Asante Rais Magufuli kupambana na mafisadi TANESCO, sasa umeme sio kero tena na haukatiki muda mrefu

Lowasa alikuwa na mtandao wa kuhujumu kikwete viongozi wengi serikalini aliwaweka yeye akiwa Waziri mkuu walipogeukana na Kikwete akamtoa uwaziri mkuu akamuweka Mizengo pinda akaanza hujuma kikwete aonekane dhaifu utendaji baadaye akajiunga chadema kisirisiri akijua hawaivi na Kikwete Hivyo akipigwa chini aende chadema!!! Alivyoenda chadema mtandao wote alioiweka serikalini na mashirika ya umma wakawa naye wakuwemo wa Tanesco kuhakikisha kila mtu kwenye nafasi yake anahujumu ili Serikali ya,CCM ionekane boya!! Tanesco Ni moja ya mashirika yaliyofanikisha chadema kupata wabunge!! Kwa kuzalisha kero nyingi za umeme kwa wapiga kura zilizofanya watu wachukie CCM Hadi Basi.Hicho ndicho kilifanya Hadi akina God bless lema wakashinda Arusha!!!

Ndio maana Raisi Magufuli aliposhika tu katika maeneo alianza kutumbua ni Tanesco

Kwa kuwa siasa ndio maisha yako sawa..

Narudia haya ni matusi ya rejareja tena ya wazi kabisa.

Ila umefungua mlango mwingine, inafikirisha na kuleta maswali lukuki.. kama hayo yamewezekana bhas dah... masikini nchi yangu.
 
Kwa kuwa siasa ndio maisha yako sawa..

Narudia haya ni matusi ya rejareja tena ya wazi kabisa.

Ila umefungua mlango mwingine, inafikirisha na kuleta maswali lukuki.. kama hayo yamewezekana bhas dah... masikini nchi yangu.
Umeme ulitumika kisiasa sana Hadi millennium challenge ya Billy Gates ilijitoa kufadhili miradi ya umeme Zanzibar kisa eti demokrasia Wala uchaguzi huru hatuna ndio maana Shein kashinda badala ya Seif sharrif Hamad mmmmm!!!!

Asante Magufuli ku deal na issue ya umene Tanzania bara na Zanzibar silaha iliyotumiwa na wasioitakia Tanzania mema na wapinzani
 
Tanesco iligeuzwa chombo cha kisiasa ambacho mafisadi waliitumia Tanesco kuifanya serikali ya CCM ichukiwe na wananchi ili upinzani ushinde

2015 karibu na uchaguzi mkuu nilikuwa Arusha mjini umeme ulikuwa unazimwa siku nzima unawashwa saa saba usiku na kuzimwa saa tisa usiku. watu vyakula viliwaozea kila ukipita kila kona CCM ilikuwa ikiporomoshewa matusi ya nguoni kumbe mifisadi ikishirikiana na mifisadi mifanyakazi us Tanesco iliamua kutumia Tanesco kama chombo chao cha kuipiga chini CCM

Na hili lilifanyika sana mikoa ya kaskazini na majiji ya Mbeya, Dar, Arusha na Mwanza na sehemu mbalimbali za miji kama Iringa nk Hali iliyosababisha maeneo hayo kuchukuliwa na upinzani kirahisi tu kwa kutumia kero ya Tanesco tu

Baada ya Raisi Magufuli na kutumbua mafisadi Tanesco na kuibana mifisadi ya umeme sasa hivi hali shwari tuna enjoy umeme wananchi kero imeisha. nyumba hata za vijijini za majani zina umeme wa Rea na haukatiki hovyo

Mtu akibeza mafanikio ya Magufuli muulize tu vipi umeme ukilinganisha na kabla 2015 Magufuli kuingia madarakani hali unaionaje? Raisi Magufuli asante kutuondolea kero ya umeme kuanzia ugumu wa kuupata, kukatika vipindi virefu, nk

Ilikuwa 2015 kurudi Numa kabla Rais Magufuli hajashika urais wafanyakazi wa Tanesco wakionekana mtaani na magari yao watu walikuwa watu mtaani walikuwa wakiwazomea na kuwaombea dua mbaya na wengine kuwarushia mawe kuwa wamekuja mtaani kukata umeme!!!

