Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,935
- 6,844
Hivi kwa nini Kibatala hamuagizi DPP afute kesi? Lazima ana faidika binafsi kesi inavyo chelewa kukamilishwa. Kwa nini anamtetea mtejq wake badala ya kumshauri akiri kosa baada ya ushahidi mzito uliotolewa mpaka sasa?
Amandla...
Amandla...