boda boda mjini?hujawaza kuwa hii kodi utailipa final consumer?
3.Hujawaza kodi ya kumiliki simu?na kodi associated na matumizi ya mtandao kama Internet na voice?
4.Mfanyakazi ndo mlipa kodi mkuu kumshushia asilimia 1 we unaona ndo kumsaidia? Vip bei ya unga itakayo panda kwa kupanda uchakavu wa magari?
Boda boda unasema atulie afanye kazi je anapita kwenye barabara iliyojengwa na nani?anaanguka na pikipiki hizo dawa kumtibu na afya kwa ujumla inanunuliwa na nani?

Huo ni uchambuzi mdogo

Vp kodi za madinia na mrahaba?

Vp kodi za Gas ya mtwara?

Mchina Mikataba 19 amesaini inatusaidia wapi kwenye bajeti?imetajwa kokote licha ya kusainiwa kwa mbwembwe na fashi fashi.

Hebu kuwa na fikra sahihi bwana sio kutetea ujinga na matumbo ya viongozi wezi!
Kha usiniharibie wikiendi yangu.
 
Mkuu HAMY-D, kwa haya unayoyatetea hapa, nashawishika kuamini pasipo shaka kwamba wewe ni mmoja wao wa hao wanaofaidika na mfumo wa utawala uliopo. Ni bahati tu kwamba JF wanaturuhusu kuingia na ID hizi tunazotumia. Si vyema kuonyesha dharau za namna hii kwa watanzania walio wengi.



bila shaka huyu mtoa mada ni mmojawapo wa mafisadi.......(ur pain yet more my pain).....!!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu.... Wewe uliishia darasa la ngapi??

Kama kipofu kaona bajeti inamuumiza mlalahoi wewe bado hujaona basi una matatizo makubwa.Au hutumii ubongo wako vizuri kufikiri.
1.Wewe unaona boda boda kuto kutozwa kodi ni suluhisho vp kupanda kwa Petrol?we unaona ndo kushuka kwa gharama za maisha?

2.Unafurahia kutozwa kodi ya uchakavu kwenye Magari angalia Magari makubwa Viazi mbeya na kilimanjaro utaleta kwa boda boda mjini?hujawaza kuwa hii kodi utailipa final consumer?
3.Hujawaza kodi ya kumiliki simu?na kodi associated na matumizi ya mtandao kama Internet na voice?
4.Mfanyakazi ndo mlipa kodi mkuu kumshushia asilimia 1 we unaona ndo kumsaidia? Vip bei ya unga itakayo panda kwa kupanda uchakavu wa magari?
Boda boda unasema atulie afanye kazi je anapita kwenye barabara iliyojengwa na nani?anaanguka na pikipiki hizo dawa kumtibu na afya kwa ujumla inanunuliwa na nani?

Huo ni uchambuzi mdogo

Vp kodi za madinia na mrahaba?

Vp kodi za Gas ya mtwara?

Mchina Mikataba 19 amesaini inatusaidia wapi kwenye bajeti?imetajwa kokote licha ya kusainiwa kwa mbwembwe na fashi fashi.

Hebu kuwa na fikra sahihi bwana sio kutetea ujinga na matumbo ya viongozi wezi!
Kha usiniharibie wikiendi yangu.

Mkuu huyo ni mtoto wa kikwete....Riziwan huyo as a father as a son n the whole management is zero brain
 
Acha unafiki ....wanafki na wajinga ni watu wabay sana.....angalia mazuri ya bajeti yakowapi..? PAYE kutoka 14% mpaka 13% unaona hata aibu kuiandika...ipo siku tu lakini

hawa watu wanafikiri wanaongoza madunduga maana yanatupeleka peleka yanavyotaka yao...........But soon Justice will Prevail
 
1. Boda boda na Bajaj hakuna kodi, hivi ni vyombo vya usafiri ambavyo injini zao ni chini ya 501cc, vyombo hivi vimekuwa msaada mkubwa kwa vijana wengi kwani vimeweza kuwapatia vijana vipato na kuwaletea maendeleo.