Watanzania waliehuka umeme kuwaka ilikuwa sherehe kubwa ya kushangilia kuliko ushindi wa simba na yanga umeme uliokatika unaporudi!!! Yaani ukirudi watu wanashangilia kama wehu ngoma za madebe zinapigwa mitaani kwenye mabaa watu wanaruka ruka juu kama ngoma ya masai kufurahia umeme adimu uliorudi!!

Toka mheshimiwa Magufuli ashike madaraka sherehe Hiro zimekufa. Umeme raha mstarehe. aAsante Raisi Magufuli kwa kutatua kero hii kubwa iliyokuwa inagusa watu wote wa juu hadi wa chini kabisa nchi nzima.Anayebisha mafanikio ya Raisi Magufuli aangalie kipengele cha umeme pekee nchi nzima na alinganishe na kabla hajaingia madarakani 2015

Heri mtu yule anayeona na kusadiki
Nimekuelewa sana kaka
 
Uneme ulitumika kisiasa sana Hadi millennium challenge ya Billy Gates ilijitoa kufadhili miradi ya umeme Zanzibar kisa eti demokrasia Wala uchaguzi huru hatuna mmmmm

Asante Magufuli ku deal na issue ya umene Tanzania bara na Zanzibar silaha iliyotumiwa na wasioitakia Tanzania mema na wapinzani

......................
Asante.
 
Sawa haina shida kaondoa mafisadi ya umeme na haja replace mifisadi mingine ya umeme.!!!

Hoja yako haina mashiko angekuwa na mihasira ya kukosa mgao wa rushwa za mifisadi ya Tanesco angeiondoa mifisadi ya umeme iliyokuwepo aka replace mifisadi yake mipya ya kumpa rushwa na wananchi nchi nzima tungeendelea kuteswa na Tanesco!!! Lakini hamna Hilo!!! Kaipiga chini mifisadi ya Tanesco wananchi nchi nzima twapata raha hakuna fisadi mpya Tanesco wa kutuonea
Serikali yako unayosema imeondoa ufisadi imeongeza tena tozo ya kununua umeme kutoka 1% hadi 2% yaani mara mbili ya bei ya mwanzo,zamani ukinunua umeme wa buku unakata Tsh 10 ila leo unakatwa Tsh 20,huo ndio upigaji tunaousema,mkuu nasisitiza akili hii ya maono tumepewa watu wachache sana! Mtu mwenye akili/uelewa ya/wa kawaida hawezi kujua kiundani.
 
Serikali yako unayosema imeondoa ufisadi imeongeza tena tozo ya kununua umeme kutoka 1% hadi 2% yaani mara mbili ya bei ya mwanzo,zamani ukinunua umeme wa buku unakata Tsh 10 ila leo unakatwa Tsh 20,huo ndio upigaji tunaousema,mkuu nasisitiza akili hii ya maono tumepewa watu wachache sana! Mtu mwenye akili/uelewa ya/wa kawaida hawezi kujua kiundani.
Sawa inakusaidia nini kununua umeme kwa bei ndogo usiopatikana? Hadi unatukana serikali kwa kutokupa umeme wa uhakika? Hata ulipe shilingi hamsini kwa mwezi uneme uko wapi? Issue sio unalipa shilingi ngapi
 
Tanesco iligeuzwa chombo cha kisiasa ambacho mafisadi waliitumia Tanesco kuifanya serikali ya CCM ichukiwe na wananchi ili upinzani ushinde

2015 karibu na uchaguzi mkuu nilikuwa Arusha mjini umeme ulikuwa unazimwa siku nzima unawashwa saa saba usiku na kuzimwa saa tisa usiku. watu vyakula viliwaozea kila ukipita kila kona CCM ilikuwa ikiporomoshewa matusi ya nguoni kumbe mifisadi ikishirikiana na mifisadi mifanyakazi us Tanesco iliamua kutumia Tanesco kama chombo chao cha kuipiga chini CCM

Na hili lilifanyika sana mikoa ya kaskazini na majiji ya Mbeya, Dar, Arusha na Mwanza na sehemu mbalimbali za miji kama Iringa nk Hali iliyosababisha maeneo hayo kuchukuliwa na upinzani kirahisi tu kwa kutumia kero ya Tanesco tu

Baada ya Raisi Magufuli na kutumbua mafisadi Tanesco na kuibana mifisadi ya umeme sasa hivi hali shwari tuna enjoy umeme wananchi kero imeisha. nyumba hata za vijijini za majani zina umeme wa Rea na haukatiki hovyo

