Kabisaaa. Maana sio kwa kuhutubia nyasi jamani. Watu wabayaHizo ni salaam kwa Gamboz
Jamaa wewe umewaelewa chichiyemu vizuri sanaWale wavuvuzela watakuja na hoja kama:-
1. Hizo picha siyo ya sasa. Ni za zamani sana wakati chama hakijaimarishwa Arusha.
2. Picha hiyo ilikuwa kabla ya mkutano. Ndiyo kwanza walikuwa wanafunga Mic kwa maandalizi ya mkutano. AU.
3.. Photoshop. AMA:-
4. Haikuwa kwenye kampeni.
5: Mpiga picha alikuwa wa CHADEMA, amekata audience.
Ili mradi vituko kama vya madenge!
Karibu chuga mkuuuna kazi nyingine au ndio hii hii ya umbea!
Wale wavuvuzela watakuja na hoja kama:-
1. Hizo picha siyo ya sasa. Ni za zamani sana wakati chama hakijaimarishwa Arusha.
2. Picha hiyo ilikuwa kabla ya mkutano. Ndiyo kwanza walikuwa wanafunga Mic kwa maandalizi ya mkutano. AU.
3.. Photoshop. AMA:-
4. Haikuwa kwenye kampeni.
5: Mpiga picha alikuwa wa CHADEMA, amekata audience.
Ili mradi vituko kama vya madenge!
muriet hamnaga hiyo migomba acha kudanganya watu
mbona picha imekata audience..asee mbona mnajitekenya na kucheka wenyewe
Unampiga picha anayeongea ili tuamini propaganda yako
mbona picha imekata audience..asee mbona mnajitekenya na kucheka wenyewe
Mule mule!Unampiga picha anayeongea ili tuamini propaganda yako