2. Mafuta ya taa hayata kuwa na ongezeko la kodi, kwa kutambua kuwa nishati hii inatumiwa sana na watu wa kipato cha chini, serikali itaendelea kutoza ushuru wa Tshs. 400/= kwa lita.

3. Ununuzi wa magari mapya marufuku, kwa kutambua kuwa gharama kubwa utumika kwa manunuzi ya magari mapya, serikali imepiga marufuku manunuzi ya magari mapya ili kupunguza matumizi ya kawaida.

4. Kodi ya mshahara itakuwa 13%-14%. Kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi sasa kimesikika na serikali kuwapa unafuu kwa kupunguza kodi kwenye mishahara.

Mkuu uchambuzi wako ni mzuri, ila unaangalia Mita moja toka uliko, Jaribu kufika hapa
1. Aliyeweka ushuru wa Boda boda na Bajaji alikuwa nani?, Je walikuwa wanakusanya Tshs ngapi?, Je kuwaachia hawa ndio serikali itapoteza mapato?, Je vyanzo vikubwa vya mapato kama Madini, Gesi, Mafuta, Mawasiliano, Usafirishaji serikali imejipanga vipi kuhakikisha inakusanya mapato ipasavyo?

2. Ishu ya mafuta ya Taa, Ni nani alisema kuwa wafanya biashara wanachakachua sana mafuta mengine kwa Kutumia mafuta ya taa na akaamua kupandisha ushuru ili bei zilingane na wachuuzi hao wasiweze kuchakachua? Je tuna muda gan tangu ushuru wa mfuta ya taa ulipopaishwa ili ulingane na mfuta mengine?. Je watanzania wengine Anzia bungeni walijadili nini kuhusu hayo mafuta ya taa juu ya utegemezi wake kwa Maskini ambao hutumia hata Vibatari "Koroboi" Acha kupikia?, Je walijadili nini kuhusu matumizi ya Ges na makaa ya mawe kwa ajili ya kupikia kama mbadala wa Mkaa na mafuta ya taa?

3. ununuzi wa magari nisiingilie sana Ila ni vizuri kukumbuka sheria ya manunuzi ya Vifaa vya serikali vilivyotumika.

4. Katika kodi ya mishahara kupungua, Hebu jaribu kuingia hapo kidogo, Hawa watumishi huwa wanafanya biashara gani juu ya mishahara hiyo mpaka walipe kodi?, Je faida yake ni kiasi gani, maana katika kanuni zote za malipo ya kodi huangalia Asilimia fulani ya Faida na sio mtaji, Pia ukilinganisha na wafanyabiashara wao hukatwa VAT 18% ya faida wanayopata, Hata hivyo kwa wafanyabiashara anapoona ushuru unambana huongeza gharama kidogo ya kuuza bidhaa hiyo na hivyo mwisho wa siku anayelipa hiyo kodi ni Malaji wa mwisho ambaye ni Mtanzania masikini na mfanya biashara ni kama wakala tu wa kukusanya toka kwa walaji wa mwisho. Na suala la bei kupandishwa linakuwa bovu kupindukia hasa pale Taifa linapokuwa linashindwa kudhibiti mfumuko wa bei (inflation)
Nimejaribu kukupa maswali ya kujiuliza kama kweli mzalendo utapata point fulani ya kuanzia, "Hizi sio lawama bali ni kuwangalia Trend ya hali halisi ndipo unapoweza kuchora graph na kuakisi nini kitafuata, Usipende kutumia pointi moja tu kuchora graph na kuanza kuakisi nini kitafuata, Kama ulipita katika hesabu kumbuka Sequence and Series" usiwe baba anayemtandika mwanae halafu anamletea pipi ili kumsahaulisha na wale watoto wasiosahau kilichotokea si kana kwamba ni walalamishi bali huo ndio ukweli.
 
Nilikuwa naangalia itv jioni hii habari jamaa anaitwa mfuruki a
nasema serikalu inadaiwa na migodi ya dhahabu dola m200
kenya wamepunguza bei ya diesel na petrol
 
Back
Top Bottom