Mtu akibeza mafanikio ya Magufuli muulize tu vipi umeme ukilinganisha na kabla 2015 Magufuli kuingia madarakani hali unaionaje? Raisi Magufuli asante kutuondolea kero ya umeme kuanzia ugumu wa kuupata, kukatika vipindi virefu, nk

Ilikuwa 2015 kurudi Numa kabla Rais Magufuli hajashika urais wafanyakazi wa Tanesco wakionekana mtaani na magari yao watu walikuwa watu mtaani walikuwa wakiwazomea na kuwaombea dua mbaya na wengine kuwarushia mawe kuwa wamekuja mtaani kukata umeme!!!

Watanzania waliehuka umeme kuwaka ilikuwa sherehe kubwa ya kushangilia kuliko ushindi wa simba na yanga umeme uliokatika unaporudi!!! Yaani ukirudi watu wanashangilia kama wehu ngoma za madebe zinapigwa mitaani kwenye mabaa watu wanaruka ruka juu kama ngoma ya masai kufurahia umeme adimu uliorudi!!

Toka mheshimiwa Magufuli ashike madaraka sherehe Hiro zimekufa. Umeme raha mstarehe. aAsante Raisi Magufuli kwa kutatua kero hii kubwa iliyokuwa inagusa watu wote wa juu hadi wa chini kabisa nchi nzima.Anayebisha mafanikio ya Raisi Magufuli aangalie kipengele cha umeme pekee nchi nzima na alinganishe na kabla hajaingia madarakani 2015
Yehodaya uko sahihi kusifu nakuabudi hao mafisadi wako wapi maana kika siku nasikia mafisadi siwaoni wakiwa mahakamani au gerezani inabaki hadithi tu
 
Tanesco iligeuzwa chombo cha kisiasa ambacho mafisadi waliitumia Tanesco kuifanya serikali ya CCM ichukiwe na wananchi ili upinzani ushinde

2015 karibu na uchaguzi mkuu nilikuwa Arusha mjini umeme ulikuwa unazimwa siku nzima unawashwa saa saba usiku na kuzimwa saa tisa usiku. watu vyakula viliwaozea kila ukipita kila kona CCM ilikuwa ikiporomoshewa matusi ya nguoni kumbe mifisadi ikishirikiana na mifisadi mifanyakazi us Tanesco iliamua kutumia Tanesco kama chombo chao cha kuipiga chini CCM

Na hili lilifanyika sana mikoa ya kaskazini na majiji ya Mbeya, Dar, Arusha na Mwanza na sehemu mbalimbali za miji kama Iringa nk Hali iliyosababisha maeneo hayo kuchukuliwa na upinzani kirahisi tu kwa kutumia kero ya Tanesco tu

Baada ya Raisi Magufuli na kutumbua mafisadi Tanesco na kuibana mifisadi ya umeme sasa hivi hali shwari tuna enjoy umeme wananchi kero imeisha. nyumba hata za vijijini za majani zina umeme wa Rea na haukatiki hovyo

Mtu akibeza mafanikio ya Magufuli muulize tu vipi umeme ukilinganisha na kabla 2015 Magufuli kuingia madarakani hali unaionaje? Raisi Magufuli asante kutuondolea kero ya umeme kuanzia ugumu wa kuupata, kukatika vipindi virefu, nk

Ilikuwa 2015 kurudi Numa kabla Rais Magufuli hajashika urais wafanyakazi wa Tanesco wakionekana mtaani na magari yao watu walikuwa watu mtaani walikuwa wakiwazomea na kuwaombea dua mbaya na wengine kuwarushia mawe kuwa wamekuja mtaani kukata umeme!!!

Watanzania waliehuka umeme kuwaka ilikuwa sherehe kubwa ya kushangilia kuliko ushindi wa simba na yanga umeme uliokatika unaporudi!!! Yaani ukirudi watu wanashangilia kama wehu ngoma za madebe zinapigwa mitaani kwenye mabaa watu wanaruka ruka juu kama ngoma ya masai kufurahia umeme adimu uliorudi!!

Toka mheshimiwa Magufuli ashike madaraka sherehe Hiro zimekufa. Umeme raha mstarehe. aAsante Raisi Magufuli kwa kutatua kero hii kubwa iliyokuwa inagusa watu wote wa juu hadi wa chini kabisa nchi nzima.Anayebisha mafanikio ya Raisi Magufuli aangalie kipengele cha umeme pekee nchi nzima na alinganishe na kabla hajaingia madarakani 2015

Muda wa campaign bado
 
Kwenye suala zima la umeme na ujenzi wa baadhi ya miundombinu, NAMPONGEZA.

Ila kwenye sera ya ajira kwa vijana na hasa wahitimu wa vyuo, kwenye suala la maslahi ya wafanyakazi, uhuru wa habari, kuminya demokrasia, hulka yake ya kupenda kusifiwa kupita kiasi,

kuwacheleweshea wastaafu mafao yao, na pia kutaka kuwadhulumu hao hao wastaafu kupitia KIKOKOTOO, Kujimilikisha Bunge, Ubaguzi kwenye kesi za ufisadi na uhujumu uchumi, nk. HASTAHILI pongezi yangu kwa kweli.
Kwa hiyo kwa kifupi mabaya ni mengi kuliko mazuri
 
Mimi simkubali Magufuli kwa mambo mengi sana, lakini kwa hili la umeme kapatia. Lakini hawezi kupata kura yangu maana hafai kuwa rais, kwani ana mapungufu mengi.
Kwani umelazimishwa? Umpigie usimpigie haina athari yeyote!!!
 
Mimi simkubali Magufuli kwa mambo mengi sana, lakini kwa hili la umeme kapatia. Lakini hawezi kupata kura yangu maana hafai kuwa rais, kwani ana mapungufu mengi.
Unakuja mdogomdoogo mpaka utafika nyumbani.home sio mbali.kwa sasa upo maeneo ya fire bado hatua chache ufike mtaa wa Rumumba.
 
Yehodaya uko sahihi kusifu nakuabudi hao mafisadi wako wapi maana kika siku nasikia mafisadi siwaoni wakiwa mahakamani au gerezani inabaki hadithi tu
Mwizi proffesional haachi alama ila ukimshugulikia bila kumpeleka mahakamani kimya kimya utasikia anavyopiga yowe kuwa ohh vyuma vimebana hotel yangu inakufa sababu seminar za serikali hawaji hotel yangu ohhh anaua sekta binafsi hakodi mitambo yangu ya kuzalisha umeme,ohh hatumii ndege yangu binafsi ohhh viongozi wa serikali na serikali hawapangi kwenye majengo yangu kwa ofisi au makazi niliyojenga yako matupu apartment na ofisi zangu nimejenga nk hiyo Ni zaidi ya jela !!!!

Magufuli Ni mwanasayansi anajua anajua hata akikufunga ukitoka uta enjoy Mali zako anakata tenda za serikali Mali zako za kifisadi zikudodee!!! Hiyo Ni zaidi ya jela
 
Unakuja mdogomdoogo mpaka utafika nyumbani.home sio mbali.kwa sasa upo maeneo ya fire bado hatua chache ufike mtaa wa Rumumba.

Sijawahi kuvutiwa na vyama vyenye siasa za kijamaa. Mimi sio muumini wa siasa za kikondoo na kinafiki. Na wala sintokaa nivutiwe na chama chochote cha kijamaa kutokana na siasa zao za shuruti bila hoja.
 
Serikali yako unayosema imeondoa ufisadi imeongeza tena tozo ya kununua umeme kutoka 1% hadi 2% yaani mara mbili ya bei ya mwanzo,zamani ukinunua umeme wa buku unakata Tsh 10 ila leo unakatwa Tsh 20,huo ndio upigaji tunaousema,mkuu nasisitiza akili hii ya maono tumepewa watu wachache sana! Mtu mwenye akili/uelewa ya/wa kawaida hawezi kujua kiundani.
Wewe kama haujui kitu kaa kimyia, zamani tulikuwa tunalipishwa service charge umetumia au haujatumia mwisho wa mwezi lazima kulipa, imeondoka wakati wa Magufuli, wewe unaongea eti wamepandisha kiasi kutoka sh 10 hadi 20 kweli wanadamu hawana shukurani mateso mengi sana tuliyoyapata kutoka 2000 hata 2015 kuhusu umeme sio ya kusimulia. Mungu ambariki Rais Magufuri.
 
Back
Top Bottom